Toa taarifa Kwa usahihi kama huna fatilia ndo utoe,,ni hivi wanabodi,,Jana tarehe 4 june,jumamosi wanafunzi walikuwa wanatoka kwenye graduation ya dini CASFETA,walikuwa wamepanda bajaji kutoka Dodoma mjini kwenda udom "COED" bajaji ilikuwa imewabeba watu jumla 8,kama mnavyojua wanachuo hua wanabebana,nyuma wanaingia 5 mbele 2, na dreva 1,jumla 8,walipofika karibu na mwisho wa lami kama unaelekea block T, gari linalosemekana V8,(Sina uhakika kwenye gari)ndo likawangonga uso Kwa uso ,mida ya saa Moja hv,wakafariki wanachuo 3,na dreva mmoja , waliofariki wote ni 3rd yr,,RIP