Wanafunzi watatu UDOM wafariki katika ajali ya gari

Wanafunzi watatu UDOM wafariki katika ajali ya gari

Na ma. V Eite pia yapo juu ya. Sheria
Hayo hata yakipaki huwa hayazimwi yanaunguruma tu,
Ila bajaji kuapakia watu nane si jambo la busara, hata hao wasomi ilitakiwa wajitambue,
Tunaona jinsi wasomi wetu wanavyozalishwa
 
Toa taarifa Kwa usahihi kama huna fatilia ndo utoe,,ni hivi wanabodi,,Jana tarehe 4 june,jumamosi wanafunzi walikuwa wanatoka kwenye graduation ya dini CASFETA,walikuwa wamepanda bajaji kutoka Dodoma mjini kwenda udom "COED" bajaji ilikuwa imewabeba watu jumla 8,kama mnavyojua wanachuo hua wanabebana,nyuma wanaingia 5 mbele 2, na dreva 1,jumla 8,walipofika karibu na mwisho wa lami kama unaelekea block T, gari linalosemekana V8,(Sina uhakika kwenye gari)ndo likawangonga uso Kwa uso ,mida ya saa Moja hv,wakafariki wanachuo 3,na dreva mmoja , waliofariki wote ni 3rd yr,,RIP
Jamaa alivyoripoti ndivyo ilivyoandikwa na gazeti la Mwananchi, bila maelezo ya kutosha.

Sasa najua kwanini.. kama kuna V8 imehusika, ndio maana RPC anapata kigugumizi
 
Update:
-Chupa za K-vant,wine zakutwa kwenye gari iliyowagonga wanachuo,
-Dreva akutwa chakali yupo mbwiii kama vile "mwita waitara anavyolewaga Serengeti lite kwenye bar za tarime"
-police walimkuta dreva mlevi amekaa tu kwenye gari hata nguvu ya kukimbia Hana maana hajui kilichotokea kutokana na mapombe yake,jamaa alikuwa amerelax tu,
-dreva mlevi alihama site akaenda kuwavaa wanafunzi waliokuwa kwenye bajaji
Kama nilivyosema awali Sina uhakika wa gari,lakini habari za uhakika ni RAV4
-Nb--si Kwa ubaya lkn yaan pamoja na wanachuo waliokuwa wamejaa eneo la tukio huku wakishuhudia miili ya wenzao afu like li dereva lilevi lipo tu linakula Ac Kwa gari yake hakuna hata mmoja aliyejaribu hata kumparura parura nae akamwonyeshe mkewe kua hili jeraha nilipataga baada ya kuwaua watu 5,udom ni wastaarabu sana kama ni hivyo
 
Msemaji mwenyewe kichwa maji

Ajali ya gari; gari yakwao wanafunzi au public wamegongana wakitokea wapi
 
Back
Top Bottom