Wanajeshi Warusi waukimbia mji ambao walikuwa wamejitwalia kwa "kura" za maoni

Wanajeshi Warusi waukimbia mji ambao walikuwa wamejitwalia kwa "kura" za maoni

Kama uwezi kutofautisha baina ya tactical withdraw na kushindwa vita, who cam take your inflated views seriously - unapenda penda sana kuweka chachandu kwenye comments zako - yaani huna hata habari kwamba wanajeshi wa Urusi waliopo huko Ukraine hawazidi asili mia 2% ya nguvu za jeshi la Urusi na wengi ni conscripts na wanamgambo wa mikoa inayo taka kujitenga sio wanajeshi professionals,likumbuke sana hilo - labda nikusaidie kidogo, binafsi niliwahi kupitia jeshini,vile vile nina exposure ya mambo mengi tu ambayo upenda ku-share na members wenzangu, wapo wanao nipinga kwa sababu wanazo zijua wao, lakini hilo mimi uwa sijali hata kidogo.

Tukija kwenye suala la vita inayo endelea huko Ukraine nime eleza kwamba ni wana jeshi wachache wa Urusi wanao pigana huko Ukraine ukilinganisha na idadi ya wanajeshi wa Ukraine ambao hivi karibuni wanasaidiwa moja kwa moja na wanajeshi wa NATO wanao vaa uniform za jeshi la Ukraine ili wastambulike kirahisi hisipo kuwa hawazungumzi lugha ya Kiukraine - hao ndio wanatumiwa kwa wingi kwenye futile counter offensive za Zelensky.

Nimalizie kwa kusema kwamba inavyo elekea jeshi la Urusi/Putin litavua gloves na kupigana with bare knuckles kwa maneno mengine Putin atatangaza vita kamili dhidi ya jeshi la Zelensky na wafadhili wake wote nina uhakika atawafyekelea mbali wote come december/january hakuna cha jeshi la Zelensky,mamluki wa NATO nk watakao salimika wata surrender kwa jeshi la Putin bila masharti - Putin si. binadamu wa kuchukulia kimzaa mzaa hata kidogo.
Kama Putin ana jeshi kubwa hivyo mbona ana recruit wanajeshi vizee, vilema, na wasiopenda jeshi? Punguzeni mahaba kwa Putin!
 
Huyu jamaa MK254 comments zake kama zake zinaonyesha jinsi gani hayuko matured kiakili mara nyingi unaweka kuandika point yeye hakosei kile ulichokiandika kwa hoja bali ni maneno ya mzaha na kitoto ambayo yanakuwa hayahusiani na comment ya aliyemQuote hadi kuna siku niliwahi kumwambia kuwa IQ yake ni Sawa na madada wanaoshinda saluni kujadili umbea .
Usisome uzi wake uwe unapita kushoto
 
Kama Putin ana jeshi kubwa hivyo mbona ana recruit wanajeshi vizee, vilema, na wasiopenda jeshi? Punguzeni mahaba kwa Putin!
Kama Putin ana jeshi kubwa hivyo mbona ana recruit wanajeshi vizee, vilema, na wasiopenda jeshi? Punguzeni mahaba kwa Putin!

Mkuu, wanao kuwa recruited wanakwenda kulinda majibo yaliyo kumbolewa sio kwenda kupigana - likumbukeni sana hilo - siku jeshi la Urusi likihamua kupigana kikamilifu basi jeshi lote la Ukraine na wafadhili wake wote watanyooshwa vilivyo,hutakisia cha NATO wala nini sijui - wote wataingia mitini nawabieni.
 
Kama uwezi kutofautisha baina ya tactical withdraw na kushindwa vita, who cam take your inflated views seriously - unapenda penda sana kuweka chachandu kwenye comments zako - yaani huna hata habari kwamba wanajeshi wa Urusi waliopo huko Ukraine hawazidi asili mia 2% ya nguvu za jeshi la Urusi na wengi ni conscripts na wanamgambo wa mikoa inayo taka kujitenga sio wanajeshi professionals,likumbuke sana hilo - labda nikusaidie kidogo, binafsi niliwahi kupitia jeshini,vile vile nina exposure ya mambo mengi tu ambayo upenda ku-share na members wenzangu, wapo wanao nipinga kwa sababu wanazo zijua wao, lakini hilo mimi uwa sijali hata kidogo.

