Unadhani Moderators wana akili kama zako? Wana angalia chanzo. Ropoka tena[emoji3][emoji3][mention]Paw [/mention] [mention]yingyang [/mention] [mention]Maxence Melo [/mention]
Hii post nikirudi badae na mhusika hajapigwa bann nitwashangaa kwanini mna ubaguzi
Ugonile nkamuππNsana gwa mwisukulugu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nakupenda sana Cocahh!!![emoji179][emoji179][emoji2956][emoji2956]kama hutojali lakini!!
πππππ Kweli nyie watu hapapo ambapo hampo,ππUgonile nkamuππ
M 30, wamekosa kiboya Sana, kutongoza wameshindwa, wa ngese Sana hao.Wabongo ngono inawafelisha Sana ,waambie waje tu huku bongo mambo ya utafutaji hawayawezi.
Watakosa fungu kwa uboya wa ovyo, wanawaharibia ndugu zetu wengine kwa upopoma wa kushindwa kutongoza.Hii ni dalili ya wanajeshii wetu kukosa nidhamu, itapelekea kutoshirikishwa katika operation za umoja wa Mataifa
Ni Kweli jeshi letu linasifika kwa utii,lkn Kwa Kanuni ya βSamaki mmoja akioza,wote wameoza,Lazima jeshi zima lilaumiwe.Sasa unalituhumu jeshi zima kwa taifa chafu za baadhi ya askari ?!!! [emoji15][emoji15][emoji15]
Majeshi ya nchi zote duniani huwa yana askari wachache "vichwa vibovu".....huwa wanayafanya hayo....
Kuwabaini "vichwa vibovu" na kuwapa adhabu ni jambo la kawaida tu....
Nchi yetu inaaminiwa sana kwa utii wa askari wake [emoji120]
#SiempreJMT[emoji120]
Alafu watoto wakiwa kwenye pared au kwenye kazi wakirudi vyumbani wanakuta matranka yamevunjwa au kuunguzwa mpaka kufuli linajiachia, wanaibiwa vitu vyao na hakuna pakushtaki, kwa mazungumzo yao wanasema wanahisi wale wanaojitolea, kambi zinaulizi mwizi Nani hapo.na mjadara wetu wa jkt kunyanyasa watoto wa kike wale wa mujibu wa sheria uendelee, kuna ukweli hapa....jeshi likishakuwa la kujuana tayari uadilifu unapungua.... by the way wanajeshi siyo watumishi wa umma mikataba yao ya ajira isitishwe mara moja na wahukumiwe mara moja.
Sawa mkuuKasome kanuni za ulinzi wa Amani, chini ya UN, utaona mlinzi wa amani, haruhusiwi kufanya mapenzi hata kwa hiari na mtu anaemlinda, kufanya hivyo inahesabiwa umebaka.
Inachukuliwa umetumia shida zake kumrubuni, hivyo hairuhusiwi, kufanya mapenzi na unaemlinda, ni sawa kwa Tanzania, mtu mzima kufanya mapenzi na mtu ambae hajatiza miaka 18 hata kama alihiari, uhesabika umebaka.
Hivyo hao wanajeshi, ukute hao wanawake walihiari na kuhongwa wamehongwa, na kinachowakamatisha ni mimba.
Ndiyo, baada ya kufanya utafiti wangu nikagundua kwamba ni kweli madai yao kwa kiasi fulani yana ukweli.
Twa masiku?πππππ Kweli nyie watu hapapo ambapo hampo,ππ
Mkuuu ebu tutake radhi,,,visa vya huko vinafichwa waga hawasemi au kuweka wazi ila unyanyasaji wa kijinsia upojeshi la nchi za kiarabu misri algeria sudan uae kuweit yemen rusia saudia china korea wapi ulisikia jeshi la nchi hizi zinabaka wanawake?
Hili nalo tukalitazameWanabaka hadi Form Six JKT
Daaah ndio maana nikaona kimyaTaarifa kama hii huwezi kuisikia kwenye TV zetu,wala kwenye radio zetu wala kwenye magazeti yetu.
FactSio kwamba wanabaka directly Mzee..once ukitoka uku kwenda kulinda amani hutakiwi kufanya mapenzi na raia yeyote wa kule ata kama mmekubaliana inahesabika umebaka,ikijulikana au ukionwa tu kibarua huna tena uko Kwa taratibu zilivyo