Wanajeshi wa israel wafurahia ushindi wa Donald Trump, wana uhakika wa kupata support ya nguvu kuzidi awamu ya Biden

Wanafurahia kuua Waarab kwani mlinzi na supporter wao mkubwa kisharudi madarakani.
 
WACHA URONGO,TRUMP ALSHASEMA ATAMALIZA HII VITA...SASA ITOSHE TU KUSEMA WANASHANGILIA KUSHINDA KWA TRUMP KWAMBA VITA VITAISHA NA WAO WATANUSURIKA NA KURUDI NYUMBANI KUJUMUIKA NA FAMILIA ZAO
 
israel kuendelea kuwepo hapo ni ushindi tosha
 
Hahahahahaha kwa maelezo haya enyi vijana wa mungu wa Elia na yakobo, tambueni bila America 🇺🇸 Israel ni mchumba tuu hata wanangu wa 92 wanawakalisha...
Gaza bila Iran , Qatar , Turkey hmn kitu
 
Warabu wa Iraq na Lebanon walio mpa tenders Israel ndio walio msaidia akatia PETN kwenye hizo pager na hizo walkie-talkie.
sasa nan yupo na Wapalestina fake km kila mtu anamsaidia Israel
 
Kimeumana huko
 

Attachments

  • main-qimg-1ea0c693a1ca98fdaf40dd680b7257be.jpeg
    36.8 KB · Views: 2
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…