Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 182,097
- 1,099,383
- Thread starter
- #141
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante mkuu. Kama una mavitabu ya sekondari au chuo we yaweke tu hapa.Kazi nzuri sana, hongera.
Nalog off
Bila kutaja jina kamili na mwandishi wake ni kizungumkutiMaboss nahitaji kitabu cha animal health and production
Hapana. Kama una kitabu cha shule au chuo kiweke hapa bure!Weka account yako ya mpesa kwa kila anayetaka kitabu aweke kiasi ila sio chini ya 500
Kitabu chochote boss kubwa.Bila kutaja jina kamili na mwandishi wake ni kizungumkuti
Aaaahhh....taratibu...Kuna habari kwamba ,hapa Tanzania Kuna vitabu vya history form five na six ambavyo serikali imevitoa kwa shule za serikali na havitolewi kwa shule binafsi.Kwamba hata mitihani ya Necta inatungwa kutoka kwenye hivyo vitabu tu.Nimejaribu kufuatilia kwa DSM lakini kila nilipoenda sijafanikiwa kuviona.Wamedai zaidi kwamba vinapatikana kwenye shule za kasikazini Kama Kisimiri na kwamba kuvipata Ni mpaka mtaaluma wa shule husika akutolee photo copy tu na si vinginevyo.Niulize tu kwamba ,Kuna ukweli wowote kuhusu jambo hili?
Wewe binafsi unavyoona hiyo taarifa inaweza ikawa na ukweli?Kuna habari kwamba ,hapa Tanzania Kuna vitabu vya history form five na six ambavyo serikali imevitoa kwa shule za serikali na havitolewi kwa shule binafsi.Kwamba hata mitihani ya Necta inatungwa kutoka kwenye hivyo vitabu tu.Nimejaribu kufuatilia kwa DSM lakini kila nilipoenda sijafanikiwa kuviona.Wamedai zaidi kwamba vinapatikana kwenye shule za kasikazini Kama Kisimiri na kwamba kuvipata Ni mpaka mtaaluma wa shule husika akutolee photo copy tu na si vinginevyo.Niulize tu kwamba ,Kuna ukweli wowote kuhusu jambo hili?
Harrison's Principles of Internal Medicine 21eNina vitabu vingi sana mkuu anayetaka ataje tu jina la kitabu chochote kile nitakiweka hapa
Mkuu Shadow7 nakuaminia. Kama unavyo vilivyo katika mitaala yetu hapa nyumbani anza navyo hivyo. Hata past papers za mitihani mbalimbali we weka tu. Uliweka baadhi ya vitabu vya A'level huko juu. Najua hii ni kujitolea tu na kuna ishu za bando n.k. Naweza kuchangia hela kidogo ya bando mkuu kama hilo ni tatizo. Unaweza kuja PM tukazungumza zaidi. Barikiwa mkuu [emoji1545]Nina vitabu vingi sana mkuu anayetaka ataje tu jina la kitabu chochote kile nitakiweka hapa
Vingine sidhani kama hata vimo kwenye mfumo wa e-book....Naomba kitabu cha 'major events in world history', kimeandikwa na Nyambari.
Kipo 20th edition kamanda lakini ni MB 300+ na haiwezekani kukiweka hapa. Kama unakihitaji itabidi nikurushie kwa njia ya Google Drive huko PM...Harrison's Principles of Internal Medicine 21e
Shukrani mkuu, nilikuwa nahitahi 21st edition wa nyumbani.Kipo 20th edition kamanda lakini ni MB 300+ na haiwezekani kukiweka hapa. Kama unakihitaji itabidi nikurushie kwa njia ya Google Drive huko PM...
Nikikipata nitakutonya.Shukrani mkuu, nilikuwa nahitahi 21st edition wa nyumbani.