Wanaijeria wa Clubhouse wakubaliana kwamba watanzania wanaunga mkono ubakaji

Basi hapa Watanzania watakasirika na haswa vijana wa kibongo fleva watakuja kujiua kwa kusikia hizi habari
 
Ndiyo kina hao na wana umuhimu na athari gani kwenye uchumi wa nchi hii!
 
nilipoona umewataja wa Nigeria,Basi sikuendelea kusoma .hao ni matapeli magwiji,si wanawake wao ,si wanaume wote ni matapeli na roho ngumu.
 

A) Ku speak out kwenye masuala ya udhalilishaji wa Kingono wengi huchelewa sababu ya kuumizwa sana hadi kushindwa kuliongelea, kuumizwa kiakili hivyo anakua anapata matibabu kutoka kwa wataalam wa Afya ya Akili, Kuona Aibu kuliongelea hilo suala... Kiufupi wengi hua kimya hata kwa Miaka 30 au anakufa nalo.

B) Alivyoona Tangazo la Royal Tour akaona aspeak up ili kuwatahadharisha wengine hasa Wakina Dada ambao wana safiri peke yao,

C) Hayo hua ni Maneno ya Mtu mwenye Hasira baada ya kufanyiwa jambo fulani basi hujumuisha vitu vingi na watu wengi bila kujali kwenye Wabaya na Wema wapo,

D) Hasira zake, hasa ukizingatia alitaka kufanyiwa kitendo hicho na Mwanaume na bado Wanaume hawakumpa ushirikiano wa Kisheria,

E) Kupata msaada wa kiSheria ukiwa ugenini sio jambo dogo, hapo ingebidi aishi hapo hapo ili kufatilia kesi yake je alikua amejipanga kwa gharama hizo?? lakini kuna ushahidi mwingi unao oenesha huyo dada alitaka kweli kufanyiwa jambo hilo lakini hakuna ushahidi unaoonesha huyo dada akiomba apatiwe kiasi hicho cha pesa ili kesi iishe, bado hatujui zaidi,

F) Ni Wapinzani wetu kwenye Soko la Utalii, hiyo ishu ingetokea Kenya hata sisi WaTz tungeungana na wengine kuwashambulia Kenyans,

G)Ni asilimia Moja pekee

H)Haita athirika kwa chochote zaidi itapata ahueni, kesi za madawa na Utapeli kwa Watalii wetu halisi zitapungua, kumbuka hiyo asilimia chache ya Nigerians wanaoenda Znz sio kwa Utalii bali kwa biashara za drugs, ukahaba na utapeli kwa Wazungu.
 
Dah..!! Wametufanisha na nyama pendwa ya kitimoto....!!!
 
Tutawawekea vikwazo.

Tutaiongeza kwenye orodha ya 'nchi zisizo rafiki wa Tanzania'

Na kama wakizidi kutuchokoza tutatumia silaha za next generation na nuclear weapons.
 
Hahahahaha ila jamaa umenichekesha sana, St kayumba the the no yes you know zinakuwa nyingi sana eti
 
At least u've said!! however still its not enough!! we seriously need deep blood's sacrificial to settle de matter!
 

walikuabaliana na mbakaji kutumia Condom.
Wakati wa tukio hakupiga kelele.
Bila shaka aliwasiliana na ubalozi juu ya tukio husika na kunyimwa msaada.
kama aliumia kisaikolojia kwanini alikwenda polisi na kuwa na nguvu ya kuchukua video halafu ashindwe kureport ubalozi wa kwao.
Aibu imeisha sasa, amereport ubalozini au kwenye social media?, yuko Nigeria alikwenda ubalozi wa Tanzania Nigeria kudai haki yake au nigeria high commission hapa Tanzania?.
Anafanya shughuli gani ya kumuingizia kipato Nigeria mpaka aweze kuja kutalii TZ kiasi cha kukaa hotel 4 stars?..
Polisi Zanzibar na kwenye hotel husika kuna matukio mangapi ya ubakaji kabla ya hili..?

Alitaka kubwa ameathirika kisaikolojia mwaka mzima,? kiasi cha kuona aibu kureport tukio?
 
tabia zao zilizozoeleka kila mahala duniani zinafanya wasiaminike hata kama kweli wameonewa mahala..
 
Ashukuruwe Mungu aliye juu ya mbingu na nchi kama ni kweli hawa mbwa wameamua kuisusia nchi yetu maana wamejaa kila aina ya uchafu hapa duniani:

Ma-hacker yalioshindikana
Majambazi sugu ya kutumia silaha
Wachawi dunia nzima hakuna
Matapeli ya kutupwa
Mamafia wanaoongoza duniani hivi sasa; rejea 'BLACK AXE' na wengineo
 
Huyu mwanamke wa kutoka nchi moja ya Africa Magharibi ni malaya kama malaya wengine...
Nani asiyejua yanayofanyika Zanzibar for the name 'Utalii'
Sio wazungu sio weusi biashara ya kujiuza kisiwani ni mwake lakini huyu malaya asipindishe story.. Anajua mchezo mzima

Kilichoshangaza wako wanaoijiita sijui wazalendo wanaharakati wengi walikurupuka kuhukumu kuomuonea huruma huyu malaya kwa kutumia social media kama twita ...
Jirani zetu nao wakahukumu haraka sana kwamba Tz hakufai watalii wasiende kuna ubakaji nk
Jirani jirani huko kwenu pande ya coast haya hayapo kwani....?

Tunasema hivi nchi hii ni yetu msitupangie anayetaka kuja kutalii aje asiyetaka asije nukta
Wale watalii wa kueneza magonjwa na kufanya ukahaba umalaya ufuska kama huyo bi zai msije hatuwahitaji....

Wapopo wapopolewe
Jeshi la Polisi mfanye msako tuwaondoe wasitupangie maisha. Wakasolve ya kwao scammers boko haram umaskini wa kutisha ukomavu na ugumu wa miili yao akili na mioyo yao...

Last: Stupid Nigerians... Idiots
Nchi yetu ni nzuri ina watu wazuri wakarimu wema wacheshi lakini tuko na mapungufu kedekede but tupo poa.... ya kwetu tunadeal nayo mdogomdogo
 

Naamini kabisa maneno yako, Nimeshuhudia hilo kwa wa South Africans wakijilengesha kwa wazungu.
 

Nawapenda sana waganda, wanawake wao ni wazuri sana, Hivi ni kweli wanakuepo pia?
 
Waje,wasije their nothing to us,they have nothing,only corruption na ufukara wa kutisha,hatuna biashara nao,wao kwanza wapambane na bokoharam,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…