Infantry Soldier
JF-Expert Member
- Feb 18, 2012
- 15,892
- 16,476
Akitaka kutengeneza mfumo wa HR au procurement management atafanyeje wakati hajasomea hayo mambo?Umuhimu wa yeye kupitia hii kozi ni walau apate mwanga mathalani unatengeneza mfumo wa mikopo, usimamizi wa fedha nk inapunguza uhusishwaji wa kiwango kikubwa wa watu wa fani hizo .. ingawa watahusika kwa namna moja au nyingine.. changamoto kubwa ni wakati gani wanasoma.. mfano mfumo unatengeneza mwaka wa tatu kisha kozi unasoma mwaka wa kwanza..
Unapenda sana leagueKwani ni lazima kila kitu ufundishwe chuoni?
Vitu vingapi unafanya mitaani na hujawahi fundishwa popote pale?
Hayo mengine ndo skills tunazozisema hapa.
Hata nyie waajiri ni wajinga tena vilaza wa kutupwa kama si washamba!!Aise hali sio poa kabisa.
Sijui sasa hivi huko vyuoni wanawafundisha nini hawa watoto.
Ipo hivi juzi juzi hapo kulikua kunaitajika new staff. Pendekezo lilikuza hawa staff wapya wawe graduate wapya (Walio maliza mwaka huu) au mwaka jana lengo lilikua kuwapata fresh from school ile wawe trained hapa hapa wasije kuharibu kazi.
Tukapeleka pendekezo chuo kimoja kikubwa tu hapa mjini. Tunaomba Top Performer kenye course moja inayohusiana na Mambo ya Economics, Econometrics na Actuary Analysis.
Tukapewa list na namba zao za simu. Baada ya Hapo Vijana wakatafutwa wakapewa maelezo, Ofisi zilipo na siku yakuja kwa maelezo zaidi. moja ya japo waliopewa ni kwamba saa nne kamili wawe tayari wameshafika tayari.
Siku ya tukio sasa (Tulipata vijana sita). Hapa ndio vituko vilianza (Sijui walijua wanakuja kufanya interview) tukawachukua wakapelekwa meeting room, tukawapa magazeti haya haya ya Kiswahili sijui Nipashe, Uhuru Mwananchi, Raia Mwena, MwanaSpoti etc. wakaambiwa kwenye hayo magazeti wachambue habari zinazohusu economy (Mfano labda kwenye gazeti wameandika Serikali imezindua daraja la Wami. Watuambie hii kiuchumi ni nini na ina implication gani kwenye Macreconomic).
Pia condition ilikua moja wapo ikiwa habari au concept itajirudia kwa watu watatu hiyo concept au habari inakua deducted kwa watu wote (Haihesabiki). Tukawapa na mtu wa kuwasimamia pia na wifi (Free wifi speed ilipunguzwa, network iwe nzito <ili tuangalie watapoteza muda kwenye network au wata concentrate kwenye task)
Muda Ukaenda ukaisha. Kila mtu aka submit copy ya alichopata. Wakaja kwenye panel ku-present findings zao. Aise Hali ni mbaya mtu masaa karibia 6 magezeti karibu 8 amepata habari 2 za kiuchumi, mwingine 4, mmoja alijitutumia akapata 7.
Mtu unamuuliza sasa wewe imekuje umepata habari mbili tu anaanza mara hoo, mageti langu lilikua na habari za siasa nyingi yaani bla bla tu hamna kitu. Mtu unamuuliza hii habari yaserikali imetoa fedha za kujanga madarasa kwa kutumia force account hii si monetary policy hihii? au sio habari za ki uchumi anaanza kumumunya maneno.
Kitu kilicho nishagaza ni mtu unamwambia tupe twakimu za watoto chini ya miaka 5 kwa sasa hapa nchi. Mtua anaingia google jibu la kwanza au lapili litakalo tokea ndio analitaja.
Nikawa nawaza sasa kama hawa ndio top performer sijui best students hao wengine itakuaje. Imebidi tuchukue tu baadhi sasa tutafanyaje.
Lkn kiujumla baadhi ya wasomi wengi hama kitu.
Kuna kijana alikuja saa nne Karibia na robo nikesema hapa kazi ipo.
Usijifanye mjuaji unajiaibisha!! Unajua covnitive skills ni hatua ya ngapi katika uelewa?Kama magazeti yamewashinda kuchambua, data ndo wataweza?
Wewe nae huna reasoning and cognitive skills
Usijifanye mjuaji unajiaibisha!! Unajua covnitive skills ni hatua ya ngapi katika uelewa?Kama magazeti yamewashinda kuchambua, data ndo wataweza?
Wewe nae huna reasoning and cognitive skills
Nimekubali [emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]It's a wastage of time. Kama unaandaa mtaalam wa computer mfundishe aijue computer nje ndani na kama unaandaa mhasibu mfunze aujue uhasibu nje ndani na sio computer scientist unamjaza upuuzi wa debit na credit.
