WanaJF tunaomuunga mkono Lissu sasa ni muda muafaka wa kumsaidia Lissu ashinde!

WanaJF tunaomuunga mkono Lissu sasa ni muda muafaka wa kumsaidia Lissu ashinde!

Yaani tuandamane kwa ajili ya mtu anayeishi ubeligiji [emoji3][emoji3]

Tena nishawishi familia yangu kumpigia kura msaliti wa Nchi ! Hata shetani atanicheka

Tena ameshakata tiketi ya kurudi ubeligiji

Familia yake ameificha, mimi nikavunjwe mguu kwa kumpigania mtu aliyeshindwa Uchaguzi anatoa matusi
Huo ugolo unaovuta na jua kali ndo unakuharibu ujue
 
HUU uzi ukifika page 50 ntaamini huyo dalali wa nchi atashinda

msipoweza basi mjijue nyie hamna tofauti na mmbu nnje ya net.
 
Usaliti wa Nchi ni laana kwa Taifa
images (7).jpg

Proved.
 
Ndugu wana JF, kwa miaka kibao tumepiga makelele humu juu ya udhalimu, ufisadi, uonevu, na incompentency ya serikali za CCM hususan hii ya awamu ya tano

Na kama mnavyojua, Sisi wanachama wa JF huenda ni watu ambao tumo katika kundi la watu wenye elimu na tuna upeo mkubwa wa mambo katika nchi.

Sasa ni jukumu letu kuchukua hatua katika kipindi hiki cha lala salama kusaidia kuuangusha mbuyu ambayo mizizi yake imekuwa ikifyonza hatima njema ya wana wa nchi hii na kuwaacha wakiwa hohe hahe

Sasa mwana JF, ni muda muafaka sasa wa kuingia front, kuchukua hatua na kumsaidia Lissu kushinda

1. Ongea na Familia yako, washawishi walio kwenye himaya yako wamchague Lissu

Kaa chini, waelezee hali yako ya kiuchumi, waelezee hali ya mwenendo wa haki katika nchi, kama una wanafunzi waelezee mustakbali wao kielimu hasa makato ya bodi ya mikopo, waeleze kuhusu athari za kutopandisha mishahara itakavyoathiri hata pensheni yako. Waombe watu wa familia yako wampigie kura Lissu aje aboreshe maisha yao

2. Wapigie simu ndugu, jamaa na marafiki huko kijijini kwenu, mijini na popote washawishi wampatie Lissu kura

Wanachama wa JF tupo wengi sana, Iwapo kila mmoja atamtafutia Lissu kura kumi tu basi CCM itakuwa na hali mbaya sana.
Hebu tuweke commitment, kila mtu aliyechoshwa na udhalimu wa serikali hii, awashawishi watu angalau kumi anaowamudu wampigie kura Lissu

Ndugu zangu, hii ishu siyo ya Lissu peke yake, hii ngoma ni yetu sote. CCM wametupuuza kiasi cha kutosha, wametunyanyasa kiasi cha kutosha, sasa tunataka mabadiriko, Sasa ni jukumu letu kusaidia hayo mabadiriko!
Hili nimeshalifanya sana na naendelea na kwa kuw anina ushawishi mkubwa kwemye familia na ukoo mzima limefanikiwa sana. Si unajua mtu mwenye pesa zake kwenye ukoo??
 
Yaani tuandamane kwa ajili ya mtu anayeishi ubeligiji [emoji3][emoji3]

Tena nishawishi familia yangu kumpigia kura msaliti wa Nchi ! Hata shetani atanicheka

Tena ameshakata tiketi ya kurudi ubeligiji

Familia yake ameificha, mimi nikavunjwe mguu kwa kumpigania mtu aliyeshindwa Uchaguzi anatoa matusi
Vipi leo makande umekula saa ngapi?? Maneno mengi kumbe mnaamkia makande tu.
 
Fanya wewe na dada yako na mume wa dada yako inatosha, nani apoteze muda wake kwa huyo loser
Vipi Makande ya Leo matamu. Kazi tumeshamaliza. Unadhani ufuasi wa Lissu kiasi hiki umekuja hivi hivi?? Tulishamaliza kazi kwa ndugu na jamaa zetu
 
Jiandae wote BP kupanda tarehe 29/10 maana JPM atashinda kwa kishindo! Hivyo msiharibu kura zenu bali mpigie namba moja katika karatasi ya kura
Tupo fiti kama mashabiki wa yanga na asernal ya zamani usijali kwa hilo hata akishinda magufuli wote tutakipata pata kuanzia wewe na ukoo wako wote sidhani kama wote wana maisha fresh
 