Tukija kwenye suala la vita inayo endelea huko Ukraine nime eleza kwamba ni wana jeshi wachache wa Urusi wanao pigana huko Ukraine ukilinganisha na idadi ya wanajeshi wa Ukraine ambao hivi karibuni wanasaidiwa moja kwa moja na wanajeshi wa NATO wanao vaa uniform za jeshi la Ukraine ili wastambulike kirahisi hisipo kuwa hawazungumzi lugha ya Kiukraine - hao ndio wanatumiwa kwa wingi kwenye futile counter offensive za Zelensky.

Nimalizie kwa kusema kwamba inavyo elekea jeshi la Urusi/Putin litavua gloves na kupigana with bare knuckles kwa maneno mengine Putin atatangaza vita kamili dhidi ya jeshi la Zelensky na wafadhili wake wote nina uhakika atawafyekelea mbali wote come december/january hakuna cha jeshi la Zelensky,mamluki wa NATO nk watakao salimika wata surrender kwa jeshi la Putin bila masharti - Putin si. binadamu wa kuchukulia kimzaa mzaa hata kidogo.
wale majenerali pia ni wa mchongo majenerali wenyew bado Urusi , sio ? wabongo kuna ukichaa fulan hv umeanza ingia
 
Usisome uzi wake uwe unapita kushoto
Kazi yangu ni kusawazisha ujinga kwa hiyo siwezi kupita kupita kushoot nyuzi zake wakati najua kuzaliwa na ujinga 98%
 
... let's wait and see! Of course akifanya hivyo atakuwa ameleta madhara makubwa sana kwa Ukraine na dunia kwa ujumla ila dunia haitamwangalia tu; lazima yeye na genge lake watafanyiwa kitu kitakachokuwa ukumbusho wa milele kwa vizazi.
Putin ndiye atadhurika zaidi ya mtu yeyote
 
Kama uwezi kutofautisha baina ya tactical withdraw na kushindwa vita, who cam take your inflated views seriously - unapenda penda sana kuweka chachandu kwenye comments zako - yaani huna hata habari kwamba wanajeshi wa Urusi waliopo huko Ukraine hawazidi asili mia 2% ya nguvu za jeshi la Urusi na wengi ni conscripts na wanamgambo wa mikoa inayo taka kujitenga sio wanajeshi professionals,likumbuke sana hilo - labda nikusaidie kidogo, binafsi niliwahi kupitia jeshini,vile vile nina exposure ya mambo mengi tu ambayo upenda ku-share na members wenzangu, wapo wanao nipinga kwa sababu wanazo zijua wao, lakini hilo mimi uwa sijali hata kidogo.

Tukija kwenye suala la vita inayo endelea huko Ukraine nime eleza kwamba ni wana jeshi wachache wa Urusi wanao pigana huko Ukraine ukilinganisha na idadi ya wanajeshi wa Ukraine ambao hivi karibuni wanasaidiwa moja kwa moja na wanajeshi wa NATO wanao vaa uniform za jeshi la Ukraine ili wastambulike kirahisi hisipo kuwa hawazungumzi lugha ya Kiukraine - hao ndio wanatumiwa kwa wingi kwenye futile counter offensive za Zelensky.

Nimalizie kwa kusema kwamba inavyo elekea jeshi la Urusi/Putin litavua gloves na kupigana with bare knuckles kwa maneno mengine Putin atatangaza vita kamili dhidi ya jeshi la Zelensky na wafadhili wake wote nina uhakika atawafyekelea mbali wote come december/january hakuna cha jeshi la Zelensky,mamluki wa NATO nk watakao salimika wata surrender kwa jeshi la Putin bila masharti - Putin si. binadamu wa kuchukulia kimzaa mzaa hata kidogo.
Mapenzi yoyote yale ni matamu sana. Dah! Umeandika kwa mapenzi makubwa uliyo nayo kwa Putin na kwa Russia mpaka umesahau kwamba lengo la Putin ni kuiteka Ukraine yote ndani ya wiki moja.
Shikamoo mahaba.
 
