Wanafunzi wanauliwa na walimu kwa vipigo na wengine wanachora ramani za kutorokea USA; tazama huyu hapa anauliwa tena!

Wanafunzi wanauliwa na walimu kwa vipigo na wengine wanachora ramani za kutorokea USA; tazama huyu hapa anauliwa tena!

Nilishawahi kupitia mateso kama hayo, nilikua nikiishi na bibi yangu nikiwa kati ya darasa la4 au la5 nilienda kucheza nikajisahau kufungulia mbuzi giza likaingia, nilifungwa na kamba kwenye mti na mama mdogo nilichapwa fimbo sisizo na Idadi na mbaya zaidi nilipigwa kichwani, kwenye mbavu, Hadi Leo Nina alama za fimbo kwenye mapaja
 
Nilishawahi kupitia mateso kama hayo, nilikua nikiishi na bibi yangu nikiwa kati ya darasa la4 au la5 nilienda kucheza nikajisahau kufungulia mbuzi giza likaingia, nilifungwa na kamba kwenye mti na mama mdogo nilichapwa fimbo sisizo na Idadi na mbaya zaidi nilipigwa kichwani, kwenye mbavu, Hadi Leo Nina alama za fimbo kwenye mapaja
Pole sana mkuu. Huo ni ukatili wa kiwango cha juu sana.
 
Nilishawahi kupitia mateso kama hayo, nilikua nikiishi na bibi yangu nikiwa kati ya darasa la4 au la5 nilienda kucheza nikajisahau kufungulia mbuzi giza likaingia, nilifungwa na kamba kwenye mti na mama mdogo nilichapwa fimbo sisizo na Idadi na mbaya zaidi nilipigwa kichwani, kwenye mbavu, Hadi Leo Nina alama za fimbo kwenye mapaja
Huyo mama yk mdogo ukimkuta sehemu mbake. Kisasi ni haki.
 
Hii video ni ya muda mrefu saaanaa.. na sidhan kama ni Tanzani ama labda mpakan mwa nchi jiran.. ila video ya zaman ishazunguka sana mitandaoni.. mkuu sijui ulikua wapi??
Ile video iliyozunguka mtandaoni sio hii mkuu. Ile ilikuwa ya Tanzania na wahalifu walikamatwa na kuchukuliwa hatua za kisheria.
 
Mara hii tu we umekuwa mtu Ulaya na kujitoa Africa?.
Erroneousy creature.
Wapi nimesema mimi mtu wa Ulaya?

Mimi sina unafiki kuficha udhaifu wa watu weusi wajingawajinga wavivu, walalamishi, irresponsible na wanaolazimisha upendo kutoka kwa races zingine. Nenda kaongee hiyo kauli yako ya awali ya kipumbavu kama hujaonekana ni takataka useless eater jitu la medieval era
 
Wapi nimesema mimi mtu wa Ulaya?

Mimi sina unafiki kuficha udhaifu wa watu weusi wajingawajinga wavivu, walalamishi, irresponsible na wanaolazimisha upendo kutoka kwa races zingine. Nenda kaongee hiyo kauli yako ya awali ya kipumbavu kama hujaonekana ni takataka useless eater jitu la medieval era
Mmmhh....kipato huleta majivuno.
 
Ndomana nlipokuwa nasoma nlikuwa na historia ya kupiga walimu
Form 1 nliendaga sangu sec,
Kuna mahali pale shule wanapaita soweto ukilazwa pale
Kila mwalimu atakutandika..
Mm nlikuwa nawaambiaga tutakutanq uraiani
Kuna walimu pale mpk leo nawakumbuka majina wakina ndimbo,kasebele(alikuwa mfupi)
Mwakyulu wote hao nishawachapa sana nje

Ova
 
Na hiyo jezi ya Yanga huioni? Yanga wanapatikana nchi gani mkuu? Usiwatetee wahalifu
Jezi siyo hoja ya kuthibitisha ni Tanzania, Yanga ina matawi mpaka Lubumbashi Congo, ina mashabiki Kenya, ukienda Jimbo la Cabo Delgado Mozambique kuna mashabiki wa Simba na Yanga.
 
Back
Top Bottom