Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 20,694
- 32,527
Braza nimekueleza humu wengi ni walimu tegemea kupata upinzani. Huyo unayemjibu ni Mwalimu wa shule ya msingi.Kukimbia tatizo si kulimaliza, hapa ni mwazo wa kufikisha ujumbe kwa mamlaka husika, haiwezekani mwanafunzi ashindwe kuandika kazi au akose swali mzazi ukanunue matofali, kuna adhabu za kufyeka nyasi, kuchimba mashimo, kudeki madarasa na vyoo, hill la mtoto kutozwa pesa haikubaliki
hatuez kufika kwa kulazimisha maisha ya jana tuyaish kesho , lzm tuoneshe kuwa kila siku tunarekbisha makosa yetuKawaida tu mbona na sisi tulishapitaga huko acha maisha yaendelee shule zenyewe ndo hizi hizi hamna namna
Sent from my SM-G950F using JamiiForums mobile app
Kaa nae kwako mtoto wako umfungulie shule yakoSoma uelewe,sijasema kupiga tofali, mwalimu anamwambia mwanafunzi akanunue tofali hela anapata wapi? Ulishawahi kumpa mtoto tsh 10000 aweke ili alichelewa kumaliza kazi za darasani alipe kama adhabu?
Hii ni sawa na kulipia adhabu kwa pesa badala ya kazi na viboko, hakuna mwongozo wa elimu unaoruhusu mwanafunzi kulipia makosa yao ya kishule kama kutokusaya daftari, kupiga kelele na kuchelewa kwa pesa
Mchukue kaa nae kwakoNdio mwongozo unavyosema mwanafunzi atoe pesa akifanya kosa? Tena kosa la kutokusanya daftari?
Bei ya tofali unaijua? Huyo mtoto anapata wapi 5000 tshs za kwenda kununua tofali na kuzileta shuleni? Au mmekula hela za ujenzi mnatafuta pa kuijazia?
duh mbona chuki zitaliua bara la afrika , hatuez pembua akili vzr ,na hawa watoto wakiwa viongoz na wao wanaweka tozo bila kujali maoni ya wengine kisa hata yeye alipitia msotoYaani tofali tatu tu unakuja kuanzisha thread?
Mie shule moja nimepata nafasi ya mwanangu kuamia hapo baada ya kupeleka tofali 70.
Makosa mengine ya utovu wa nidhamu yanatozwa tofali kuanzia tofali 20 na kuendelea.
Mambo ya bure bure aliondoka nayo Mwendazake.!
Mchukue mpeleke kwenye shule yenu ya ukooKukimbia tatizo si kulimaliza, hapa ni mwazo wa kufikisha ujumbe kwa mamlaka husika, haiwezekani mwanafunzi ashindwe kuandika kazi au akose swali mzazi ukanunue matofali, kuna adhabu za kufyeka nyasi, kuchimba mashimo, kudeki madarasa na vyoo, hill la mtoto kutozwa pesa haikubaliki
duh unaandikq ujinga ila hujui kuwa ni ujinga nq mkitoka hapo mnasema viongoz wenu wabovu kumbe wamezoea maisha ya kukandamizana tangu utotoni , shule ni pa kujifunzia mazur na sio kujifunza umwinyJamaa anachekesha Sana.
Wengine tofali tushapigaga Sana kama 200 alafu Sisi wengine Bora adhabu kulipo kuchapwa[emoji4][emoji4]
Ndugu watu wako walivyo ata ukiwabadilisha siku ukiondoka wanarudi kulekulehatuez kufika kwa kulazimisha maisha ya jana tuyaish kesho , lzm tuoneshe kuwa kila siku tunarekbisha makosa yetu
Soma uelewe,sijasema kupiga tofali, mwalimu anamwambia mwanafunzi akanunue tofali hela anapata wapi? Ulishawahi kumpa mtoto tsh 10000 aweke ili alichelewa kumaliza kazi za darasani alipe kama adhabu?
Hii ni sawa na kulipia adhabu kwa pesa badala ya kazi na viboko, hakuna mwongozo wa elimu unaoruhusu mwanafunzi kulipia makosa yao ya kishule kama kutokusaya daftari, kupiga kelele na kuchelewa kwa pesa
Nenda kaishi huko MarekaniHuo ni ujuha wa walimu.
Walimu wengi ni wapumbavu
Nikiwa nasoma O -level mwalimu wetu wa mathematics alikuwa Mmarekani, ukifanya mistake adhabu zake ni very simple sema tu utaona aibu kesho lazima ujitahidi.
Jamaa mara nyingi wale waliopata below au kutokufanya zoezi anawatoa nje mnakimbia mchakamchaka pamoja naye dk 15.
Bongo yaani mwalimu anaamuru wanafunzi wawazomee watatu walioshika mkia bila kuangalia reasons behind.
Hii kada bongo imeshikiliwa na vilaza
Kama tofali zitatumika kuendeleza miundo mbinu ya shule. Naunga hojaJe, huu ni ubunifu au kuwakomoa wazazi? Kinachoendelea katika shule ya Sekondari Mbande ni kitu cha kutizamwa kwa Jicho la kipekee kwa kuwa kina madhara yake na kisipozungumzwa na kutolewa maamuzi na mamlaka kitaleta shida.
Kumeibuka mtindo wa kuwatoza wanafunzi matofali matatu na kuendelea kulingana na makosa ya kiuanafunzi kama vile kuchelewa, kutokusanya kazi au kutokumaliza kazi za darasani. Wakati naambiwa jambo hili na mtoto wangu anaesoma katika shule hiyo nilichukulia kuwa utani. Nilikuja kuamini baada ya kujionea mwenyewe nilipofika shuleni hapo mmoja wa waalimu akimwambia mwanafunzi alete tofali tatu kwa kutokumaliza kazi ya darasani.
Swali langu kwa wanajamii anaetozwa tafali ni mwanafunzi au mzazi? Mwanafunzi atapata wapi pesa kununua tofali?
Mamlaka husika wanalijua hili? Je, wazazi tumeridhia haya?
Je kuna meongozo unaoruhusu adhabu za kishule kwa wanafunzi kulipwa kwa pesa?
Sasa tofali 3 si sh. 3000Nenda kaishi huko Marekani
Yes.duh unaandikq ujinga ila hujui kuwa ni ujinga nq mkitoka hapo mnasema viongoz wenu wabovu kumbe wamezoea maisha ya kukandamizana tangu utotoni , shule ni pa kujifunzia mazur na sio kujifunza umwiny
tulibeba fitoKawaida tu mbona na sisi tulishapitaga huko acha maisha yaendelee shule zenyewe ndo hizi hizi hamna namna
Sent from my SM-G950F using JamiiForums mobile app
Kweli uyo mleta labda kasoma medium mpaka chuotulibeba fito
Toa pesa wewe ili uzio wa shule ukamilike, na mtoto wako asome katika mazingira salama. Elfu 3 tu ya matofali, unalalamika!!Kukimbia tatizo si kulimaliza, hapa ni mwazo wa kufikisha ujumbe kwa mamlaka husika, haiwezekani mwanafunzi ashindwe kuandika kazi au akose swali mzazi ukanunue matofali, kuna adhabu za kufyeka nyasi, kuchimba mashimo, kudeki madarasa na vyoo, hill la mtoto kutozwa pesa haikubaliki