Check hii
 
wale majenerali pia ni wa mchongo majenerali wenyew bado Urusi , sio ? wabongo kuna ukichaa fulan hv umeanza ingia

Get lost you damned silly fool - ujeuri jeuri tu wa kutukana tukana watu unapojisikia - revist your skewed comments here in - husione watu wanakustahi ukafiriki ni wajinga - leta hoja za zijadiri kistaarabu na sio unaanza kuhoji mental faculties za binadamu wenzako.
 
Utofauti wenu ni mdogo, wote "mnashaiiliza"....mfano hapo Juu umetumia maneno haya kwenye comment yako " futile counter offensive za Zelensky".

Tikushaiiliza, ni kweli - tunacho sikia sisi nku-liberate insignificant vijiji basi, hakuna hata major city waliowahi kukomboa au kuwapeka wanajeshi wa Urusi au manamgambo wanao saidiwa na jeshi la Urusi kusini mashariki mwa Ukraine - hakuna kabisa - masaa yoke ku-exaggerate mafanikio ya jeshi la Zelensky na mamluki wake.
 
Hadi jana Urusi hakuwa kajua mipaka ya eneo alilotwaa kutoka Ukraine, hivyo hawezi shambulia maana hajui mipaka yake.



Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Kingine cha ajabu, yasemekana kuwa Ukraine imepewa mfumo wa FOF, hivyo ni rahisi wao kujuana na kutoshambuliana...
Urusi hawana huo mfumo, hivyo Ukraine waliandika vifaru vyao alama za Z na V na kuweka shambulia vifaru vya Urusi huko Kharkiv

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Ni kweli, hivi vita vinatazamwa na kufuatiliwa kwa ukaribu na madikteta wote duniani, hususan watawala wa mataifa makubwa ambao huwa na migogoro ya kutaka kumega mataifa madogo madogo, matokeo ya hivi vita ndio yatakua precedent huko mbele, hivyo Marekani hawataruhusu.

Mambo mengine bwana!! Amerika ni nani kwa Urusi, political rhetoric za Biden ni for Banana Republics only and not,repeat not for Russian Federation - don't you forget that, Russia was and still is a Thermonuclear Super Power, Amerika hana ubavu wa ku-mess na Putin/Russia atabaki kusemasema maneno chungu mzima yenye lengo ku-reassure marafiki zake kwamba Amerika ni zaidi wasiwe na wasi wasi, kitu kinacho msumbuwa sana Biden ni EGO pamoja chuki binafsi kumuhusu Putin.

Leo hii Biden katangazia Dunia kwamba inaelekea Putin atanii anaposema yuko radhi kutumia silaha za nuclear inapo bidi - hivyo Biden anajaribu kuhadaa wasikilizaji kwamba kuna umuhimu wa Dunia kumkubalia Putin baadhi ya matakwa yake ili hasije akadhalilika akishindwa vita - yaani, hilo likitekelezwa tu, basi Putin hatakuwa na sababu za msingi za kutaka kutumia silaha za Nuclear kwenye mgogoro huu - binafsi naona Biden kishaona kwamba Putin yuko dead serious ie hatanii na wala haogopi NATO wala USA wakiendelea kutishia usalama wa Taifa lake atalazimika kutumia silaha yoyote kujilinda na hakuna ataye mlahumu, hicho ndicho Biden anacho ogopa lakini anapokuwa mbele ya TV anadai kwamba Putin vita imeanza kumwendea kombo hivyo tumukubalie baadhi ya madai yake kabla hajafanya mahamuzi hatarishi ya kutumia silaha za nuklia ili hasiabike - ulaghai mtupu.
 
Mambo mengine bwana!! Amerika ni nani kwa Urusi, political rhetoric za Biden ni for Banana Republics only and not,repeat not for Russian Federation - don't you forget that, Russia was and still is a Thermonuclear Super Power, Amerika hana ubavu wa ku-mess na Putin/Russia atabaki kusemasema maneno chungu mzima yenye lengo ku-reassure marafiki zake kwamba Amerika ni zaidi wasiwe na wasi wasi, kitu kinacho msumbuwa sana Biden ni EGO pamoja chuki binafsi kumuhusu Putin.

