mbongo_halisi
JF-Expert Member
- Apr 16, 2010
- 7,074
- 5,486
Basi hapa Watanzania watakasirika na haswa vijana wa kibongo fleva watakuja kujiua kwa kusikia hizi habariView attachment 2191594
Baada ya sakata la Zainab aliyedai kunusurika kubakwa akiwa Zanzibar, Wanaijeria mbali mbali wameonekana kukasirishwa na tukio hilo na kuanzisha mjadala unaosema kwamba Watanzania wote ni wajinga wanaounga mkono ubakaji. Wanaijeria hao wamekataa kufuta kauli hiyo na kuwaita watanzania ni takataka wasiyo natofauti na nguruwe. Mjadala huo unaendelea na kupamba moto na raia hao Wanaijeria wameapa kutokuja Tanzania kutokana na kukithiri kwa utetezi wa matukio ya ubakaji.
KUNA MASWALI MENGI YA KUJIULIZA KULIKO MAJIBU
a) Tukio lilitokea mwaka jana kwanini habari iripotiwe leo?
b) Kwanini habari hii iripotiwe wakati mmoja na uzinduzi wa Royal Tour Tanzania na Rais Samia huko Marekani?
c) Tukio moja hotelini huko Zanzibar kwanini unasema Wanigeria na watalii wasiende Zanzibar/Tanzania yote?
d) Kwanini unawaita wanaume wa Tanzania ni nguruwe wabakaji kwa kigezo cha tukio moja?
e) Alitaka alipwe fidia ya dola10,000 lakini aliposhauriwa kuanza mchakato mahakamani alikataa?
f) Kwanini social media za Nigeria, Kenya na SA ndizo hasa zinazoshadidia zaidi suala hili?
g) Wanaigeria wangapi kwa mwaka wanakuja kutalii Zanzibar au Tanzania kwa mwaka?
h) Zanzibar na Tanzania itaathirika kwa kiasi gani iwapo Wanaigeria hawatakuja kutalii huku kwetu?
Mwenye majibu asaidie hapa, maana mie sielewi
Dah..!! Wametufanisha na nyama pendwa ya kitimoto....!!!View attachment 2191594
Baada ya sakata la Zainab aliyedai kunusurika kubakwa akiwa Zanzibar, Wanaijeria mbali mbali wameonekana kukasirishwa na tukio hilo na kuanzisha mjadala unaosema kwamba Watanzania wote ni wajinga wanaounga mkono ubakaji. Wanaijeria hao wamekataa kufuta kauli hiyo na kuwaita watanzania ni takataka wasiyo natofauti na nguruwe. Mjadala huo unaendelea na kupamba moto na raia hao Wanaijeria wameapa kutokuja Tanzania kutokana na kukithiri kwa utetezi wa matukio ya ubakaji.
Hahahahaha ila jamaa umenichekesha sana, St kayumba the the no yes you know zinakuwa nyingi sana eti🇹🇿Ni muda muafaka wa wale wafuasi wa maria space wanaojidai ni wazakendo kukesha usiku kucha waungane wakawajibu huko kwa maslahi ya nchi
🇹🇿 Ni muda sahihi wa mange kimambi kupunguza muda wa udaku atumie ngeli anayoongea na wazungu huko kuwajibu
🇹🇿 Ni muda sahihi wa bwana kigogo anayejigamba kuwa anaweza kukuandika hadi ukazirai aanze kumwandika huyo kigagula ili dunia na yeye aone aibu
🇹🇿Ni muda sasa wa wale wanaodai uraia wa nchi mbili na tunawasikia kwenye clubhouse , Twitter nk wakiongea kimamtoni sasa nyookeni huko moja kwa moja ili jamii ijue umuhimu wenu kwenye nchi
🇹🇿Ni muda sahihi sasa kwa vijana wa vyama, Uvccm,bavicha, ngome za act, nk acheni propaganda sasa nendeni mkapindue meza huko kwa ajili ya nchi
🇹🇿 Muda sasa kwa wanavyuo, mliosoma medium, mnaletwa na magari ya njano nyumbani wale ambao mama mnamwita mom, na baba daddy , mliosoma chekechea kwa ada ya 10milioni na kuendelea haya nendeni mkakiongee chenyewe sisi st kayumba nia tunayi lakini maneno hayatoki ,umongo unawaza kusema hivi ila mdomo unachanganya na maviswahili
At least u've said!! however still its not enough!! we seriously need deep blood's sacrificial to settle de matter!Am Nigerian living tanzania , as you know so many Nigerian don't have a job so we use our skills whatever possible to survive anywhere, you pls must forgive us for the way we treat cheat scam and con others African fellow,we are very sorry for that....!
