Wanajamiiforums mko wapi?

Umemsahau maluuni/fedhuli/kichomi/kiherehere/nuksi mmoja ISIS. Huyu jamaa alikua anaongoza kunitukana humu JF, kwa siku alikua ananitukana zaidi ya mara 1000.

kila uzi alikua hakosekani kuimba mapambio ya CCM. Ila ana muda sana sijui amefia wapi.
 
Umemsahau maluuni/fedhuli/kichomi/kiherehere/nuksi mmoja ISIS. Huyu jamaa alikua anaongoza kunitukana humu JF, kwa siku alikua ananitukana zaidi ya mara 1000.

kila uzi alikua hakosekani kuimba mapambio ya CCM. Ila ana muda sana sijui amefia wapi.

Yupo kule jukwaa la matangazo, anauza viatu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…