macho_mdiliko
Platinum Member
- Mar 10, 2008
- 25,191
- 48,765
Nimesikia lugha mkuu. Ni kama wanaongea na kuchanganya ''pigeon english'' ya West Africa. Nisikiliza kwa haraka haraka hivyo naweza nisiwe correct. Nikipata muda nitarudia kwa utulivu.Una ushahidi gani mkuu?
Nimejisikia uchungu...Nilishawahi kupitia mateso kama hayo, nilikua nikiishi na bibi yangu nikiwa kati ya darasa la4 au la5 nilienda kucheza nikajisahau kufungulia mbuzi giza likaingia, nilifungwa na kamba kwenye mti na mama mdogo nilichapwa fimbo sisizo na Idadi na mbaya zaidi nilipigwa kichwani, kwenye mbavu, Hadi Leo Nina alama za fimbo kwenye mapaja
Wewe mbona ni shoga na hujachapwa viboko?Huyo ananyooshwa wala hauwawi, aache umalaya, kibri na dharau kwa wakubwa zake na aconcentate na masomo. Ndio nilivosikia lakini
Niwaulize sasa kipi bora aachwe ashindikane, awe danga na awaumbue(awaharibu) na wadogo zake au anyooshwe ile ile ili baadae aje awe kioo bora cha jamii?
Hata kama siyo Tanzania kumfunga kamba binti mdogo na kumpiga kwa kumchangia ni ukatili.Analyzing yangu picture inasema kila kitu, 1. hapo sio bongo na 2. hiyo ni rangi ya nguo ya kijani na njano sio Yanga 3.Adhabu ya kimila, na 4. itakua ina husiana na ngono kwa hilo waafrika tupo serious sana.
Wewe juha unajiita goodhearted?Huyo ananyooshwa wala hauwawi, aache umalaya, kibri na dharau kwa wakubwa zake na aconcentate na masomo. Ndio nilivosikia lakini
Niwaulize sasa kipi bora aachwe ashindikane, awe danga na awaumbue(awaharibu) na wadogo zake au anyooshwe ile ile ili baadae aje awe kioo bora cha jamii?
Mmefika wapi?Watoto wa juzi mnaona uko ni kutwezwa.
Wakati wetu tunakua tulikuwa tunagongeshwa Mtaan na ukifika homu husemi, ukisema the same thing may befall to you.
Niliwai pokea kichapo heavy toka kwa Bi Mkubwa baada ya kwenda na Njumu mpya home.
Swali lilikuwa "umevitoa wapi?".
Nmesikiliza tena. Inaonekana ni Tanzania maeneo ya kusini, kuzunguka ziwa Nyasa au Malawi. Hiyo english wanapenda sana kuitumia wanyasa. Kama nimesikia na maneno kidogo ya kiswahili. Neno ''mia moja'' ''mwache kwanza'' ni kama nimeyasikia.Una ushahidi gani mkuu?
Huyo unamfunga halafu unakata kidole cha mwisho kwenye mkono.Angekua binti yangu,
huyo mwanahizaya walai ningemtandika nayeye hivyo mara 2 yake.
Angetamani kuhama dunia.
ni kweli tuna roho mbay kumpiga mtu tano kisha kutengeneza mabango mji mzima sio tukio dogoMambo ya Yanga yameingiaje kwenye hoja yako?
Kumbe wale kima walidakwa?Sio kanda ya Ziwa mkuu. Nimewshirikisha wamekataa. Halafu hii sio ile ya mwaka jana. Hii ni nyingine. Ile ya mwaka jana ilikuwa ya kanda ya Ziwa na wahusika walikamatwa na kuadhibiwa.
Zuri sana hii hasa kwa wale wanaoInasikitisha sana. Tumekuwa tukisikia walimu wakihusika kuwaua wanafunzi kwa vipigo na baadhi yao wameishafungwa gerezani na kuhukumiwa kunyongwa hadi kufa lakini huku mtaani nako hali si shwari.
