Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mi sijatetea bana. Ngoja jibu litapatikana soon.Kuna mtu nje ya Tanzania na anayeishi kijijini labda huko Haiti akavaa jezi ya Yanga .mkuu? Mbona unatetea wahalifu?
Inasikitisha kwa kweli. Mimi nitaimba wimbo wangu pendwa kila siku kwamba mtu mweusi hana akili na sio kiumbe hai bali ni kiumbe mfu.Na hiyo jezi ya Yanga huioni? Yanga wanapatikana nchi gani mkuu? Usiwatetee wahalifu
Pole sana mkuu. Huo ni ukatili wa kiwango cha juu sana.Nilishawahi kupitia mateso kama hayo, nilikua nikiishi na bibi yangu nikiwa kati ya darasa la4 au la5 nilienda kucheza nikajisahau kufungulia mbuzi giza likaingia, nilifungwa na kamba kwenye mti na mama mdogo nilichapwa fimbo sisizo na Idadi na mbaya zaidi nilipigwa kichwani, kwenye mbavu, Hadi Leo Nina alama za fimbo kwenye mapaja
Huyo mama yk mdogo ukimkuta sehemu mbake. Kisasi ni haki.Nilishawahi kupitia mateso kama hayo, nilikua nikiishi na bibi yangu nikiwa kati ya darasa la4 au la5 nilienda kucheza nikajisahau kufungulia mbuzi giza likaingia, nilifungwa na kamba kwenye mti na mama mdogo nilichapwa fimbo sisizo na Idadi na mbaya zaidi nilipigwa kichwani, kwenye mbavu, Hadi Leo Nina alama za fimbo kwenye mapaja
Ona hii takataka nyingine ya kiafrika.Fimbo ilipoharamishwa kwa mtoto na maadili yakaporomoka.
Moja ya maktaba nzuri kabisa na kuaminika inasema " USIMNYIME MTOTO MAPIGO".
Mara hii tu we umekuwa mtu Ulaya na kujitoa Africa?.Ona hii takataka nyingine ya kiafrika.
Ile video iliyozunguka mtandaoni sio hii mkuu. Ile ilikuwa ya Tanzania na wahalifu walikamatwa na kuchukuliwa hatua za kisheria.Hii video ni ya muda mrefu saaanaa.. na sidhan kama ni Tanzani ama labda mpakan mwa nchi jiran.. ila video ya zaman ishazunguka sana mitandaoni.. mkuu sijui ulikua wapi??
Wapi nimesema mimi mtu wa Ulaya?Mara hii tu we umekuwa mtu Ulaya na kujitoa Africa?.
Erroneousy creature.
Usipowataja wakuria unaumwa?Sijaifungua video maana nimedevelop phobia ya kutopenda kuona butality kwenye vids.
Mila za Wamasai, Wakurya, Wameru na baadhi ya mikoa wanakuwa na tabia hiyo ambapo mtu anaweza kushushiwa hata fimbo 200
Mmmhh....kipato huleta majivuno.Wapi nimesema mimi mtu wa Ulaya?
Mimi sina unafiki kuficha udhaifu wa watu weusi wajingawajinga wavivu, walalamishi, irresponsible na wanaolazimisha upendo kutoka kwa races zingine. Nenda kaongee hiyo kauli yako ya awali ya kipumbavu kama hujaonekana ni takataka useless eater jitu la medieval era
Jezi siyo hoja ya kuthibitisha ni Tanzania, Yanga ina matawi mpaka Lubumbashi Congo, ina mashabiki Kenya, ukienda Jimbo la Cabo Delgado Mozambique kuna mashabiki wa Simba na Yanga.Na hiyo jezi ya Yanga huioni? Yanga wanapatikana nchi gani mkuu? Usiwatetee wahalifu