Wanafunzi wengi waliomaliza vyuo vikuu hawana reasoning and cognitive skills

Wanafunzi wengi waliomaliza vyuo vikuu hawana reasoning and cognitive skills

Mimi kama Mchumi nimesoma huu Uzi kwa makini sana,na kweli mtoa mada kampuni yanu ilitoa usahili mzuri tena mzuri sana kwa Wachumi hao-na hizo ndio kazi halisi za Wachumi kufanya uchambuzi wa kiuchumi.

Tatizo mnaangalia uwezo wa darasani tu! Kumbuka kuwa wanafunzi wengi Wana akili ya kukariri ili wajibu mitihani wafaulu, lakini tukija kwenye swala la uchambuzi ktk uhalisia wa alichojifunza darasani kwake ni zero!

Nadhani hata nyie mjifunze, sio Kila mwenye amefaulu darasani ana akili. Wengi waaufaulu wa michongo tu! Sie tuliopo chuo tunasoma nao ndo tunajua fulani kafaulu vp na kwa njia zipi tofauti na Jao walimu wanaoangalia marks tu

Usijifanye mjuaji unajiaibisha!! Unajua covnitive skills ni hatua ya ngapi katika uelewa?

Hii ni chai. Unapomuambia mtu achambue/aorodhesha habari za kiuchumi kwenye gazeti bila kumuambia idadi, hapo mpuuzi ni nani?

Roho mbaya tu!! Maisha sio magumu kiasi hicho then muanza kuwalipa kiduchu ,acheni kukaza vichwa

Assume mnaitaji mchumi ambae anatumika ku forecast labda supply & demand, sales au price ya bidhaa husika based on data kwa quatre ya 3 2023, kama huyu hawezi kujua visababishi vya inflation au exchange fluctuation estimation zake zitakua sio bias???

Labda tuna import bidhaa, kama hawezi kujua ni nini kinafanya shilling kupungua thamani atatushaurije mda gani wa ku import na mda gani si wa ku import ile tuwe benefited na foreign exchange??

Baadhi kuna baadhi darasani walikua wameiva mtu unamuuliza kuna tofauti gani logit na probit model anajua, unampa graph unamuuliza upi kati ya huo ni stationery au non stationery process anajua anakupa na sababu

Mtu unaona kabisa tukimpa miezi 6 ya kujifunza anaweza kusaidia
 
Aise hali sio poa kabisa.

Sijui sasa hivi huko vyuoni wanawafundisha nini hawa watoto.

Ipo hivi juzi juzi hapo kulikua kunaitajika new staff. Pendekezo lilikuza hawa staff wapya wawe graduate wapya (Walio maliza mwaka huu) au mwaka jana lengo lilikua kuwapata fresh from school ile wawe trained hapa hapa wasije kuharibu kazi.

Tukapeleka pendekezo chuo kimoja kikubwa tu hapa mjini. Tunaomba Top Performer kenye course moja inayohusiana na Mambo ya Economics, Econometrics na Actuary Analysis.

Tukapewa list na namba zao za simu. Baada ya Hapo Vijana wakatafutwa wakapewa maelezo, Ofisi zilipo na siku yakuja kwa maelezo zaidi. moja ya japo waliopewa ni kwamba saa nne kamili wawe tayari wameshafika tayari.

Siku ya tukio sasa (Tulipata vijana sita). Hapa ndio vituko vilianza (Sijui walijua wanakuja kufanya interview) tukawachukua wakapelekwa meeting room, tukawapa magazeti haya haya ya Kiswahili sijui Nipashe, Uhuru Mwananchi, Raia Mwena, MwanaSpoti etc. wakaambiwa kwenye hayo magazeti wachambue habari zinazohusu economy (Mfano labda kwenye gazeti wameandika Serikali imezindua daraja la Wami. Watuambie hii kiuchumi ni nini na ina implication gani kwenye Macreconomic).

Pia condition ilikua moja wapo ikiwa habari au concept itajirudia kwa watu watatu hiyo concept au habari inakua deducted kwa watu wote (Haihesabiki). Tukawapa na mtu wa kuwasimamia pia na wifi (Free wifi speed ilipunguzwa, network iwe nzito <ili tuangalie watapoteza muda kwenye network au wata concentrate kwenye task)

Muda Ukaenda ukaisha. Kila mtu aka submit copy ya alichopata. Wakaja kwenye panel ku-present findings zao. Aise Hali ni mbaya mtu masaa karibia 6 magezeti karibu 8 amepata habari 2 za kiuchumi, mwingine 4, mmoja alijitutumia akapata 7.