Tazama mabaladhuli haya yanavyomuadhibu huyu binti bila huruma huku watu wazima wakishuhudia na kucheka wakichukua video wakatupie mtandaoni. Nchi hii kweli imefikia ufedhuli wa kiasi hiki? Mbona kuna baadhi ya watu wapo uraiani lakini wanaishi kama vile wapo jehanamu?
View attachment 2938392
Haya majitu yanamuonea binti mdogo asiyekuwa na hatia kwa kumfunga kamba na kumuadhibu kwa kiasi hiki kama vile nchi hii haina utawala wa sheria? Naomba vyombo vya sheria vichukue hatua kuwashughulikia wapuuzi hawa. Yaani wanamchapa binti kiasi hiki hadi wanammaliza nguvu za kike? Na utashangaa akiolewa asipate watoto yatakuwa yanakesha kwa Mwamposa kumuombea apate watoto wakati yenyewe ndiyo yamempa adhabu kali hadi yameua mayai yanayozalisha watoto.
Halafu tazama hilo shabiki la Utopolo jinsi linavyomchapa utadhani linaua nyoka! Majitu ya Yanga yana roho mbaya zaidi ya shetami. Hizi zote ni hasira za kufungwa na Azam. Yaani kufungwa yafungwe kiwanjani halafu hasira yanaenda kumalizia kwa binti wa watu asiyekuwa na hatia?
Tafadhali sana Dkt. Gwajima D naomba uchukue hatua haya mashenzi yakamaatwe yatiwe adabu. Hayawezi kuifanya nchi hii kama shamba la wanyama lisilokuwa na utawala wa sheria. Mambo ya kishenzi kama haya hayakubaliki duniani wala mbinguni. Haya majitu yakikamatwa yaadhibiwe zaidi ya yalivyomuadhibu huyu binti asiyekuwa na hatia. Naomba wanaoifahamu lugha hii inayoongewa na hawa wanaizaya watusaidie kutambua ni lugha ya kabila gani ili kuisaidia polisi kufanya upelelezi na kuwatia nguvuni wahalifu hawa wasiokuwa na chembe ya huruma.
Kwanini usingefuatilia kwamba ni mkoa gani ukawa na details za kutosha ndo upost mtandaoni? Huoni kama wewe ni miongoni mwa makatili kwa kupost video ya kumdhalilisha binti? Serikali ikukamate wewe kwanza uisaidie polisiSikuwepo eneo la tukio mkuu. Nisingekubali binti aadhibibiwe kinyama hivi mbele yangu. Nimeipata mtandaoni nikaona niitume humu ili tusaidiane kuwaska hawa wahalifu.
Tukijua lugha hii ni ya wenyeji wa mkoa gani itakuwa rahisi polisi kufanya upelelezi na kuwakamata wahalifu.
Haya matoto ya sikuhizi nidhamu zero kabisa , kwanza hata kupigwa wanapigwa basi ,au kuguswa tu ?sema viboko vimezidi idadi hapo wamekosea nimeshawahi kutukaniwa mama yangu na vibinti vya vya form two vinatoroka shule kisa nimeuliza mbona mnatoroka shule asee nilitamani niue mmoja hapo hapo
Nipe vifaa vya kiintelejensia vya polisi, nipe usafiri, nipe cheo cha ukachero na nilipe mshahara nifanye hiyo kazi chapKwanini usingefuatilia kwamba ni mkoa gani ukawa na details za kutosha ndo upost mtandaoni? Huoni kama wewe ni miongoni mwa makatili kwa kupost video ya kumdhalilisha binti? Serikali ikukamate wewe kwanza uisaidie polisi
Wewe mtu una roho mbaya sana. Sasa huko ni kupigwa au ni kutwezwa. Usiwe na roho ya kishetani mkuu.Haya matoto ya sikuhizi nidhamu zero kabisa , kwanza hata kupigwa wanapigwa basi ,au kuguswa tu ?
Watu hawajui maudhi ya hiki kizazi cha 2000 na kuendelea ,unaweza ua kabisa
Sent from my Nokia 6.2 using JamiiForums mobile app