Umeachwa Shem? Mbona sina taarifa?Mdogo wako alishaniacha, japo bado ana wivu[emoji23][emoji23][emoji23], basi tutafute mda ili azimio la huyu to yeye lianzie kwetu..[emoji23][emoji23]
Hahaha, umenichekesha mno shem, jina la mwisho hadi aende Rita na mahakamani ndio ataruhusiwa kubadili.Umeachwa Shem? Mbona sina taarifa?
Na mbona bado jina la mwisho hatujabadili?
Haiwezekani? Nyie ndiyo zenu hizo...Kuzinguana, mkirekebisha Mapenzi yanakuwa kama ya Watoto wa 1st year[emoji2]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahaha, umenichekesha mno shem, jina la mwisho hadi aende Rita na mahakamani ndio ataruhusiwa kubadili.
Kwa kweli mapenzi yetu yamekuwa hivi toka tukiwa wachumba, hadi naanza kuzeeka huyu hanijulii tu[emoji23][emoji23]
Ngoja niendelee kusubiri, wakati nasubiri inabidi tupange kuonana shem[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa kumbe mnajijua Shem? Mimi ni nani niingilie? Msubirie tu..Penzi litarudi Mubashara kama kawaida[emoji2]
Eeeeeeeeewaaa....Ngoja niendelee kusubiri, wakati nasubiri inabidi tupange kuonana shem[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Eeeeeeeeewaaa....
Leta maneno( kwa sauti ya JK)
Irudiwe tena kesho na keshokutwa...Asante kwa kushukuru
Thank you too π
Kazi kwenu mlioko dar na mwanza. Tunaotoka mikoani tuna changamoto ya location wapendazo warembo.Hata dar au mwanza kwa mimi ninaependa kutembelea fukwe
Wewe tuIrudiwe tena kesho na keshokutwa...