Wanajeshi wa Kenya wa kuruka kwa miavuli wameonyesha ugwiji wao. Mambo ya kushuka kwa kamba tumewaachia wengine.

Wanajeshi wa Kenya wa kuruka kwa miavuli wameonyesha ugwiji wao. Mambo ya kushuka kwa kamba tumewaachia wengine.

Humo kichwani mwako mmejaa funza, unabadilika badilika mara ushike majani mara uvunje njiti kama mtoto wa kike akitongozwa, stiki kwenye ulichokileta na sio kubadilika badilika.
Wacha siasa leta hapa tuone, hao jamaa kidogo wenyu walifunzwa tandem jumps hapo diani, badala matusi, leta hapa paratroopers wenyu tujionee, wakenya hii hapa if you want more nitakuletea

 
Haya ndio majibu. Haya majibu yenye ushahidi kabisa,huyu jamaa asipoenda kujinyonga mtaniambia
Jamaa mmoja mmemshangilia nikama malaika[emoji23][emoji23] tanzania hamna paratroopers
 
Kama vp ombeni vita vya ujirani mwema tujipime nguvu kama Wakenya hamjaomba pause.
 
Namna mnahangaika na Tanzania, hivi kumbe inawawasha sana?

Angalia hiyo then mwaka gani utajua mwenyewe!
Na sio mwaka huu.

Sasa huyu mtu mmoja ataenda vitani pekee yake? Halafu kaanguka chini chali. Hajui kuland.
Kwa ushukaji huu wa kutumia miavuli unapigwa faster sana.
Hata wale walioshuka juzi na Kamba bado kidogo
Hawa wa kamba wanaochukua dakika tano kujifunga kwa kamba kabla ya kuvutwa kama magunia ya mahindi ndio target rahisi, wanaweza fagiliwa na machine gun kwa sekunde kumi tu.
 
Sasa huyu mtu mmoja ataenda vitani pekee yake? Halafu kaanguka chini chali. Hajui kuland.

Hawa wa kamba wanaochukua dakika tano kujifunga kwa kamba kabla ya kuvutwa kama magunia ya mahindi ndio target rahisi, wanaweza fagiliwa na machine gun kwa sekunde kumi tu.
Daaaahhh.
Leo tunaaga makomandoo 6 waliofyekwa na wazee wa kazi huko northern Moqambique
 
Kuruka kwa miavuli ni ngumu sana na inahitaji ustadi na ueledi wa hali ya juu. Wanajeshi hawa wamepata mafunzo ya hali ya juu ili kuweza kuruka kwa miavuli na kunyemelea adui nyakati za usiku. Hawa hawafungwi na kamba na kuvurutwa na helicopter kama watu wengine.


Ni kwasababu hamna helicopter capable ya kubeba wanajeshi wote hao halafu ile ya kushuka na kamba ni rescue operation jua kutofautisha mambo
 
Kuruka kwa miavuli ni ngumu sana na inahitaji ustadi na ueledi wa hali ya juu. Wanajeshi hawa wamepata mafunzo ya hali ya juu ili kuweza kuruka kwa miavuli na kunyemelea adui nyakati za usiku. Hawa hawafungwi na kamba na kuvurutwa na helicopter kama watu wengine.



Kuna siku waliwahi kufanya hiki wakati wa JK, hadi JK mwenyewe akakoshwa vibaya sana na kuwaomba waende waka-"shake hands" naye baada ya kuwa wameshuka. Hili nalo walishafanya, tena walifanya kali zaidi kuzidi hiki ulichoonyesha wewe hapa.
By the way, mimi kama layman niulize swali; lipi ni zoezi hatari zaidi kufanya kati ya komandoo kushuka kwa mwavuli na kushuka kwa kamba akitokea juu kwenye helicopter?
 
Sasa huyu mtu mmoja ataenda vitani pekee yake? Halafu kaanguka chini chali. Hajui kuland.

Hawa wa kamba wanaochukua dakika tano kujifunga kwa kamba kabla ya kuvutwa kama magunia ya mahindi ndio target rahisi, wanaweza fagiliwa na machine gun kwa sekunde kumi tu.
😂😂😂😂duuh tangu nizaliwe sijawi kuwaza wakenya mpo na ushamba wa kiasi hiki yani mnajivunia askali wa miamvuli teknolojia tangu vita vya dunia ambayo siku hizi ni michezo kwa raia wa kawaida na usichokijua hata wewe unaweza kujifunza ndani ya wiki mbili tu umemasta
huku tanzania hayo maonyesho ya askali wa miamvuli ni tangu 2014 kipindi cha raisi kikwete na watu siku hizi sio dili wa nini kama huko kwenu

Siku majeshi yalioendelea hayo mafunzo ya kushuka parachuti yamekuwa ni kama kutimiza ratiba za mafunzo ila vita vya siku hizi watu wanatumia helicopter kwa sababu kwanza ni rahisi katika landing na kuondoka katika eneo tofauti na hao paratroopers ambao kama wametumwa mission basi huchukua muda mrefu kufika eneo husika kwa sababu hawawezi kutua eneo la tukio direct kama wa helicopter

images (1).jpeg


download.jpeg


images.jpeg


images (85).jpeg
 
Kuna siku waliwahi kufanya hiki wakati wa JK, hadi JK mwenyewe akakoshwa vibaya sana na kuwaomba waende waka-"shake hands" naye baada ya kuwa wameshuka. Hili nalo walishafanya, tena walifanya kali zaidi kuzidi hiki ulichoonyesha wewe hapa.
By the way, mimi kama layman niulize swali; lipi ni zoezi hatari zaidi kufanya kati ya komandoo kushuka kwa mwavuli na kushuka kwa kamba akitokea juu kwenye helicopter?
Skia huyu, leta ushahidi mkona paratroopers, mambo ya kushuka kwa helicopter ni kitu kidogo sana, skydiving si mchezo
 
Unamnyemelea adui wakati wameletw na helcopter. Huyo adui atakuwa muuza bhange wa Nakuru.
 
Back
Top Bottom