WanaJF tunaomuunga mkono Lissu sasa ni muda muafaka wa kumsaidia Lissu ashinde!

WanaJF tunaomuunga mkono Lissu sasa ni muda muafaka wa kumsaidia Lissu ashinde!

Hata kama Magufuli hafai,..kumpa Lissu kura ni kuitupa nchi jalalani.

Lissu hastahili katu kuwa mbadala wa Magufuli.
Hiyo mbeleko iliyom-beba(Richard Amsterdam) ndiyo inayodhihirisha wazi huyu jamaa anagombea uongozi kwa masilahi ya watu fulani nje ya Tanzania na sio kwa watanzania kama anavyobweka.
 
Mimi kila ninapopita napita na John Pombe Magufuli.

Nimeongea na watu6 leo 5 wanaume mmoja mwanamama mwenzangu.

Wale wanaume kulikua na kijana wa kama miaka25 akaniambia dada hakuna mtu mwenye akili timamu atamnyima kura Magufuli

Mwanaume mwingine wa kama miaka 45 akaniambia mdogo wangu wote hao wanaopiga kelele ni wanasiasa wachumia tumbo. Wafanye siasa tuu ila kura ni kwa Magufuli

Baada ya hapo tukaulizana kuhusu vikatio wakasema viko powaaa nikajiondokea

Wanaomuunga jpm mkono wengi wako mtaani na wameshafanya maamuzi
nahisi huyo uliyekutana nae leo nami nimekutana nae leo akaniambia maneno hayohayo
 
Yaani tuandamane kwa ajili ya mtu anayeishi ubeligiji [emoji3][emoji3]

Tena nishawishi familia yangu kumpigia kura msaliti wa Nchi ! Hata shetani atanicheka

Tena ameshakata tiketi ya kurudi ubeligiji

Familia yake ameificha, mimi nikavunjwe mguu kwa kumpigania mtu aliyeshindwa Uchaguzi anatoa matusi
Ignored
 
Ndugu wana JF, kwa miaka kibao tumepiga makelele humu juu ya udhalimu, ufisadi, uonevu, na incompentency ya serikali za CCM hususan hii ya awamu ya tano

Na kama mnavyojua, Sisi wanachama wa JF huenda ni watu ambao tumo katika kundi la watu wenye elimu na tuna upeo mkubwa wa mambo katika nchi.

Sasa ni jukumu letu kuchukua hatua katika kipindi hiki cha lala salama kusaidia kuuangusha mbuyu ambayo mizizi yake imekuwa ikifyonza hatima njema ya wana wa nchi hii na kuwaacha wakiwa hohe hahe

Sasa mwana JF, ni muda muafaka sasa wa kuingia front, kuchukua hatua na kumsaidia Lissu kushinda

1. Ongea na Familia yako, washawishi walio kwenye himaya yako wamchague Lissu

Kaa chini, waelezee hali yako ya kiuchumi, waelezee hali ya mwenendo wa haki katika nchi, kama una wanafunzi waelezee mustakbali wao kielimu hasa makato ya bodi ya mikopo, waeleze kuhusu athari za kutopandisha mishahara itakavyoathiri hata pensheni yako. Waombe watu wa familia yako wampigie kura Lissu aje aboreshe maisha yao

2. Wapigie simu ndugu, jamaa na marafiki huko kijijini kwenu, mijini na popote washawishi wampatie Lissu kura

Wanachama wa JF tupo wengi sana, Iwapo kila mmoja atamtafutia Lissu kura kumi tu basi CCM itakuwa na hali mbaya sana.

Hebu tuweke commitment, kila mtu aliyechoshwa na udhalimu wa serikali hii, awashawishi watu angalau kumi anaowamudu wampigie kura Lissu

Ndugu zangu, hii ishu siyo ya Lissu peke yake, hii ngoma ni yetu sote. CCM wametupuuza kiasi cha kutosha, wametunyanyasa kiasi cha kutosha, sasa tunataka mabadiriko, Sasa ni jukumu letu kusaidia hayo mabadiriko!
Hii ni wiki ya lala salama, lazima tuhakikishe wanafamilia wetu wote wanapeleka kura zao kwa Lissu
JF members wote pia tunawaomba kura nyingi kwa Lissu
 
Yan tangu Jana machozi yananitoka, naamini Tundu Lissu anashinda sasa je watamtangaza?
Yan sijui matokeo yakitoka nitakuwa katika hali gani jamani Naomba mniombee
Usiache kupiga kura mama, ndio njia pekee ya kumuingiza Lissu Ikulu
 
IMG_20201020_161433_488.jpg

Kumekucha, kumekucha, kumekucha.
 