Mtu unamuuliza sasa wewe imekuje umepata habari mbili tu anaanza mara hoo, mageti langu lilikua na habari za siasa nyingi yaani bla bla tu hamna kitu. Mtu unamuuliza hii habari yaserikali imetoa fedha za kujanga madarasa kwa kutumia force account hii si monetary policy hihii? au sio habari za ki uchumi anaanza kumumunya maneno.

Kitu kilicho nishagaza ni mtu unamwambia tupe twakimu za watoto chini ya miaka 5 kwa sasa hapa nchi. Mtua anaingia google jibu la kwanza au lapili litakalo tokea ndio analitaja.

Nikawa nawaza sasa kama hawa ndio top performer sijui best students hao wengine itakuaje. Imebidi tuchukue tu baadhi sasa tutafanyaje.

Lkn kiujumla baadhi ya wasomi wengi hama kitu.

Kuna kijana alikuja saa nne Karibia na robo nikesema hapa kazi ipo.ni

Aise hali sio poa kabisa.

Sijui sasa hivi huko vyuoni wanawafundisha nini hawa watoto.

Ipo hivi juzi juzi hapo kulikua kunaitajika new staff. Pendekezo lilikuza hawa staff wapya wawe graduate wapya (Walio maliza mwaka huu) au mwaka jana lengo lilikua kuwapata fresh from school ile wawe trained hapa hapa wasije kuharibu kazi.

Tukapeleka pendekezo chuo kimoja kikubwa tu hapa mjini. Tunaomba Top Performer kenye course moja inayohusiana na Mambo ya Economics, Econometrics na Actuary Analysis.

Tukapewa list na namba zao za simu. Baada ya Hapo Vijana wakatafutwa wakapewa maelezo, Ofisi zilipo na siku yakuja kwa maelezo zaidi. moja ya japo waliopewa ni kwamba saa nne kamili wawe tayari wameshafika tayari.

Siku ya tukio sasa (Tulipata vijana sita). Hapa ndio vituko vilianza (Sijui walijua wanakuja kufanya interview) tukawachukua wakapelekwa meeting room, tukawapa magazeti haya haya ya Kiswahili sijui Nipashe, Uhuru Mwananchi, Raia Mwena, MwanaSpoti etc. wakaambiwa kwenye hayo magazeti wachambue habari zinazohusu economy (Mfano labda kwenye gazeti wameandika Serikali imezindua daraja la Wami. Watuambie hii kiuchumi ni nini na ina implication gani kwenye Macreconomic).

Pia condition ilikua moja wapo ikiwa habari au concept itajirudia kwa watu watatu hiyo concept au habari inakua deducted kwa watu wote (Haihesabiki). Tukawapa na mtu wa kuwasimamia pia na wifi (Free wifi speed ilipunguzwa, network iwe nzito <ili tuangalie watapoteza muda kwenye network au wata concentrate kwenye task)

Muda Ukaenda ukaisha. Kila mtu aka submit copy ya alichopata. Wakaja kwenye panel ku-present findings zao. Aise Hali ni mbaya mtu masaa karibia 6 magezeti karibu 8 amepata habari 2 za kiuchumi, mwingine 4, mmoja alijitutumia akapata 7.

Mtu unamuuliza sasa wewe imekuje umepata habari mbili tu anaanza mara hoo, mageti langu lilikua na habari za siasa nyingi yaani bla bla tu hamna kitu. Mtu unamuuliza hii habari yaserikali imetoa fedha za kujanga madarasa kwa kutumia force account hii si monetary policy hihii? au sio habari za ki uchumi anaanza kumumunya maneno.

Kitu kilicho nishagaza ni mtu unamwambia tupe twakimu za watoto chini ya miaka 5 kwa sasa hapa nchi. Mtua anaingia google jibu la kwanza au lapili litakalo tokea ndio analitaja.

Nikawa nawaza sasa kama hawa ndio top performer sijui best students hao wengine itakuaje. Imebidi tuchukue tu baadhi sasa tutafanyaje.

Lkn kiujumla baadhi ya wasomi wengi hama kitu.

