Yeah...you are right manMkuu Hiyo ni History you cant change it like that... Fuatilia tu hiyo Vita utanielewa Wapalestina walikuja kutumaliza Tanzania... Wajua Waislam wenye Siasa kali huungana popote pale watasafiri wasaidie wenzao washinde... Palestina walikuwa Marafiki wa Uganda baada ya Amini Dada kukubali ndege ya Mateka wa Israel Itue Entebbe na Wapalestina ndio Waliokuwa Wameiteka hiyo Ndege. Amini alileta wapiganaji from Palestina Uliza Mwanajeshi yeyote utanielewa nimemaanisha na pia huwa Sikosei hoja Zangu huwa zinasimama hadi Mwisho sababu mimi Sio Politicians. Video ya Vita ya kagera pia hao Mateka walikamatwa wa Libya na Palestina Nyerere aliwasamehe Picha zao Zipo.. Najaribu kukumbuka nikizipata nitazituma humu.
Wewe ndo mpuuzi unayebisha. Kwanini wakanushe ukweli? Unadhani hizo ni propaganda za kiccm?Huu ni upuuzi tu na kuzalilisha jeshi letu vyombo husika vikanushe habari hizi
Mkuu hata mimi uwa napata ukakasi kuamini aliyosema mwalimu kwamba "tumepoteza vijana 395 na raia wasiopungua 1500" kwa nature ya ile vita watu wengi na askari walipotea, ukiangalia strength ya tanzania kulikuwa na askari "troops" wasiopungua 150'000~250'000, (hapa chukua na UNLA ya Mseveni plus wale askari kutoka Mozambique, China na Cuba) wakt waganda awakuwa na zaidi ya askari 70'000 ukijumlisha na Libya zaidi ya 500, na bado vita ilipiganwa zaidi ya miezi 10 mpk ushindi kupatikaWengi humu yaelekea hawakuwepo wakati huo.
Amin alijiandaa kwa vita ile mapema. Tanzania haikuwa na maandalizi. Jeshi la Amin lilikuwa na vifaa vya kisasa zaidi kuliko jeshi letu.
Kwa taarifa za ndani ni kuwa askari wa mwanzo kwenda mstari wa mbele walikuwa ni mgambo na JKT. Na baadaye walifuata askari wa kutoka kikosi cha Zanzibar. Vikosi hivi vya mwanzo au viliteketea kabisa au walibakia manusura wachache.
Amin alikuwa akisaidiwa na makaburu na Gadafi wa Libya. Tanzania tulipata msaada mkubwa toka kwa Fidel Castro wa Cuba.
Tanzania ilishinda vita vile kutokana na moyo wa kujitoa, weledi, umoja na uzalendo lakini siyo kwa ubora wa vifaa.
Ile ilikuwa ni vita, siyo sherehe. Tulivamiwa. Aliyevamia alijiandaa. Mshindani wako ambaye mmekaribiana kwa kila hali, siyo rahisi umshinde wakati wote na kila mahali. Waulize waliopigana vita vile ndiyo watakueleza ugumu ulivyokuwa. Unafuu ulikuja mwishoni, wakati Jeshi la Uganda likiwa limegawanyika na kukosa uongozi wa pamoja.
We jamaa utakua sio mtz unadhalilidha jeshi elfu 2000 watu mchanga? Jwtz unalijua au unaropoka tu nonsense!
Watu 2000 wana wa nchi waliuawa kikatili na jeshi la Uganda kwa msaada wa Gaddafi.
Halafu leo watu wanamsifia Gaddafi eti mzalendo, kiongozi bora wa Africa.
Inatia kichefuchefu.
Nadhani data au takwimu halisi za wanajeshi waliopteza maisha wakati wa vita ya Kagera ipo pale Ngome....na haitusaidii sana kwa sasa zaidi ya kuadhimisha siku ya mashujaa na kuangalia familia zao.
Kwani makaburi ya Bunazi-Kagera yakihesabiwa inapatikana idadi gani?
Unajua maana ya askari 2000 hicho ni kikosi ama vikosi viwili. Tony Avirgan ameandika katika War in Uganda kuwa tulipoteza askari wengi sana mwanzoni mwa mapigano, lakini hakuna takwimu ya wanajeshi 2000 kufariki pale Lukaya. Msiendekeze sana BBC.
