Mkuu hata mimi uwa napata ukakasi kuamini aliyosema mwalimu kwamba "tumepoteza vijana 395 na raia wasiopungua 1500" kwa nature ya ile vita watu wengi na askari walipotea, ukiangalia strength ya tanzania kulikuwa na askari "troops" wasiopungua 150'000~250'000, (hapa chukua na UNLA ya Mseveni plus wale askari kutoka Mozambique, China na Cuba) wakt waganda awakuwa na zaidi ya askari 70'000 ukijumlisha na Libya zaidi ya 500, na bado vita ilipiganwa zaidi ya miezi 10 mpk ushindi kupatika
Hapa nahisi yafuatayo......
1. Uenda idadi hii 395 ni idadi ya askari waliokufa vitani na sio idadi ya wale mgambo,JKT,UNLA,polisi na washirika kwani mwanzon zile platoons zaidi ya 10 zilizotaka kuvuka mto kupitia mitumbwi zilimiminiwa mizinga na kupotea kabisa kiasi cha kamanda wake kuondolewa mstari wa mbele na daraja kuvunjwa rasmi
2. Hii vita ilkuwa ngumu kweli kweli kutoka na kupiganwa kipindi cha masika na ile misitu minene na mapoli ya Uganda kiasi cha kupoteza askari wengi sana
3. Vita hii wakati mwingine ulihitajika uzalendo kwan kizana waganda walikuwa mbali kivifaa kuna wakati vita ilichachamaa esp katika utekaji wa mbalala na entebbe kiasi cha askari frontline ku retreat bila mpangilio wengin walkimbia mpk bukoba mjini mpk kupelekea msuguri kuonelea askari wote wavuke daraja kisha livunjwe ili wasipate pa kupitia na kazi ya kujijenga upya kuchukua wiki tatu
5. Uenda kuna stori inafichwa makusudi na kwa mtu ambaye ana ubongo ili ni muhimu zaidi na ufanywa makusudi