Kuna kijana alikuja saa nne Karibia na robo nikesema hapa kazi ipo.
Ni matokeo ya kiwango cha elimu kushuka kama uchumi, michezo, kilimo, maadili nk nk yalivyoshuka usiwalaumu vijana wa watu kuwaambia HAMNA KITU. Total failure ya system. Mgomba ukiupeleka Singida utanyauka hata iwe mbegu bora na ukiupeleka Moshi na Bukoba utastawi. Hao vijana wakipata practical experience na mazingira mazuri watakuwa bora sana.
 
Aise hali sio poa kabisa.

Sijui sasa hivi huko vyuoni wanawafundisha nini hawa watoto.

Ipo hivi juzi juzi hapo kulikua kunaitajika new staff. Pendekezo lilikuza hawa staff wapya wawe graduate wapya (Walio maliza mwaka huu) au mwaka jana lengo lilikua kuwapata fresh from school ile wawe trained hapa hapa wasije kuharibu kazi.

Tukapeleka pendekezo chuo kimoja kikubwa tu hapa mjini. Tunaomba Top Performer kenye course moja inayohusiana na Mambo ya Economics, Econometrics na Actuary Analysis.

Tukapewa list na namba zao za simu. Baada ya Hapo Vijana wakatafutwa wakapewa maelezo, Ofisi zilipo na siku yakuja kwa maelezo zaidi. moja ya japo waliopewa ni kwamba saa nne kamili wawe tayari wameshafika tayari.

Siku ya tukio sasa (Tulipata vijana sita). Hapa ndio vituko vilianza (Sijui walijua wanakuja kufanya interview) tukawachukua wakapelekwa meeting room, tukawapa magazeti haya haya ya Kiswahili sijui Nipashe, Uhuru Mwananchi, Raia Mwena, MwanaSpoti etc. wakaambiwa kwenye hayo magazeti wachambue habari zinazohusu economy (Mfano labda kwenye gazeti wameandika Serikali imezindua daraja la Wami. Watuambie hii kiuchumi ni nini na ina implication gani kwenye Macreconomic).

Pia condition ilikua moja wapo ikiwa habari au concept itajirudia kwa watu watatu hiyo concept au habari inakua deducted kwa watu wote (Haihesabiki). Tukawapa na mtu wa kuwasimamia pia na wifi (Free wifi speed ilipunguzwa, network iwe nzito <ili tuangalie watapoteza muda kwenye network au wata concentrate kwenye task)

Muda Ukaenda ukaisha. Kila mtu aka submit copy ya alichopata. Wakaja kwenye panel ku-present findings zao. Aise Hali ni mbaya mtu masaa karibia 6 magezeti karibu 8 amepata habari 2 za kiuchumi, mwingine 4, mmoja alijitutumia akapata 7.

Mtu unamuuliza sasa wewe imekuje umepata habari mbili tu anaanza mara hoo, mageti langu lilikua na habari za siasa nyingi yaani bla bla tu hamna kitu. Mtu unamuuliza hii habari yaserikali imetoa fedha za kujanga madarasa kwa kutumia force account hii si monetary policy hihii? au sio habari za ki uchumi anaanza kumumunya maneno.

Kitu kilicho nishagaza ni mtu unamwambia tupe twakimu za watoto chini ya miaka 5 kwa sasa hapa nchi. Mtua anaingia google jibu la kwanza au lapili litakalo tokea ndio analitaja.

Nikawa nawaza sasa kama hawa ndio top performer sijui best students hao wengine itakuaje. Imebidi tuchukue tu baadhi sasa tutafanyaje.

Lkn kiujumla baadhi ya wasomi wengi hama kitu.

Kuna kijana alikuja saa nne Karibia na robo nikesema hapa kazi ipo.
Acha kuwananga vijana pamoja na vyuo vyao ndugu. Wewe mwenyewe unajidai kwa kuwa skills umezipata kutokana na job experience. Unafikiri hawa wakiwa trained hawawezi kudeliver? Mfano, unaongeleaje mfumo wa benki hapo zamani kuajiri vijana waliomaliza kidato cha nne moja kwa moja? Je hawa walikuwa na skills za mambo ya benki? Si walikuwa trained na kuwa competent baadaye? Je hawa si ndio miongoni mwa CEOS wa financial institutions mbalimbali siku hizi? Waajiri wengi mnajidai siku hizi kwa kuwa graduates wengi ni jobless, hayo ya graduates kutokuwa competent ni visingizio tu.
 
Assume mnaitaji mchumi ambae anatumika ku forecast labda supply & demand, sales au price ya bidhaa husika based on data kwa quatre ya 3 2023, kama huyu hawezi kujua visababishi vya inflation au exchange fluctuation estimation zake zitakua sio bias???

