Wanajeshi wa Urusi waingia ndani zaidi ya mji wa Mariupol

Wanajeshi wa Urusi waingia ndani zaidi ya mji wa Mariupol

Binafsi ili kuepusha vifo vya Raia wengi Zelensky akubali kushindwa Vita, Zelensky licha ya ukomedi wake ameonesha Kwamba Ukraine so ya kuchezewa kirahisirahisi. Hilo hats warusi washajua. Lakini kushinda Vita dhidi ya Russia Ni joke ya Karne! Hata Wamarekani wanajua sema wanampa Moyo..
Zelensky ashajua Vita atashindwa lakini mashart y Putin Ni magum na mazito hivyo Bora apigane pigane angalau heshima yake itaandikwa vitabuni ..
Zelensky acha kuua watu wako kwa kuendekeza ubishi
 
Binafsi ili kuepusha vifo vya Raia wengi Zelensky akubali kushindwa Vita, Zelensky licha ya ukomedi wake ameonesha Kwamba Ukraine so ya kuchezewa kirahisirahisi. Hilo hats warusi washajua. Lakini kushinda Vita dhidi ya Russia Ni joke ya Karne! Hata Wamarekani wanajua sema wanampa Moyo..
Zelensky ashajua Vita atashindwa lakini mashart y Putin Ni magum na mazito hivyo Bora apigane pigane angalau heshima yake itaandikwa vitabuni ..
Zelensky acha kuua watu wako kwa kuendekeza ubishi
Aliambiwa hakuna vita hapo tunakuja kukupiga tu.
Usiingie NATO wala kukaribiana nao akabisha.
Ndo kichapo hicho kinatembea sasa.
Nchi za NATO haziwezi kuingilia hiyo vita ndo mana wakakimbilia sanction.
EU wote hawana ubavu kumchapa mrusi.
Na mrusi yupo majini angani Europe yote anaspy.
Bila US mrusi angesha concur hilo eneo lote.
Hamna jeshi EU ni watoto wa mama waliovaa magwanda.
Russia ni stain hard soldier.
Angalia movie STALINGRAD
Then utajua Ukraine ni kitu kidogo sana kwao.
 
Hivi ukivamiwa nyumban kwako na jiran yako mwenye nguvu unasarenda kiboya tu na kumpa watoto na mke kisa ana nguvu bila kuonesha reaction yoyote. Yaan wanaumme wa dar ni shida tupu

Sababu ya kuvamiwa ni ipi
 
Hizi ni mbinu za kivita lakini sio mimuda mlefu Ukurain Anaenda kushinda vita dhidi ya Urusi .Poleni Sana Warus mnaenda para aibu kubwa Sana ambayo haijawai tokea
 
Back
Top Bottom