Wanafunzi watatu UDOM wafariki katika ajali ya gari

Wanafunzi watatu UDOM wafariki katika ajali ya gari

Poleni sana ila Madreva wa magari ya Serikali hasa V8 Jiji la Dodoma.Wanalalamikiwa sana kwa kuendesha kwa kasi na overtake mbaya.Mh Rais Samia Suruhu Hassan awakeme wamekuwa chanzo cha ajari nyingi.
... wamekutana viburi. Wote V8 na bajaji are the worst drivers everywhere in this country. Funny enough, ni kama wameshindikana au wana kinga ya sheria za barabarani.
 
Toa taarifa Kwa usahihi kama huna fatilia ndo utoe,,ni hivi wanabodi,,Jana tarehe 4 june,jumamosi wanafunzi walikuwa wanatoka kwenye graduation ya dini CASFETA,walikuwa wamepanda bajaji kutoka Dodoma mjini kwenda udom "COED" bajaji ilikuwa imewabeba watu jumla 8,kama mnavyojua wanachuo hua wanabebana,nyuma wanaingia 5 mbele 2, na dreva 1,jumla 8,walipofika karibu na mwisho wa lami kama unaelekea block T, gari linalosemekana V8,(Sina uhakika kwenye gari)ndo likawangonga uso Kwa uso ,mida ya saa Moja hv,wakafariki wanachuo 3,na dreva mmoja , waliofariki wote ni 3rd yr,,RIP
Kumbe ndiyo maana hii taarifa haijajitosheleza! Kumbe kuna v8 ndani doh!
 
Toa taarifa Kwa usahihi kama huna fatilia ndo utoe,,ni hivi wanabodi,,Jana tarehe 4 june,jumamosi wanafunzi walikuwa wanatoka kwenye graduation ya dini CASFETA,walikuwa wamepanda bajaji kutoka Dodoma mjini kwenda udom "COED" bajaji ilikuwa imewabeba watu jumla 8,kama mnavyojua wanachuo hua wanabebana,nyuma wanaingia 5 mbele 2, na dreva 1,jumla 8,walipofika karibu na mwisho wa lami kama unaelekea block T, gari linalosemekana V8,(Sina uhakika kwenye gari)ndo likawangonga uso Kwa uso ,mida ya saa Moja hv,wakafariki wanachuo 3,na dreva mmoja , waliofariki wote ni 3rd yr,,RIP
izo v8 na gari nyingi za serikali huwa wao "rule of law "haziwahusu?

Wataua na kufa sana ikiwa wasimamizi wa sheria wao hawazitii tuache ulimbukeni.
 
Toa taarifa Kwa usahihi kama huna fatilia ndo utoe,,ni hivi wanabodi,,Jana tarehe 4 june,jumamosi wanafunzi walikuwa wanatoka kwenye graduation ya dini CASFETA,walikuwa wamepanda bajaji kutoka Dodoma mjini kwenda udom "COED" bajaji ilikuwa imewabeba watu jumla 8,kama mnavyojua wanachuo hua wanabebana,nyuma wanaingia 5 mbele 2, na dreva 1,jumla 8,walipofika karibu na mwisho wa lami kama unaelekea block T, gari linalosemekana V8,(Sina uhakika kwenye gari)ndo likawangonga uso Kwa uso ,mida ya saa Moja hv,wakafariki wanachuo 3,na dreva mmoja , waliofariki wote ni 3rd yr,,RIP
Poleni sana ndugu zangu wa UDOM.
 
Hakuna madereva wa hovyo kama wanaoendesha V8 za serikali. DFPs, STK, STLs STMs na Yerpi Merkez. Wanaovertake hovyo na wanakimbiza magari bila kuzingatia alama za barabarani.
Tukiangalia kwa ufasaha utakuta wana records nyingi za ajali
 
IMG-20220605-WA0047.jpg
 
Fortunata naye hatunaye tena[emoji25][emoji29][emoji24]
 
Toa taarifa Kwa usahihi kama huna fatilia ndo utoe,,ni hivi wanabodi,,Jana tarehe 4 june,jumamosi wanafunzi walikuwa wanatoka kwenye graduation ya dini CASFETA,walikuwa wamepanda bajaji kutoka Dodoma mjini kwenda udom "COED" bajaji ilikuwa imewabeba watu jumla 8,kama mnavyojua wanachuo hua wanabebana,nyuma wanaingia 5 mbele 2, na dreva 1,jumla 8,walipofika karibu na mwisho wa lami kama unaelekea block T, gari linalosemekana V8,(Sina uhakika kwenye gari)ndo likawangonga uso Kwa uso ,mida ya saa Moja hv,wakafariki wanachuo 3,na dreva mmoja , waliofariki wote ni 3rd yr,,RIP
So sad may there soul rest in paradise
 
Back
Top Bottom