Wanajeshi Warusi waukimbia mji ambao walikuwa wamejitwalia kwa "kura" za maoni

Mkuu nimeuliza kwa nini Serbia ilivamiwa, na Je Kosovo kabla haijawah nchi ilikua ndani ya nchi Gani?..
 
Yaan umeenda jkt miez mitatu na wewe unasema umepita jeshini peleka ujinga wako huko buza

We umesoma military tactics in the war ground wewe??
Nyie kazi yenu kule jkt ni kulima tuu
Unajifanya kujua jeshi???

Sisi tuliopo huku tusemeje??
 

Sijaelewa unacholalamika, umekua ukiandika hizi nadharia zako tangu Ukraine wanaanza kufukuzia Warusi kuanzia Kyev, hauwezi ukanitoa kwenye furaha na shauku langu la kuona Ukraine imekombolewa yote hadi Crimea......ekari kwa ekari, mito, milimani, mijini, mashambani wanafukuzia mbaya, kuna maeneo Warusi wanatumia baiskeli kutoroka....
 
So far Putin hawez shinda vita moral ya wanajeshi wa kirusi iko chini sana, kama watu wanaikimbia miji waliyokua wameitwaa we unategemea nin
 
Una maswali yakijinga sana nakuambia kwa Mara ya pili ilikua nchi moja inayoitwa Yugoslavia ndani yake kulikua na ethnic tofauti kama Serbs, Croats, Bosnia etc
Kwa Nini Kosovo ijitangizie uhuru wake 2008, na kwa nini NATO walishinikiza uhuru wake utambuliwe?. Na kabla yauhuru wake ilikua ndani ya nchi Gani?. Kwa Nini Serbia walalamike juu ya Kosovo kujitenga?.
 
Kwa Nini Kosovo ijitangizie uhuru wake 2008, na kwa nini NATO walishinikiza uhuru wake utambuliwe?. Na kabla yauhuru wake ilikua ndani ya nchi Gani?. Kwa Nini Serbia walalamike juu ya Kosovo kujitenga?.
Nishakuambia Mara mbili Kosovo ilikua ndani ya nchi ipi, nikuambie Tena Mara ya tatu sifanyagi huo ujinga kwa lugha nyepesi huna hoja
 
Wewe bado upo na hizi insha zako, watu wanakimbia mapigano wamefukuziwa tangu Kyev huko wewe unaita tactical withdrawal, na mpaka tufike Crimea mtaendelea kuweweseka tu.
Wazoee maana wao kila siku wanajitetea tu, yaani wao hawanaga wa kumlaumu

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Huyu jamaa MK254 comments zake kama zake zinaonyesha jinsi gani hayuko matured kiakili mara nyingi unaweka kuandika point yeye hakosei kile ulichokiandika kwa hoja bali ni maneno ya mzaha na kitoto ambayo yanakuwa hayahusiani na comment ya aliyemQuote hadi kuna siku niliwahi kumwambia kuwa IQ yake ni Sawa na madada wanaoshinda saluni kujadili umbea .
 
Hv mnaosema atarusha nuclear atairushia nchi gani na wenzake wakamwangalia tu unless Taifa lake lote wameamua kuachana na maisha ya hapa duniani na kutamani maisha ya ahera.

Akirusha USA, Uk hamauchi, ufaransa, German, Canada, Japan, s.korea na nchi nyingine zisizofungamana nae,

Rusia itakuwa kifusi tu na kupelekea gunduzi za madini ambayo hayakuwahi gunduliwa
 
Nishakuambia Mara mbili Kosovo ilikua ndani ya nchi ipi, nikuambie Tena Mara ya tatu sifanyagi huo ujinga kwa lugha nyepesi huna hoja

Nishakuambia Mara mbili Kosovo ilikua ndani ya nchi ipi, nikuambie Tena Mara ya tatu sifanyagi huo ujinga kwa lugha nyepesi huna hoja
Kwa Nini Kosovo ilijitangazia uhuru wake toka Serbia na nihapo juzi tu 2008, kwa nini unalukaluka badala ya kujibu, mwisho ilichofanya Kosovo ndicho walichofanya DONBAS, sema wao wameenda mbali zaidi nakujiunga na Russia. Lkn NATO waliishambulia Serbia kwa mabomu.
 
Jana kutwa umeshinda ukishangilia kuwa wanajeshi wa Urusi wamezingirwa na hawana pakutokea.Na zaidi ukawa unasisitiza kuwa watajisalimisha au wauwawe wote!.Hakika ni Joti wa pili.
 

Hahaha umekimbilia kuja kunijadili huku, na mpaka mtaita maji ma!! Kwa Mrusi mlibugi, bora mngemshobokea Kim wa Korea...
Mlisema baada ya kura ya maoni, hayo maeneo yamekua sehemu ya Urusi na kuyashambulia itakua Urusi imeshambuliwa na nguvu zitatumika kana kwamba ni Moscow ndio imeshambuliwa, sasa wamepigwa na kukimbia...
 
Bad planning, USA and NATO kwa hali ilivyo, kwanini wasiweke wanajeshi wao zile sehemu zinazokimbiwa/zilizokombolewa? Urusi kwa hali ilivyo hawezi kuthubutu kutupa makombora yake pale! in short hayuko tayari na hana ubavu/courageya kupigana vita na NATO
 

What a brilliant comment!!! Be blessed - comments zake zimeshehi umbea kama wa madada wanaoshinda saluni, ila namsifu kwa kumudu kujieleza vizuri kwenye lugha ya kiswahili ananishinda hata mimi kwa mbali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…