Labda tuna import bidhaa, kama hawezi kujua ni nini kinafanya shilling kupungua thamani atatushaurije mda gani wa ku import na mda gani si wa ku import ile tuwe benefited na foreign exchange??

Baadhi kuna baadhi darasani walikua wameiva mtu unamuuliza kuna tofauti gani logit na probit model anajua, unampa graph unamuuliza upi kati ya huo ni stationery au non stationery process anajua anakupa na sababu

Mtu unaona kabisa tukimpa miezi 6 ya kujifunza anaweza kusaidia
Anaweza kabisa amini kazi ni adaptive anasuit na mazingira ..nadhani hata wewe uko njema kwa sababu ipo kweny game kitambo.

Ni sawa kumchukua na kumpeleka kufanya malipo kweny mfumo wa serikali na kugenarate invoice ,ni vitu viko practical chuoni wanaweza kuwa hawasoni na filed inawezekana hakiwa sehemu hyo labda alienda bank kama teller.

Mambo yeni hayo Yana wide prosperity .. Tafadhali wapeni nafasi wawe on job training watakuwa njema.
 
Tuseme uko chuo kwenye hizo course za uchumi walisomea kuchambua habari au makala za kiuchumi kwenye magazeti?

Waajiri wa hii nchi wamejaa ujinga ujinga mwingi sana na ukweli ulio wazi ni kwamba wengi Elimu zao niza kuunga unga hivyo kuona kwamba vijana wapya kuwa tishio la nafasi zao.
Mmoja wa hao waathirika huyu hapa. Ona yeye anasuburi kukaririshwa habari za kuchambua habari ndiyo aweze kujibu swali kama hilo. Haoni uhusiano wowote na hajui maana ya

''reasoning and cognitive skills''

 
Kumbe hata wewe ni kilaza tu! Huyo dogo jibu alilokupa was the best answer!

Hivi unajua process za kua Judge??

Kuna wakati Judge anaweza teuliwa na mamlaka za juu bila hata kuangalia uwezo wa Judge hili suala nina mfano wake,kuna kipindi flan awamu flana iliwahi mteuwa Judge hakuwa hata na Degree ndo akaanza kusoma Open University! Hata Lissu kuna kipindi flan aliwahi piga sana kelele kwamba kuna baadhi ya Judges uwezo wao ni mdogo sana na hawajui mambo!

Sasa unauliza mtu eti process the kua Judge ni zipi??
Unatetea ukilaza?

Hayo yote alitakiwa huyo mwanafunzi ajue.

Utaratibu wa mtu kuwa judge lazima unafahamika kwa wanasheria.

Hata hilo la uteuzi alitakiwa ajue.
 
Mfano kwenye written interview ukipata chini ya pass mark inakuaje?

Yani mifumo yetu ya shule inabidi aangaliwe upya
Watu wanaangalia mafanikio wamegundua watumishi wanapigwa somjo unategemea nini,mtu anavaa tai alafu anajipa risasi kwa madeni unategemea nini
 
Pamoja na kuwa mlikuwa mnahitaji wafanyakazi, hiyo njia mliyotumia kuwapata hao wafanyakazi ni kama utafiti. Sasa lengo mojawapo la utafiti ni kutafuta majibu juu ya mapungufu (gap) yaliyojitokeza na kutoa mapendekezo (recommendation) ya namna ya kurekebisha hali hiyo. Je, unakuja na mapendekezo gani ili kuinusuru elimu yetu ili watoto wetu wapate elimu iliyo bora, na kuwawezesha kumudu soko la ajira ndani na nje ya nchi? Hata mtoto wako au ndugu atanufaika na hili.
Mfanyakazi anavaa tai Kali alafu anagongea soda,madogo wameona isiwe tabu nikukoroga mambo siku ziende,poa msomi anapoendesha bodaboda na kusaga lami unafikiria wadogo zake wanapata tafsiri gani
 
Kuna jamaa fulani alienda chuo akabadilisha courses Mara 3, Mara ya nne akapiga chini masoma akarudi home.
 
