chikutentema
JF-Expert Member
- Dec 10, 2012
- 7,694
- 4,954
Wa Ukreine wa Kogongwa na Mtwango watapinga hili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aliambiwa hakuna vita hapo tunakuja kukupiga tu.Binafsi ili kuepusha vifo vya Raia wengi Zelensky akubali kushindwa Vita, Zelensky licha ya ukomedi wake ameonesha Kwamba Ukraine so ya kuchezewa kirahisirahisi. Hilo hats warusi washajua. Lakini kushinda Vita dhidi ya Russia Ni joke ya Karne! Hata Wamarekani wanajua sema wanampa Moyo..
Zelensky ashajua Vita atashindwa lakini mashart y Putin Ni magum na mazito hivyo Bora apigane pigane angalau heshima yake itaandikwa vitabuni ..
Zelensky acha kuua watu wako kwa kuendekeza ubishi
Hivi ukivamiwa nyumban kwako na jiran yako mwenye nguvu unasarenda kiboya tu na kumpa watoto na mke kisa ana nguvu bila kuonesha reaction yoyote. Yaan wanaumme wa dar ni shida tupu
Ata unationalize.Unakuwa chini ya utawala wa Urusi hadi hapo vita itapoisha
Hao civilians wamejazwa ujinga wabebe silaha walinde nchi yao, sasa kwanini wasiuliwe na wamebebeshwa silaha. Mauaji kwa raia hayaepukiki maana hawajielewi.Itapendeza sana. Tena wakiichukua yote itapendeza zaidi, ila wasiuwe civilians.
wasiue mara ngap ? siku ukivamiwa ww kwa kutaka kujiunga SADC ndo utaelewaItapendeza sana. Tena wakiichukua yote itapendeza zaidi, ila wasiuwe civilians.
imbecilsputin show show mpaka waseme poo na mazungumzo yasiwepo washikishe adabu
mmechoka kuuana sshv mnataka kuua wazungu si ndio ?Sawa maana tumezoea umwagaji damu kama huo kuona Afrika na Uarabuni, na wenyewe ni zamu yao sasa.
fuatilia acha ubish wa kijinga , warusi waliingia kweny huo mji kisha Ukraine wakurudisha then Urusi ndo anaenda kuuteka tenaacha uwongo ndio mala ya kwanza hata cnn wanasema hilo
imbecilsNaendelea kusema Ukraine apigwe tu
Nalog off
imbecilsNakazia apigwe tu nalog off[emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]