Mtaalam wa computer akitaka ku design system ya uhasibu basi atashirikiana na mhasibu ambaye yupo fully knowledgeable katika taaluma yake.
Ukienda kwenye interviews wanataka ujibu maswali kutoka kichwani mwako. Ukifaulu wakakupa kazi, ukikwama kidogo unaruhusiwa kujikumbusha kupitia Google na sio fresh from your brain.Shida ni mfumo wA Elimu, Kwa maana ya Mtaala hauruhusu kufikiri, isipokuwa uwezo wa kumbuka ndiyo kipimo Cha akili. Ukiweza kukariri hapa bongo utafanya vizuri Sana. Elimu imekuwa paper oriented
Hii ni chai. Unapomuambia mtu achambue/aorodhesha habari za kiuchumi kwenye gazeti bila kumuambia idadi, hapo mpuuzi ni nani?Aise hali sio poa kabisa.
Sijui sasa hivi huko vyuoni wanawafundisha nini hawa watoto.
Ipo hivi juzi juzi hapo kulikua kunaitajika new staff. Pendekezo lilikuza hawa staff wapya wawe graduate wapya (Walio maliza mwaka huu) au mwaka jana lengo lilikua kuwapata fresh from school ile wawe trained hapa hapa wasije kuharibu kazi.
Tukapeleka pendekezo chuo kimoja kikubwa tu hapa mjini. Tunaomba Top Performer kenye course moja inayohusiana na Mambo ya Economics, Econometrics na Actuary Analysis.
Tukapewa list na namba zao za simu. Baada ya Hapo Vijana wakatafutwa wakapewa maelezo, Ofisi zilipo na siku yakuja kwa maelezo zaidi. moja ya japo waliopewa ni kwamba saa nne kamili wawe tayari wameshafika tayari.
Siku ya tukio sasa (Tulipata vijana sita). Hapa ndio vituko vilianza (Sijui walijua wanakuja kufanya interview) tukawachukua wakapelekwa meeting room, tukawapa magazeti haya haya ya Kiswahili sijui Nipashe, Uhuru Mwananchi, Raia Mwena, MwanaSpoti etc. wakaambiwa kwenye hayo magazeti wachambue habari zinazohusu economy (Mfano labda kwenye gazeti wameandika Serikali imezindua daraja la Wami. Watuambie hii kiuchumi ni nini na ina implication gani kwenye Macreconomic).
Pia condition ilikua moja wapo ikiwa habari au concept itajirudia kwa watu watatu hiyo concept au habari inakua deducted kwa watu wote (Haihesabiki). Tukawapa na mtu wa kuwasimamia pia na wifi (Free wifi speed ilipunguzwa, network iwe nzito <ili tuangalie watapoteza muda kwenye network au wata concentrate kwenye task)
Muda Ukaenda ukaisha. Kila mtu aka submit copy ya alichopata. Wakaja kwenye panel ku-present findings zao. Aise Hali ni mbaya mtu masaa karibia 6 magezeti karibu 8 amepata habari 2 za kiuchumi, mwingine 4, mmoja alijitutumia akapata 7.
Mtu unamuuliza sasa wewe imekuje umepata habari mbili tu anaanza mara hoo, mageti langu lilikua na habari za siasa nyingi yaani bla bla tu hamna kitu. Mtu unamuuliza hii habari yaserikali imetoa fedha za kujanga madarasa kwa kutumia force account hii si monetary policy hihii? au sio habari za ki uchumi anaanza kumumunya maneno.
Kitu kilicho nishagaza ni mtu unamwambia tupe twakimu za watoto chini ya miaka 5 kwa sasa hapa nchi. Mtua anaingia google jibu la kwanza au lapili litakalo tokea ndio analitaja.
Nikawa nawaza sasa kama hawa ndio top performer sijui best students hao wengine itakuaje. Imebidi tuchukue tu baadhi sasa tutafanyaje.
Lkn kiujumla baadhi ya wasomi wengi hama kitu.
Kuna kijana alikuja saa nne Karibia na robo nikesema hapa kazi ipo.
Tusiwalaumu wanafunzi. Shule zinazowaandaa toka chini ni magumashi matupu. Mfano, mtoto wa darasa za sita anaenda shule saa 12 asubuhi na kuanza kusoma saa 12 na nusu. Anatoka saa mbili usiku. Nachojiuliza wanasoma nini?Aise hali sio poa kabisa.
Sijui sasa hivi huko vyuoni wanawafundisha nini hawa watoto.
Ipo hivi juzi juzi hapo kulikua kunaitajika new staff. Pendekezo lilikuza hawa staff wapya wawe graduate wapya (Walio maliza mwaka huu) au mwaka jana lengo lilikua kuwapata fresh from school ile wawe trained hapa hapa wasije kuharibu kazi.
Tukapeleka pendekezo chuo kimoja kikubwa tu hapa mjini. Tunaomba Top Performer kenye course moja inayohusiana na Mambo ya Economics, Econometrics na Actuary Analysis.
