Wanafunzi wengi waliomaliza vyuo vikuu hawana reasoning and cognitive skills

Wanafunzi wengi waliomaliza vyuo vikuu hawana reasoning and cognitive skills

Ukubali, ukatae, nyie vijana wa siku hz mna urlewa mdogo sana wa mambo
Huoni kama mleta uzi ndio kafanya segregation mapema mno ....Angechukua madaraja tofauti kabisa then anawapimahata kila daraja watano watano .


Ndio maana kuna interview ,wapo vijana wajanja sana ila mitihani wanambwelq kutwa .
 
Aise hali sio poa kabisa.

Sijui sasa hivi huko vyuoni wanawafundisha nini hawa watoto.

Ipo hivi juzi juzi hapo kulikua kunaitajika new staff. Pendekezo lilikuza hawa staff wapya wawe graduate wapya (Walio maliza mwaka huu) au mwaka jana lengo lilikua kuwapata fresh from school ile wawe trained hapa hapa wasije kuharibu kazi.

Tukapeleka pendekezo chuo kimoja kikubwa tu hapa mjini. Tunaomba Top Performer kenye course moja inayohusiana na Mambo ya Economics, Econometrics na Actuary Analysis.

Tukapewa list na namba zao za simu. Baada ya Hapo Vijana wakatafutwa wakapewa maelezo, Ofisi zilipo na siku yakuja kwa maelezo zaidi. moja ya japo waliopewa ni kwamba saa nne kamili wawe tayari wameshafika tayari.

Siku ya tukio sasa (Tulipata vijana sita). Hapa ndio vituko vilianza (Sijui walijua wanakuja kufanya interview) tukawachukua wakapelekwa meeting room, tukawapa magazeti haya haya ya Kiswahili sijui Nipashe, Uhuru Mwananchi, Raia Mwena, MwanaSpoti etc. wakaambiwa kwenye hayo magazeti wachambue habari zinazohusu economy (Mfano labda kwenye gazeti wameandika Serikali imezindua daraja la Wami. Watuambie hii kiuchumi ni nini na ina implication gani kwenye Macreconomic).

Pia condition ilikua moja wapo ikiwa habari au concept itajirudia kwa watu watatu hiyo concept au habari inakua deducted kwa watu wote (Haihesabiki). Tukawapa na mtu wa kuwasimamia pia na wifi (Free wifi speed ilipunguzwa, network iwe nzito <ili tuangalie watapoteza muda kwenye network au wata concentrate kwenye task)

Muda Ukaenda ukaisha. Kila mtu aka submit copy ya alichopata. Wakaja kwenye panel ku-present findings zao. Aise Hali ni mbaya mtu masaa karibia 6 magezeti karibu 8 amepata habari 2 za kiuchumi, mwingine 4, mmoja alijitutumia akapata 7.

Mtu unamuuliza sasa wewe imekuje umepata habari mbili tu anaanza mara hoo, mageti langu lilikua na habari za siasa nyingi yaani bla bla tu hamna kitu. Mtu unamuuliza hii habari yaserikali imetoa fedha za kujanga madarasa kwa kutumia force account hii si monetary policy hihii? au sio habari za ki uchumi anaanza kumumunya maneno.

Kitu kilicho nishagaza ni mtu unamwambia tupe twakimu za watoto chini ya miaka 5 kwa sasa hapa nchi. Mtua anaingia google jibu la kwanza au lapili litakalo tokea ndio analitaja.

Nikawa nawaza sasa kama hawa ndio top performer sijui best students hao wengine itakuaje. Imebidi tuchukue tu baadhi sasa tutafanyaje.

Lkn kiujumla baadhi ya wasomi wengi hama kitu.

Kuna kijana alikuja saa nne Karibia na robo nikesema hapa kazi ipo.
Elimu ya kukariri ni shida sana, uje sasa kuonana nao kwenya mwendo kasi....ze ze zeee nyingi ila kichwani hawana lolote
 
Ukubali, ukatae, nyie vijana wa siku hz mna urlewa mdogo sana wa mambo
Uelewa na mambo unachangizwa na vitu vingi sana mkuu mosi ni juhudi ya mtu binafsi.

Tuambia hapa enyi wenye uelewa mkubwa mmeleta mageuzi gani kwenye Sayansi na teknolijia,siasa, uchumi pamoja kijamii
 
Mtu unamuuliza hii habari yaserikali imetoa fedha za kujanga madarasa kwa kutumia force account hii si monetary policy hihii?
Kujenga madarasa kwa kutumia force account sio monetary policy. Haihusiani na monetary policy hata kwa mbali.

Monetary Policy ni hatua za kuimarisha uchumi kwa kuthibiti kiasi cha pesa kinachoingia kwenye uchumi haswa kwa kurekebisha viwango vya riba na masharti ya viwango vya amana za mabenki.

Has nothing to do with whether serikali imenunua simenti na kuchimba matundu ya vyoo kwa kutumia wazabuni walioshindanishwa au kampuni teule ya swaiba wa waziri (force account).

Hukuwa na competency ya kuwa-assess na kuwa-judge hao vijana.
 
Mkuu umeongea jambo la maana, ila kumbuka kwamba kuna wenye akili( hiyo uliyoiita reason skill..hawa huwa hawana alama za juu darasani) halafu kuna wale wenye uwezo mkubwa wa kukariri lakini wana uwezo mdogo wa kufanya reasoning..hawa ndiyo vipanga na wanaonekana wenye akili sana.
Kundi hili ndilo ulilokuwa umeletewa kwenye huo usaili wako.
Aise hali sio poa kabisa.

Sijui sasa hivi huko vyuoni wanawafundisha nini hawa watoto.