#GREAT_POPOS
A) Ku speak out kwenye masuala ya udhalilishaji wa Kingono wengi huchelewa sababu ya kuumizwa sana hadi kushindwa kuliongelea, kuumizwa kiakili hivyo anakua anapata matibabu kutoka kwa wataalam wa Afya ya Akili, Kuona Aibu kuliongelea hilo suala... Kiufupi wengi hua kimya hata kwa Miaka 30 au anakufa nalo.
B) Alivyoona Tangazo la Royal Tour akaona aspeak up ili kuwatahadharisha wengine hasa Wakina Dada ambao wana safiri peke yao,
C) Hayo hua ni Maneno ya Mtu mwenye Hasira baada ya kufanyiwa jambo fulani basi hujumuisha vitu vingi na watu wengi bila kujali kwenye Wabaya na Wema wapo,
D) Hasira zake, hasa ukizingatia alitaka kufanyiwa kitendo hicho na Mwanaume na bado Wanaume hawakumpa ushirikiano wa Kisheria,
E) Kupata msaada wa kiSheria ukiwa ugenini sio jambo dogo, hapo ingebidi aishi hapo hapo ili kufatilia kesi yake je alikua amejipanga kwa gharama hizo?? lakini kuna ushahidi mwingi unao oenesha huyo dada alitaka kweli kufanyiwa jambo hilo lakini hakuna ushahidi unaoonesha huyo dada akiomba apatiwe kiasi hicho cha pesa ili kesi iishe, bado hatujui zaidi,
F) Ni Wapinzani wetu kwenye Soko la Utalii, hiyo ishu ingetokea Kenya hata sisi WaTz tungeungana na wengine kuwashambulia Kenyans,
G)Ni asilimia Moja pekee
H)Haita athirika kwa chochote zaidi itapata ahueni, kesi za madawa na Utapeli kwa Watalii wetu halisi zitapungua, kumbuka hiyo asilimia chache ya Nigerians wanaoenda Znz sio kwa Utalii bali kwa biashara za drugs, ukahaba na utapeli kwa Wazungu.
Ashukuruwe Mungu aliye juu ya mbingu na nchi kama ni kweli hawa mbwa wameamua kuisusia nchi yetu maana wamejaa kila aina ya uchafu hapa duniani:View attachment 2191594
Baada ya sakata la Zainab aliyedai kunusurika kubakwa akiwa Zanzibar, Wanaijeria mbali mbali wameonekana kukasirishwa na tukio hilo na kuanzisha mjadala unaosema kwamba Watanzania wote ni wajinga wanaounga mkono ubakaji. Wanaijeria hao wamekataa kufuta kauli hiyo na kuwaita watanzania ni takataka wasiyo natofauti na nguruwe. Mjadala huo unaendelea na kupamba moto na raia hao Wanaijeria wameapa kutokuja Tanzania kutokana na kukithiri kwa utetezi wa matukio ya ubakaji.
Wadada wa Kinigeria, Kenya, Uganda, South Africa, Zimbabwe huenda sana Znz kipindi cha High Season kujiuza, tunawajua vema na utapeli wao kwa Wazungu, soko likiwa gumu huamia mitaani,
Hebu wasitutibue sie, wapigwe blacklist hao Makahaba na Matapeli wamechafua sana sekta yetu ya Utalii sasa mwisho wao umefika,
Wamekoroga Sumu wakaionja.
Wadada wa Kinigeria, Kenya, Uganda, South Africa, Zimbabwe huenda sana Znz kipindi cha High Season kujiuza, tunawajua vema na utapeli wao kwa Wazungu, soko likiwa gumu huamia mitaani,
Hebu wasitutibue sie, wapigwe blacklist hao Makahaba na Matapeli wamechafua sana sekta yetu ya Utalii sasa mwisho wao umefika,
Wamekoroga Sumu wakaionja.
Waje,wasije their nothing to us,they have nothing,only corruption na ufukara wa kutisha,hatuna biashara nao,wao kwanza wapambane na bokoharam,View attachment 2191594
Baada ya sakata la Zainab aliyedai kunusurika kubakwa akiwa Zanzibar, Wanaijeria mbali mbali wameonekana kukasirishwa na tukio hilo na kuanzisha mjadala unaosema kwamba Watanzania wote ni wajinga wanaounga mkono ubakaji. Wanaijeria hao wamekataa kufuta kauli hiyo na kuwaita watanzania ni takataka wasiyo natofauti na nguruwe. Mjadala huo unaendelea na kupamba moto na raia hao Wanaijeria wameapa kutokuja Tanzania kutokana na kukithiri kwa utetezi wa matukio ya ubakaji.
Wapo teleeee, kuanzia mwezi wa saba nendaNawapenda sana waganda, wanawake wao ni wazuri sana, Hivi ni kweli wanakuepo pia?