Wanafunzi wa vyuo vikuu vya Sudan wahamishiwa vyuo vikuu vya Tanzania. Hongera kwa Serikali ya Tanzania

Dada zetu Kwa Sasa tunaomba mtupishe kwanza ,tuko na shughuli ya Kitaifa ya Kupokea Wageni kutoka Sudan ❤️❤️


 
Leo nimeamka ninaumwa, natarajia niende Muhimbili muda huu, kwani wanaanza kupima saa ngapi 🤣 🤣
 
Ushauri wangu wasiishie kuwaleta wa kada ya afya tu hata kada nyingine vyuo vyetu bado vina nafasi za kutosha
 
Hongera kwa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.Hasa Rais wetu mpendwa kwa kupokea Wanafunzi wa Udaktari toka nchini Sudan.
Rais anaingiaje hapa mkuu?, tupunguze kujipendekeza kusikokua na ulazima sana
 
Tupunguze kujipendekeza kusikokua na umuhimu, Sasa rais anahusikaje hapa?

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Kila nikiingia kijiweni kwa facebook, kwa twitter ,kwa Whatup habari ya town ni Swala wa Muhimbili!

Mshangao wa wengi ni kwanini "Warembo" wale wa KHARTOUM wamevuka mipaka yooote at last wameamua kuja kusettle kwa Mama Samia Suluhu Hassan?Kweli kwetu Tanzania ni pazuri!

Sisi ndio Tanzania Bwana!Nchi ya Amani!

"..Tanzania yetuuu ndio Nchi ya kusifika,watuu wote ulimwenguni ...wanajuaa,Tanzaniaa yetu ndioo Nchi ya furahaaaa..."

Am proud of my Tanzania!



Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
 
Dada zetu kutokea Sudan wametingisha mitandao kidogo. Tena na hivi ligi zimepoa poa, amsha amsha sasa hivi zipo kwa hao warembo.
Alafu kwenye kubeti sasa kuna michezo ya kuweka hela msimu huu kweli? Au ndo watu wakaushe mpaka ligi zitakaporudi?
 
Ila nyie watu mna hisia za udini kali loh Sudani iko Africa ukuraini iko ulaya.......loh
Yaani kwa ubwege wako hukusikia wa-Tz waliokuwa wanasoma Ukraine walirudi na hakuna aliyewapokea? Kwa hiyo kosa lao ni kusoma ulaya?
btw. kwa nini aliyetangaza kupokea hao wanafunzi ni Mohammed Janabi? Kwani naye ni mkuu wa chuo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…