Wanafunzi wa Shule ya Wasichana Bwiru watakiwa kwenda na Malimao na Tangawizi shuleni

Wanafunzi wa Shule ya Wasichana Bwiru watakiwa kwenda na Malimao na Tangawizi shuleni

Kwa upande wa limao ya unga mmmmhhhh, ile kitu ukitaka kuona madhara yake zoea kuitumia kwa watoto wadogo. Ile ni mchanganyiko wa kemikali tupu, hakuna limao pale. Ni kama ukwaju wa azam
 
Uongozi wa shule hii wana shida kubwa sana mahali.

Wanasema wanafunzi hawatatoka wala kutembelewa na wazazi.
Je, waalimu nao hawata onana na watu wengine au na familia zao pia zifugiwe au wafungiwe waalimu tu?

Sanitizer nusu lita kwa mtu mmoja ni nyingi sana kwa muda mfupi wanaokaa shuleni sabuni za maji ndiyo muhimu sana kuliko sanitizer.

Kutembea na barakoa wakati wote siyo vizuri kiafya watawaumiza watoto wa watu wapate shida za mfumo wa upumuaji.

Limao ya unga sidhani kama ina virutubisho au kemikali muhimu zinazosaidia kuongeza Vitam C na wala kuondoa ute kwenye koo, shule iwaagize waje na pesa ya kununua malimao mabichi ambayo pesa wanapewa shule na kuwagawia wanafunzi limao bichi moja kila siku.

Tangawizi mbichi ndiyo bora zaidi hivyo shule ifanye kama hapo nilivyo shauri kwenye limao halisi siyo ya unga.

Mwisho waalimu wapunguze uoga, kama wanaogopa waache kazi wabakizwe waalimu vijana wenye afya wawafundishe wadogo zao badala ya kuwanyanyapaa na kuwatesa na makemili na mabarakoa kila saa.

Serikali itoe muongozo maana maagizo kama haya ni vurugu tupu, kuna wanafunzi wenye shida za ulcers na nyinginezo za tumbo au kuna wale wenye allergy na sanitizer flai wasije kulazimishwa haya makemikali ya sanitizer na malimao feki, watoto wasije wakarudi nyumbani matumbo yashatoboka na madonda ya tumbo.
Hv umejichunguza ukaona uko sawa???kichwan au umebeba bichwa ka boga??accha kuropoka mpuuzi wewe usiye na hata chembe ya akili bwege wewe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hv umejichunguza ukaona uko sawa???kichwan au umebeba bichwa ka boga??accha kuropoka mpuuzi wewe usiye na hata chembe ya akili bwege wewe

Sent using Jamii Forums mobile app
Umemeliza kutukana?
Unafikiri nashindwa kutukana kama wewe? Naweza, tena naweza kukutukania hadi wazazi wako, babu na bibi zako.

Lakini unafikiri itaniongezea nini maishani au wewe utapata nini au umepata nini baada ya kunitukana? Jibu: Hakuna kitu zaidi ya kujishushia heshima tu mimi au wewe mtukanaji.

Kama wewe ni mmoja wa waalimu wa hiyo shule waliopanga wanafunzi waende na mahitaji hayo uje na hoja za kupinga hoja zangu kama mimi nilivyofanya nimepinga na kutoa hoja au sababu zangu kwa kila hoja niliyo kosoa.

Jinsi ulivyo jibu kwa mihemko na matusi unaonesha uwezo wako mdogo wa kufikiri na kujenga hoja.
 
Jiongeze kidogo kufikiri. Umeropoka kihayawani.
Si uje na hoja kupinga hoja zangu kama nilivyofanya mimi kupinga au kukosoa hayo maagizo na kuweka sababu zangu(hoja).

Ukiishia kunitukana hautanifunza kitu, na tutaishia pabaya tu maana hata mimi naweza kukutukana wewe, wazazi na babu zako, je unafikiri tutaongeza nini baada ya kutukana badala ya kujenga hoja?