Ndugu wana JF, kwa miaka kibao tumepiga makelele humu juu ya udhalimu, ufisadi, uonevu, na incompentency ya serikali za CCM hususan hii ya awamu ya tano

Na kama mnavyojua, Sisi wanachama wa JF huenda ni watu ambao tumo katika kundi la watu wenye elimu na tuna upeo mkubwa wa mambo katika nchi.

Sasa ni jukumu letu kuchukua hatua katika kipindi hiki cha lala salama kusaidia kuuangusha mbuyu ambayo mizizi yake imekuwa ikifyonza hatima njema ya wana wa nchi hii na kuwaacha wakiwa hohe hahe

Sasa mwana JF, ni muda muafaka sasa wa kuingia front, kuchukua hatua na kumsaidia Lissu kushinda

1. Ongea na Familia yako, washawishi walio kwenye himaya yako wamchague Lissu

Kaa chini, waelezee hali yako ya kiuchumi, waelezee hali ya mwenendo wa haki katika nchi, kama una wanafunzi waelezee mustakbali wao kielimu hasa makato ya bodi ya mikopo, waeleze kuhusu athari za kutopandisha mishahara itakavyoathiri hata pensheni yako. Waombe watu wa familia yako wampigie kura Lissu aje aboreshe maisha yao

2. Wapigie simu ndugu, jamaa na marafiki huko kijijini kwenu, mijini na popote washawishi wampatie Lissu kura

Wanachama wa JF tupo wengi sana, Iwapo kila mmoja atamtafutia Lissu kura kumi tu basi CCM itakuwa na hali mbaya sana.

Hebu tuweke commitment, kila mtu aliyechoshwa na udhalimu wa serikali hii, awashawishi watu angalau kumi anaowamudu wampigie kura Lissu

Ndugu zangu, hii ishu siyo ya Lissu peke yake, hii ngoma ni yetu sote. CCM wametupuuza kiasi cha kutosha, wametunyanyasa kiasi cha kutosha, sasa tunataka mabadiriko, Sasa ni jukumu letu kusaidia hayo mabadiriko!
Kazi ipo katika kuhakikisha kura ndizo zinazo toa raisi.
 
Mimi Kuna mmoja nime mwambia Ukiendeleza na ujinga wako wa kushabikia CCM ada utajilipia maana hujui ninavyo pata hii pesa kwa maumivu ya kodi kisa CCM !Kwanza ulinyimwa mkopo halafu unabinua midomo CCM !
Nakuunga mkono. Mtu yeyote anayepata pesa kwa kujitafutia kwa jasho lake anajua dhahama walizotuletea ccm. Ila haya yanayolishwa na kuhongwa hayana habari
 
Hata kama Magufuli hafai,..kumpa Lissu kura ni kuitupa nchi jalalani.

Lissu hastahili katu kuwa mbadala wa Magufuli.
Hiyo mbeleko iliyom-beba(Richard Amsterdam) ndiyo inayodhihirisha wazi huyu jamaa anagombea uongozi kwa masilahi ya watu fulani nje ya Tanzania na sio kwa watanzania kama anavyobweka.
Team makande mpoooo
 
Hayo Ni machozi ya furaha,na furaha Ni ushidi.
Lisu atashinda kwa uwezo wa Mungu Mkuu,Mungu wa miungu,Mungu wa mababu,Mungu Muweza,Muumba wa Mbingu na Dunia na vitu vyote vinavyoonekana na visivyoonekana.
Na wakijaribu kuiba ushindi wake Mungu atawapiga kwa Moto ulao nao watatoweka katika uso wa Dunia kwa aibu.
Asante sana mkuu, sijawahi kupitia kipindi kama hiki, nashangaa nikimkumbuka tarehe 28 namkumbuka Lissu tu jamani, Naomba sana Mungu ashinde, mzee wangu yupo bara lingine kabisa lakini lazima kila siku nimtumie habari za huku hasa za chadema, amesema anamuomba sana Mungu Lissu apite.
Naomba Mungu ashinde Jamanii,
 
Mimi Kuna mmoja nime mwambia Ukiendeleza na ujinga wako wa kushabikia CCM ada utajilipia maana hujui ninavyo pata hii pesa kwa maumivu ya kodi kisa CCM !Kwanza ulinyimwa mkopo halafu unabinua midomo CCM !
Ccm ni ya kuikataa kila mahali, kuna mmoja amemrudisha mke wake kijijini akalime kwa sababu mke alivaa kipande cha kanga ya ccm, wazazi kijijini walipouliza mbona umeturudishia binti yetu akawaambia mfundisheni binti yenu adabu maana huko mjini kazi yake ni kuhongwa vitu vidogovidogo kama kanga
 
Back
Top Bottom