Mwaka juzi Al Shabab waliua askari zaidi ya 200 wa KDF kwa ambush ambayo haikuzidi one hour. Hadi leo Kenya hawajathubutu kuwatangazia wananchi rasmi hii idadi.Idadi ya askari waliouawa hwezi kuambiwa milele. Tony asingeweza kupewa idadi ile na siyo mtu wa kupewa.
Respond the matters with the facts na sio porojo. Ukweli wa vita hii waulizie watu wa Kagera, especially Wilaya ya Missenyi ndo watawapa ukweli wa vita hii. sio kwamba kila kitu kilikuwa disclosed na ushindi haukuja da way wanavyouongelea.Umefichwa na nani? au wewe ni Mento? inamaana ulifichwa na baba yako au nani haswa maana vita ya Uganga hadi sinema halisi zilihusika.. Waliofyekwa walikuwa ni Jeshi la Mgambo na hii ipo wazi kabisa ukisoma habari za vita ya uganda sasa unaleta takwimu zako za kipumbavu pumbavu ati ulifichwa au hujawahi sikia hata sikukuu ya Mashujaa waliopoteza uhai wao katika Vita hiyo ya Kagera? Kwa Taarifa yako waliuwawa na Wanajeshi wa Palestina waliokuja kumtetea Amin Ndio maana Siwapendi Wapalestina natamani wafutwe kabisa Duniani. Wana bahat sana Nyerere aliwasamehe
Sasa niulize wewe umeipataje basi hio ya 2000?Idadi ya askari waliouawa hwezi kuambiwa milele. Tony asingeweza kupewa idadi ile na siyo mtu wa kupewa.
Hawakuwa wanajeshi waliopata mafunzo,waliopelekwa kwanza,walikuwa wanamgambo na wananchi waliopewa crush program ya mapambano,kwa muda mfupi,ndio wakapelekwa mstari wa mbele,ungekuwa msomaji mzuri wa historia,hili jambo limeelezwa vzr kwenye filamu ya vita ya Kagera,mpaka majarida mbalimbali yanayopatikana hata kwenye maktaba ya Taifa,mimi nalifahamu hili tangu mwaka 1996,Habari kwenu jukwaani.
Kuna simuluzi BBC Radio wanatujuza historia iliyofichwa. Mwanzoni mwa vita vya Kagera ni kuwa baada ya Amini kufanya uvamizi wake, Tanzania ilitanguliza kikosi cha wanajeshi 2000 mstari wa mbele na chote kilifyekwa na majeshi ya Amin.
Baada ya hapo jeshi letu lilijipanga upya na kusonga mbele hadi Kampala na Jinja ambapo Idd Amin alitimkia Libya na baadae Saudi Arabia.
Hii historia sijiwahi kuisikia, nilijua tulipigana bila upinzani mkali na hatukupoteza askari wengi kiasi hiki kwa mpigo mmoja.
Msimuliaji pia anadai jeshi la Uganda lilikuwa limegawanyika sana kwani baadhi hawakumtaka Amin aendelee kuongoza Uganda na hivyo kulisaidia jeshi letu lililojipanga upya kushinda vita hivyo.
Viva JWTZ.
Hawakuwa wanajeshi waliopata mafunzo,waliopelekwa kwanza,walikuwa wanamgambo na wananchi waliopewa crush program ya mapambano,kwa muda mfupi,ndio wakapelekwa mstari wa mbele,ungekuwa msomaji mzuri wa historia,hili jambo limeelezwa vzr kwenye filamu ya vita ya Kagera,mpaka majarida mbalimbali yanayopatikana hata kwenye maktaba ya Taifa,mimi nalifahamu hili tangu mwaka 1996,Habari kwenu jukwaani.
Kuna simuluzi BBC Radio wanatujuza historia iliyofichwa. Mwanzoni mwa vita vya Kagera ni kuwa baada ya Amini kufanya uvamizi wake, Tanzania ilitanguliza kikosi cha wanajeshi 2000 mstari wa mbele na chote kilifyekwa na majeshi ya Amin.
Baada ya hapo jeshi letu lilijipanga upya na kusonga mbele hadi Kampala na Jinja ambapo Idd Amin alitimkia Libya na baadae Saudi Arabia.
Hii historia sijiwahi kuisikia, nilijua tulipigana bila upinzani mkali na hatukupoteza askari wengi kiasi hiki kwa mpigo mmoja.
Msimuliaji pia anadai jeshi la Uganda lilikuwa limegawanyika sana kwani baadhi hawakumtaka Amin aendelee kuongoza Uganda na hivyo kulisaidia jeshi letu lililojipanga upya kushinda vita hivyo.
Viva JWTZ.