Ipo hivi juzi juzi hapo kulikua kunaitajika new staff. Pendekezo lilikuza hawa staff wapya wawe graduate wapya (Walio maliza mwaka huu) au mwaka jana lengo lilikua kuwapata fresh from school ile wawe trained hapa hapa wasije kuharibu kazi.

Tukapeleka pendekezo chuo kimoja kikubwa tu hapa mjini. Tunaomba Top Performer kenye course moja inayohusiana na Mambo ya Economics, Econometrics na Actuary Analysis.

Tukapewa list na namba zao za simu. Baada ya Hapo Vijana wakatafutwa wakapewa maelezo, Ofisi zilipo na siku yakuja kwa maelezo zaidi. moja ya japo waliopewa ni kwamba saa nne kamili wawe tayari wameshafika tayari.

Siku ya tukio sasa (Tulipata vijana sita). Hapa ndio vituko vilianza (Sijui walijua wanakuja kufanya interview) tukawachukua wakapelekwa meeting room, tukawapa magazeti haya haya ya Kiswahili sijui Nipashe, Uhuru Mwananchi, Raia Mwena, MwanaSpoti etc. wakaambiwa kwenye hayo magazeti wachambue habari zinazohusu economy (Mfano labda kwenye gazeti wameandika Serikali imezindua daraja la Wami. Watuambie hii kiuchumi ni nini na ina implication gani kwenye Macreconomic).

Pia condition ilikua moja wapo ikiwa habari au concept itajirudia kwa watu watatu hiyo concept au habari inakua deducted kwa watu wote (Haihesabiki). Tukawapa na mtu wa kuwasimamia pia na wifi (Free wifi speed ilipunguzwa, network iwe nzito <ili tuangalie watapoteza muda kwenye network au wata concentrate kwenye task)

Muda Ukaenda ukaisha. Kila mtu aka submit copy ya alichopata. Wakaja kwenye panel ku-present findings zao. Aise Hali ni mbaya mtu masaa karibia 6 magezeti karibu 8 amepata habari 2 za kiuchumi, mwingine 4, mmoja alijitutumia akapata 7.

Mtu unamuuliza sasa wewe imekuje umepata habari mbili tu anaanza mara hoo, mageti langu lilikua na habari za siasa nyingi yaani bla bla tu hamna kitu. Mtu unamuuliza hii habari yaserikali imetoa fedha za kujanga madarasa kwa kutumia force account hii si monetary policy hihii? au sio habari za ki uchumi anaanza kumumunya maneno.

Kitu kilicho nishagaza ni mtu unamwambia tupe twakimu za watoto chini ya miaka 5 kwa sasa hapa nchi. Mtua anaingia google jibu la kwanza au lapili litakalo tokea ndio analitaja.

Nikawa nawaza sasa kama hawa ndio top performer sijui best students hao wengine itakuaje. Imebidi tuchukue tu baadhi sasa tutafanyaje.

Lkn kiujumla baadhi ya wasomi wengi hama kitu.

Kuna kijana alikuja saa nne Karibia na robo nikesema hapa kazi ipo.
 
Top performers.....apa ndo mlipo zingua, nisawa na kuchagua mke kwa kuangalia take na sura
 
Wanakaririshwa na kiukweli siku hzi vyuoni hakuna usomaji narudia tena hakuna usomaji na tena hakuna usomaji visichana na vivulana haviko serious na shule viko kazi kupiga picha na kupost wanasubiri kugraduate, nilikua siku moja naongea na mdogo wangu kamaliza chuo akawa ananiambia yaani vyuoni hawasomi maana wengine Wana uhakika wa ajira wakimaliza hata akiwa na 'c'cheti kizima haijalishi, wengine wenzangu na Mimi wao wanakula Bata balaa hawajali na zile marks za kunnua Wachache sana wanajitambua very few of them kti ya 200 ni mmoja tu.

Yaani vitoto hivi wao na social media tu mda wote ila ukimuuliza hata waziri wake mwenye dhamana hamjui...
Sijaongelea kingereza hapo, huko ni majanga matupu.

Umeongea kitu kikubwa, nilishawahi feli somo flani chuo kwa sababu tu sikucopy na kupaste vitini vya lecturer flani kwenye mtihani wake. Ila wale waliocopy na kupaste wanapata A clean,

Uzuri semester iliyofuata alikuwa na somo jingine, sikutaka kujipa tabu. Nilisoma notes zake hadi nukta bila kuongeza chochote, mwisho wa siku nikanyoosha banda 😁😁

Sasa hapo mtu awe serious kusoma madini ya nje ya nini, ndio chanzo cha watu kukosa analytical skills sababu wamelemazwa na copy pasting japo good lecturers bado wapo wengi tu
 
Ni kweli usemalo mzee,
Asilimia kubwa saana yawahitimu hawana uwezo wa kuajirika..

Nafikiri nikutokana na mfumo wetu wa elimu hauko vzuri.. is much based in content rather than competency..


Kiongozi mkihitaji mtu mwingine wa uchumi ni wahishie PM.

Sent using Jamii Forums mobile app
Huwezi kumtoa kijana chronic moja kwa moja ukampa ajira ukategemea atafanya vizuri. Ndio maana kuna internships. Ajifunze kazi kwa vitendo ndio aende kwenye ajira. Sisi ofisini kwetu kila mwaka wanaleta trainee kutoka kwao wanakaa miezi sita kujifunza kazi ndio wanaenda kutafuta kazi kwingine. Waajiri pia wanatakiwa kuwekeza kwenye professional training ili kuwapa ujuzi wa kazi.
 
Back
Top Bottom