Wanajeshi wa Urusi waingia ndani zaidi ya mji wa Mariupol

Wanajeshi wa Urusi waingia ndani zaidi ya mji wa Mariupol

Kwani usanii siyo kazi???!!! Wewe mtu akija kwako ana maguvu akitaka kukubaka/kukulawiti utakubali tu hutapambana sababu ana maguvu!! Mawazo ya ajabu sana. Watu lazma wapambane kulinda nchi yao kufa kila nafsi itaonja mauti. Wanakimbia kwenda wapi na nchi ni yao. Jukumu la kulinda nchi ni la kila mwananchi siyo mwanajeshi tu.
Si kweli kinachofanywa na uongozi wa Ukraine ni propaganda war, vita imewashinda mkuu.

Wanatumia wananchi kama human shield wakifa picha zitembee instagram Russia aonekane mbaya.


Kwenye vita hata kama upewe kifaru kama huna mafunzo we ni maiti, huwezi kutana na askari wa Russia wenye mafunzo waone una silaha wakuache, lazima wakuchane chane kwa risasi.

Zelensky aache huo ujinga.
 
Sheitwani mkubwa unafurahia watu kuuwawa unaleta ushabiki wa simba na yanga ktk maisha ya watu!!!! Shame on you.
waliokufa libya,iraq nk kwa mgongo wa hao west eu sio watu we kiazi?kama unajipendekeza kwa hao pig wape mtalo wakutatue malinda .shame on your clan buda
 
Tukiondoa uzito wa makombora ya Nuclear, ibaki jets, submarimes, navy ships, tanks n.k Russia hawezi kufua dafu mbele ya German na UK. Hawa jamaa wawili wana vikosi vizuri mno vya mapambano, hata US anatambua hili.
hao ulowataja wooote wameunda kolabo ya Nchi zaidi ya 25 kupambaa na huyo asiweza kufua dafu
wakampige sasa maana hawezi kitu nakashachoka sana wakamtwange
 
Aliambiwa hakuna vita hapo tunakuja kukupiga tu.
Usiingie NATO wala kukaribiana nao akabisha.
Ndo kichapo hicho kinatembea sasa.
Nchi za NATO haziwezi kuingilia hiyo vita ndo mana wakakimbilia sanction.
EU wote hawana ubavu kumchapa mrusi.
Na mrusi yupo majini angani Europe yote anaspy.
Bila US mrusi angesha concur hilo eneo lote.
Hamna jeshi EU ni watoto wa mama waliovaa magwanda.
Russia ni stain hard soldier.
Angalia movie STALINGRAD
Then utajua Ukraine ni kitu kidogo sana kwao.
Sio angalie movie tu.... akasome kabisa... Na akasome vizuri RUSSIA OCCUPATION... Na akaangalie anachokifanya sasa wakizubaaa anaikata nchi hiii Kharikhiv amechukua, Mariopol siku SI nyingi anaichukua, kharson kachukua, dnipro ameanza mdogo mdogo na ameanza kuisogelea Odesa , Luhansk na Donesk alishazikubali kuwa nchi kamili tangu 2014 yaani akichukua Kiev anaanza kuifinya kuikusanya anakata nchi mwehu yule mbinu Moja ya kibabe sana ya kupiga adui ENCIRCLEMENT.
 
Katika makosa ya watu wa Ukraine ni kuchagua msanii, kwenye maisha ya watu unachagua kupambana na taifa kama Urusi? Haiwezekani ukisema tunapambana ukachagua wananchi wapigane na taifa kama Urusi, ukasema kila mwanaume 18 to 60 years abaikie ndani,huo ni uhalifu wa kivita, mtu hana utalaam, hujawahi kushika silaha, wengine hawajawahi kusikia mabomo, raisi wa Ukraine nimemchukia kisa kuzuwia watu wasikimbie.
Kuna watu hata manati ya kuwindia Utongwa na Vitorondo hawajawahi shika halafu weye unawaita watu wenye angalau 18 yrs wakashikishwe mashine wakakabiliane na URUSI this comedian president should not be serious
 
Hao civilians wamejazwa ujinga wabebe silaha walinde nchi yao, sasa kwanini wasiuliwe na wamebebeshwa silaha. Mauaji kwa raia hayaepukiki maana hawajielewi.
Kwa akili hizi ndio maana watawala wa ccm wanatufanya mazuzu watakavyo na unaona raia wametulia tu, nataman ungezaliwa Enzi za Idd Amini ndio ungeelewa hichi wanachofanya wananchi wa Ukraine.
 
unataka kupigana halafu silaha unategemea kuomba huyu Rais wa ukraine ZUZU sana kama viongozi wa Africa
Ndizo zilizoleta kilio na hasara Urusi
Screenshot_20220408-083817.jpg
Screenshot_20220408-083828.jpg
 
Kwa akili hizi ndio maana watawala wa ccm wanatufanya mazuzu watakavyo na unaona raia wametulia tu, nataman ungezaliwa Enzi za Idd Amini ndio ungeelewa hichi wanachofanya wananchi wa Ukraine.
Kwa vile ni raia hatakama wamebeba silaha waachiwe tu sio? Vita havina macho hata huyo Ukraine aliposhiriki uvamizi was Iraq akimsaidia bwana wake US alifanya hivyo hivyo. Sasa mnyama kwao aache kulialia Zelensky.

Screenshot_20220312-112231_Via_2.png
 
Back
Top Bottom