Teteeni hayo maagizo kwa sababu za kisayansi sababu hivyo vitu ni kujaribu kupambana na janga kisayansi. Usiniletee hoja za kiuchumi maana hizo haziwezi kuzuia wanafunzi wasiambukizane au wasiambukize waalimu COVID-19.

Waalimu kama ninyi ndiyo mnadharaulisha taaluma yenu ionekane ya watu wenye uwezo mdogo kumbe siyo kweli.
 
Yap, we fight this war with all of the above. We can't wait for vaccine to come.
 
Umemeliza kutukana?
Unafikiri nashindwa kutukana kama wewe? Naweza, tena naweza kukutukania hadi wazazi wako, babu na bibi zako.

Lakini unafikiri itaniongezea nini maishani au wewe utapata nini au umepata nini baada ya kunitukana? Jibu: Hakuna kitu zaidi ya kujishushia heshima tu mimi au wewe mtukanaji.

Kama wewe ni mmoja wa waalimu wa hiyo shule waliopanga wanafunzi waende na mahitaji hayo uje na hoja za kupinga hoja zangu kama mimi nilivyofanya nimepinga na kutoa hoja au sababu zangu kwa kila hoja niliyo kosoa.

Jinsi ulivyo jibu kwa mihemko na matusi unaonesha uwezo wako mdogo wa kufikiri na kujenga hoja.
Huna hoja we boya tu tukana kama vp bichwa hewa umejaza upepo
 
Uongozi wa shule hii wana shida kubwa sana mahali.

Wanasema wanafunzi hawatatoka wala kutembelewa na wazazi.
Je, waalimu nao hawata onana na watu wengine au na familia zao pia zifugiwe au wafungiwe waalimu tu?

Sanitizer nusu lita kwa mtu mmoja ni nyingi sana kwa muda mfupi wanaokaa shuleni sabuni za maji ndiyo muhimu sana kuliko sanitizer.

Kutembea na barakoa wakati wote siyo vizuri kiafya watawaumiza watoto wa watu wapate shida za mfumo wa upumuaji.

Limao ya unga sidhani kama ina virutubisho au kemikali muhimu zinazosaidia kuongeza Vitam C na wala kuondoa ute kwenye koo, shule iwaagize waje na pesa ya kununua malimao mabichi ambayo pesa wanapewa shule na kuwagawia wanafunzi limao bichi moja kila siku.

Tangawizi mbichi ndiyo bora zaidi hivyo shule ifanye kama hapo nilivyo shauri kwenye limao halisi siyo ya unga.

Mwisho waalimu wapunguze uoga, kama wanaogopa waache kazi wabakizwe waalimu vijana wenye afya wawafundishe wadogo zao badala ya kuwanyanyapaa na kuwatesa na makemili na mabarakoa kila saa.

Serikali itoe muongozo maana maagizo kama haya ni vurugu tupu, kuna wanafunzi wenye shida za ulcers na nyinginezo za tumbo au kuna wale wenye allergy na sanitizer flai wasije kulazimishwa haya makemikali ya sanitizer na malimao feki, watoto wasije wakarudi nyumbani matumbo yashatoboka na madonda ya tumbo.
Umeandika mambo ya msingi sana serikali itoe mwongozo kwenye hili suala wakiacha kila shule ijiamulie
Kuna watu watatuharibia watoto kwa chemicals na wengine watakamua wazazi pesa sana kwa mgongo wa Corona.
 
Soma vizuri, hawaendi na malimao yenye maganda toka shambani. Wameambie waende na ya unga hi yaweza kuishi Hadi miaka 2 ndo expire date

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanini wanafunzi wasiambiwe waende na pesa ya limao na tangawizi kisha uongozi wa shule wawe wananua limao na tangawizi fresh wanawapa wanafunzi vitu vya siku moja moja au siku mbilimbili au zaidi.

Limao fresh hailingani ubora na ya unga.
 
Sijaona tatizo kwenye hayo maagizo. Yapo fresh tu. Watoto waende salama, wapige pindi na pepa salama na warudi nyumbani salama. Ndicho tunachotaka!
 
Back
Top Bottom