Leo hii Biden katangazia Dunia kwamba inaelekea Putin atanii anaposema yuko radhi kutumia silaha za nuclear inapo bidi - hivyo Biden anajaribu kuhadaa wasikilizaji kwamba kuna umuhimu wa Dunia kumkubalia Putin baadhi ya matakwa yake ili hasije akadhalilika akishindwa vita - yaani, hilo likitekelezwa tu, basi Putin hatakuwa na sababu za msingi za kutaka kutumia silaha za Nuclear kwenye mgogoro huu - binafsi naona Biden kishaona kwamba Putin yuko dead serious ie hatanii na wala haogopi NATO wala USA wakiendelea kutishia usalama wa Taifa lake atalazimika kutumia silaha yoyote kujilinda na hakuna ataye mlahumu, hicho ndicho Biden anacho ogopa lakini anapokuwa mbele ya TV anadai kwamba Putin vita imeanza kumwendea kombo hivyo tumukubalie baadhi ya madai yake kabla hajafanya mahamuzi hatarishi ya kutumia silaha za nuklia ili hasiabike - ulaghai mtupu.
October 6 Assessment Highlight:

LNR Ambassador to #Russia, Rodion Miroshnik, claimed that over 10,000 #Ukrainian troops have amassed west of Kreminna, and that #Russian forces have largely lost contact with Svatove and Kreminna.

 
Get lost you damned silly fool - ujeuri jeuri tu wa kutukana tukana watu unapojisikia - revist your skewed comments here in - husione watu wanakustahi ukafiriki ni wajinga - leta hoja za zijadiri kistaarabu na sio unaanza kuhoji mental faculties za binadamu wenzako.
ukiona hapa ni pa watu wazima bas lete hoja zenye utimamu , na sio kusema walienda Ukraine ni wamajeshi wa kawaida wakati tumezika majenerali wa kutosha , hv kwa akili hizo unatofaut gan na kichaaa ? Ukiona comment imekugusa bas jua kuna ujumbe wa ukwel umekufikia [emoji16][emoji16][emoji16]
 
Mambo mengine bwana!! Amerika ni nani kwa Urusi, political rhetoric za Biden ni for Banana Republics only and not,repeat not for Russian Federation - don't you forget that, Russia was and still is a Thermonuclear Super Power, Amerika hana ubavu wa ku-mess na Putin/Russia atabaki kusemasema maneno chungu mzima yenye lengo ku-reassure marafiki zake kwamba Amerika ni zaidi wasiwe na wasi wasi, kitu kinacho msumbuwa sana Biden ni EGO pamoja chuki binafsi kumuhusu Putin.

Leo hii Biden katangazia Dunia kwamba inaelekea Putin atanii anaposema yuko radhi kutumia silaha za nuclear inapo bidi - hivyo Biden anajaribu kuhadaa wasikilizaji kwamba kuna umuhimu wa Dunia kumkubalia Putin baadhi ya matakwa yake ili hasije akadhalilika akishindwa vita - yaani, hilo likitekelezwa tu, basi Putin hatakuwa na sababu za msingi za kutaka kutumia silaha za Nuclear kwenye mgogoro huu - binafsi naona Biden kishaona kwamba Putin yuko dead serious ie hatanii na wala haogopi NATO wala USA wakiendelea kutishia usalama wa Taifa lake atalazimika kutumia silaha yoyote kujilinda na hakuna ataye mlahumu, hicho ndicho Biden anacho ogopa lakini anapokuwa mbele ya TV anadai kwamba Putin vita imeanza kumwendea kombo hivyo tumukubalie baadhi ya madai yake kabla hajafanya mahamuzi hatarishi ya kutumia silaha za nuklia ili hasiabike - ulaghai mtupu.

ha ha ha!!! Mahaba kama yote, huyo Urusi amepoteza vigezo vyote vya usupapawa, leo hii hana hiyo jeuri kabisa hata chembe, amedharaulika, amedhalilishwa kote kote, sio yule tulimwogopa miaka yote hii, amefukuziwa tangu Kyev na anaendelea kupoteza huku ukimtetea eti anafanya tactical retreat.... Alijaribu kuomba msaada hata Syria ila wapi, kipodo kile kile, amewakusanya wanywa gongo ambao watauawa kama nzige.
 
Back
Top Bottom