Huku vyuoni huwa tunapimwa storage capacity, kichwa chako je 128 MB 2GB, 4GB nk. Mwisho wa siku storage capacity yako inweza ku paste hizo data kwenye karatasi la majibu.. uwezo wako wa kukariri vitu vingi kwa muda mrefu ndio utakuokoa siku ya mwisho kwenye mitihani

Nakumbuka wakati nasoma nilikuja na mfumo wa kujibu kwa uwelewa wangu kwenye swali, unajua matokeo ya mfumo huo nilikua naambulia masononeko kila mara na sii kwasababu nilikuwa sijui au sielewi kile nilichofundishwa, bali mfumo wangu niliokuwa naenda nao usingeweza kutoboa mpaka mwisho. Alikuja jamaa yangu mmoja akaniambia ndugu yangu unapoteza muda na utafeli kwa mfumo wako, akanishauri toka huko njoo kwenye storage capacity. Matoke yake mambo yalienda kama nilivyopanga
Aise hali sio poa kabisa.

Sijui sasa hivi huko vyuoni wanawafundisha nini hawa watoto.

Ipo hivi juzi juzi hapo kulikua kunaitajika new staff. Pendekezo lilikuza hawa staff wapya wawe graduate wapya (Walio maliza mwaka huu) au mwaka jana lengo lilikua kuwapata fresh from school ile wawe trained hapa hapa wasije kuharibu kazi.

Tukapeleka pendekezo chuo kimoja kikubwa tu hapa mjini. Tunaomba Top Performer kenye course moja inayohusiana na Mambo ya Economics, Econometrics na Actuary Analysis.

Tukapewa list na namba zao za simu. Baada ya Hapo Vijana wakatafutwa wakapewa maelezo, Ofisi zilipo na siku yakuja kwa maelezo zaidi. moja ya japo waliopewa ni kwamba saa nne kamili wawe tayari wameshafika tayari.

Siku ya tukio sasa (Tulipata vijana sita). Hapa ndio vituko vilianza (Sijui walijua wanakuja kufanya interview) tukawachukua wakapelekwa meeting room, tukawapa magazeti haya haya ya Kiswahili sijui Nipashe, Uhuru Mwananchi, Raia Mwena, MwanaSpoti etc. wakaambiwa kwenye hayo magazeti wachambue habari zinazohusu economy (Mfano labda kwenye gazeti wameandika Serikali imezindua daraja la Wami. Watuambie hii kiuchumi ni nini na ina implication gani kwenye Macreconomic).

Pia condition ilikua moja wapo ikiwa habari au concept itajirudia kwa watu watatu hiyo concept au habari inakua deducted kwa watu wote (Haihesabiki). Tukawapa na mtu wa kuwasimamia pia na wifi (Free wifi speed ilipunguzwa, network iwe nzito <ili tuangalie watapoteza muda kwenye network au wata concentrate kwenye task)

Muda Ukaenda ukaisha. Kila mtu aka submit copy ya alichopata. Wakaja kwenye panel ku-present findings zao. Aise Hali ni mbaya mtu masaa karibia 6 magezeti karibu 8 amepata habari 2 za kiuchumi, mwingine 4, mmoja alijitutumia akapata 7.

Mtu unamuuliza sasa wewe imekuje umepata habari mbili tu anaanza mara hoo, mageti langu lilikua na habari za siasa nyingi yaani bla bla tu hamna kitu. Mtu unamuuliza hii habari yaserikali imetoa fedha za kujanga madarasa kwa kutumia force account hii si monetary policy hihii? au sio habari za ki uchumi anaanza kumumunya maneno.

Kitu kilicho nishagaza ni mtu unamwambia tupe twakimu za watoto chini ya miaka 5 kwa sasa hapa nchi. Mtua anaingia google jibu la kwanza au lapili litakalo tokea ndio analitaja.

Nikawa nawaza sasa kama hawa ndio top performer sijui best students hao wengine itakuaje. Imebidi tuchukue tu baadhi sasa tutafanyaje.

Lkn kiujumla baadhi ya wasomi wengi hama kitu.

Kuna kijana alikuja saa nne Karibia na robo nikesema hapa kazi ipo.
 
Mmeua elimu watoto wenu mnawapeleka nje kusoma halafu mnasema wasomi wa sasa "hamna kitu"!!! very unfair.
 
Hakuna muda wa kutosha kuzi apply zaidi ni vema ukapokea mtu na ukamfunza, kama umepita kwenye system hii ya vyuo vyetu utaelewa hili
Darasani wanafundishwa theory, inakuaje izo theory una fail ku zi implement kwenye mazigira ya kawaida??. Sasa inakua na maaana gani darasani unapata 90+ alafu kuzi apply unapata 20 ?? Hapa si elimu nayo inakua imeshidwa kuku-komboa
 
Back
Top Bottom