kina kirefu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2018
- 15,188
- 18,583
Ishu nikwamba mahandaki Yao yanatokea wapi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu umepaniki eeeh
NB: Ukikaa nyumba ya vioo usirushie wenzio mawe
Mashoga wapo mpka makkah na madina shekhe
Wana Mtindo WA kuweka video games! [emoji15][emoji12]Aoone, Faiza Fox, Alwaz, nk. Hawa Hamas wa Tanzania hivi walisemaje vile[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] lkn kwa taarifa zao za uongo duh, akikuletea taarifa hao Hamas wz bongo aise unahisi si hapa Hamas wameshinda asbh[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kumbe haijafika , ndivyo unavyotaka shoga ??Itafika ni swala la mda tu
kama ulio nao wewe wa kujibadilisha id , una viroba vya id ,mia kidogo 😛 😛 😛Wana Mtindo WA kuweka video games! [emoji15][emoji12]
Kweli mkuu na hawa vipi wamekulisha na wewe matango pori kwenye mihadharaView attachment 2808059View attachment 2808060
Kwakua ni mweusi watamchinjilia mbaliNataka nikulipie nauli muda huu uende Sudan ndiyo utajua hii ni habari ya miaka 20 au ya hivi karibuni.
Usiwe na wasiwasi Janjaweed (RSF) ni waarabu wenzako yaani ndugu zako.
Mpaka mtu akunye..yani kifinyo kiendeleee..atakae zidiwa ataonekana
Mkuu toka 1967 umeona wapi wayahudi wakazidiwa na waarabu ambao Allah kawaambia mkimaliza kuua wayahudi mnawageukia wakrstoKwani anayeletewa manowari na midege ya silaha inakuwa vipi hajazidiwa? Angaliomba hiyo misaada na pesa ?
Sababu na hii imefika huku
Umeamua kuja na photoshop tena kwa jina la Nilson umeliwacha jina la bibi Cohen na mwengine?Sababu na hii imefika hukuView attachment 2808548View attachment 2808549
Mkuu kichapo kibaya sana...
Si walikua wanashangilia October 07.
Naona sasa wanalia na kuomba msaada kwa wakrsto kwa maneno mengi ya propaganda.
NB: KICHAPO KIENDELEE HAKUNA CEASE FIRE
Hii ni nchi ya waisalmu 99%. Ona ndugu zako wanavyofanya kwa watanzaniaUmeamua kuja na photoshop tena kwa jina la Nilson umeliwacha jina la bibi Cohen na mwengine?
Hayo mbona yako siku zote au hujui kuwa Gaza imezingirwa hata kabla Oktober 7 ?
Hii ni Nakba nyingine......It was a great miscalculation.....Labda walitegemea Iran, na Waarabu wengine wataingia....Bila kujua Iran haiko kwenye position ya ku fight direct confrontation na US kwa sasa hivi.....mpaka iwe na Nuke bombs za kutosha, huko mbeleni maybe......Kwa sasa ni hivi ni kutegemea Maandamano tu....tena kutoka Western world...
Tatizo huelewi hali ya Occupation , tuulize sisi wazanzibari