Tukapewa list na namba zao za simu. Baada ya Hapo Vijana wakatafutwa wakapewa maelezo, Ofisi zilipo na siku yakuja kwa maelezo zaidi. moja ya japo waliopewa ni kwamba saa nne kamili wawe tayari wameshafika tayari.
Siku ya tukio sasa (Tulipata vijana sita). Hapa ndio vituko vilianza (Sijui walijua wanakuja kufanya interview) tukawachukua wakapelekwa meeting room, tukawapa magazeti haya haya ya Kiswahili sijui Nipashe, Uhuru Mwananchi, Raia Mwena, MwanaSpoti etc. wakaambiwa kwenye hayo magazeti wachambue habari zinazohusu economy (Mfano labda kwenye gazeti wameandika Serikali imezindua daraja la Wami. Watuambie hii kiuchumi ni nini na ina implication gani kwenye Macreconomic).
Pia condition ilikua moja wapo ikiwa habari au concept itajirudia kwa watu watatu hiyo concept au habari inakua deducted kwa watu wote (Haihesabiki). Tukawapa na mtu wa kuwasimamia pia na wifi (Free wifi speed ilipunguzwa, network iwe nzito <ili tuangalie watapoteza muda kwenye network au wata concentrate kwenye task)
Muda Ukaenda ukaisha. Kila mtu aka submit copy ya alichopata. Wakaja kwenye panel ku-present findings zao. Aise Hali ni mbaya mtu masaa karibia 6 magezeti karibu 8 amepata habari 2 za kiuchumi, mwingine 4, mmoja alijitutumia akapata 7.
Mtu unamuuliza sasa wewe imekuje umepata habari mbili tu anaanza mara hoo, mageti langu lilikua na habari za siasa nyingi yaani bla bla tu hamna kitu. Mtu unamuuliza hii habari yaserikali imetoa fedha za kujanga madarasa kwa kutumia force account hii si monetary policy hihii? au sio habari za ki uchumi anaanza kumumunya maneno.
Kitu kilicho nishagaza ni mtu unamwambia tupe twakimu za watoto chini ya miaka 5 kwa sasa hapa nchi. Mtua anaingia google jibu la kwanza au lapili litakalo tokea ndio analitaja.
Nikawa nawaza sasa kama hawa ndio top performer sijui best students hao wengine itakuaje. Imebidi tuchukue tu baadhi sasa tutafanyaje.
Lkn kiujumla baadhi ya wasomi wengi hama kitu.
Kuna kijana alikuja saa nne Karibia na robo nikesema hapa kazi ipo.
Wewe nawe ndio hao hao wapumbavu wenyewe kazi kukariri tu notes za mwalimu..Mie nilishawahi sema kijana wa miaka 10 wa ulaya au marekani anayazidi akili na uchambuzi hayo mavilaza ya vyuo hapo mengi tu.Tuseme uko chuo kwenye hizo course za uchumi walisomea kuchambua habari au makala za kiuchumi kwenye magazeti?
Waajiri wa hii nchi wamejaa ujinga ujinga mwingi sana na ukweli ulio wazi ni kwamba wengi Elimu zao niza kuunga unga hivyo kuona kwamba vijana wapya kuwa tishio la nafasi zao.
Nilifaulu aptitude test ya CRDB mwaka 2014 kisha nikaja kufeli ya Exim Bank mwaka 2019. Mimi unaniweka kundi gani? Kilaza au intelligent?Ushawahi kwenda kwenye aptitude test?
Yale maswali ya kipuuzi kuna vichwa wanachemka.
Ndo maana nakwambia, mara nyingi first impression haidanganyi. Inakuwa sawa kwa zaidi ya 70%.
Ukienda kwenye interview unaweza jibu maswali yote kwa ufasaha na ukanyimwa kazi vile vile.
Mtaani wanafundisha kuchambua habari za uchumi kwenye magazeti? Mtaani gani huo niende mkuu?Kwani ni lazima kila kitu ufundishwe chuoni?
Vitu vingapi unafanya mitaani na hujawahi fundishwa popote pale?
Hayo mengine ndo skills tunazozisema hapa.
Ndio maana mnaambiwa mpo empty,kwa hiyo mnataka kuulizwa yaleyale mliofundishwa darasani?yaani nyie bongo zenu haziwezi kuwaza nje ya box?bure kabisaTuseme uko chuo kwenye hizo course za uchumi walisomea kuchambua habari au makala za kiuchumi kwenye magazeti?
Waajiri wa hii nchi wamejaa ujinga ujinga mwingi sana na ukweli ulio wazi ni kwamba wengi Elimu zao niza kuunga unga hivyo kuona kwamba vijana wapya kuwa tishio la nafasi zao.
Wewe si unaona hao hawana kitu nenda upewe mitihani yao uone utapata ngapi, kitu unasoma darasani ni tofauti na unachokutana nacho field mngeenda nao taratibu