Siasa sio uadui, kila mtu apigie mtu anaeona anafaa, wala haihitaji kushawishi sanaaa...
Haya mambo ni ya kupita tu, mwisho wake wote ni kufa tu, kwahiyo hakuna haja ya kukashifiana, kutukanana sababu ya vyeo, hata uwe nani utakufa tu, hata uwe na maghorofa, magari, viwanda, watu wawe wanakuabudu mwisho wake you die
 
CCM ina wapiga kura milioni 22 so mnajisumbua bure!
Kuna waliohama vyama hapo sidhani wote ni wana ccm umesahau choma choma kadi za ccm kipindi kile, mimi mwenyewe nilihama ccm toka 2018 na bado nimeficha kadi tatu za wapiga kura wabishi yaani nawalisha bado wanashabikia ccm siku ya kupiga kura watalala tu ndani
 
Kuna waliohama vyama hapo sidhani wote ni wana ccm umesahau choma choma kadi za ccm kipindi kile, mimi mwenyewe nilihama ccm toka 2018 na bado nimeficha kadi tatu za wapiga kura wabishi yaani nawalisha bado wanashabikia ccm siku ya kupiga kura watalala tu ndani
Uko sahihi. Mimi siwezi kuwa nakulisha nakulipia ada halafu ukashabikia ccm ambayo inanididimiza.
 
Ndugu wana JF, kwa miaka kibao tumepiga makelele humu juu ya udhalimu, ufisadi, uonevu, na incompentency ya serikali za CCM hususan hii ya awamu ya tano

Na kama mnavyojua, Sisi wanachama wa JF huenda ni watu ambao tumo katika kundi la watu wenye elimu na tuna upeo mkubwa wa mambo katika nchi.

Sasa ni jukumu letu kuchukua hatua katika kipindi hiki cha lala salama kusaidia kuuangusha mbuyu ambayo mizizi yake imekuwa ikifyonza hatima njema ya wana wa nchi hii na kuwaacha wakiwa hohe hahe

Sasa mwana JF, ni muda muafaka sasa wa kuingia front, kuchukua hatua na kumsaidia Lissu kushinda

1. Ongea na Familia yako, washawishi walio kwenye himaya yako wamchague Lissu

Kaa chini, waelezee hali yako ya kiuchumi, waelezee hali ya mwenendo wa haki katika nchi, kama una wanafunzi waelezee mustakbali wao kielimu hasa makato ya bodi ya mikopo, waeleze kuhusu athari za kutopandisha mishahara itakavyoathiri hata pensheni yako. Waombe watu wa familia yako wampigie kura Lissu aje aboreshe maisha yao

2. Wapigie simu ndugu, jamaa na marafiki huko kijijini kwenu, mijini na popote washawishi wampatie Lissu kura

Wanachama wa JF tupo wengi sana, Iwapo kila mmoja atamtafutia Lissu kura kumi tu basi CCM itakuwa na hali mbaya sana.
Hebu tuweke commitment, kila mtu aliyechoshwa na udhalimu wa serikali hii, awashawishi watu angalau kumi anaowamudu wampigie kura Lissu

Ndugu zangu, hii ishu siyo ya Lissu peke yake, hii ngoma ni yetu sote. CCM wametupuuza kiasi cha kutosha, wametunyanyasa kiasi cha kutosha, sasa tunataka mabadiriko, Sasa ni jukumu letu kusaidia hayo mabadiriko!
Mtashindana na hamtashinda jpm mitano tena.
 
Wewe unaishi Tanzania kweli?

Una umri gani?

Huwa unapata wapi taarifa za mambo unayochangia hapa jf?

Mtaani, vijiweni au kwenye vyombo husika?

magu2016 jpm NAWATAFUNA Next Man Da'Vinci Bia yetu kuna shida ya elimu na taarifa huku. Saidieni

Sikiliza japo hii clip utafunguka kidogo
View attachment 1610587

Na kitu kingine, kila Rais anakuja na mambo yake, hata mzee magu alipoingia alibadirisha mambo mengi ya mzee kikwete

So kama Lisu akiwa Rais na akaweka madini dhamana kimataifa ili barabara ya kutoka kwetu mtwara hadi kwa bibi newala iwe ya lami me sioni tatizo
 
Ninashukuru nina watu 40+ ambao nimewashawishi kupiga kura na zote ni kwa Lisu. Na nina watano ambao wako tayari kupokea maagizo iwapo box la kura litanajisiwa.
Hii sentence ya mwisho nimeielewa zaidi kwa upande wangu Mimi nadili na waumini wenzangu ukweli nina Kura nyingi hasa wanawake
 
Na kitu kingine, kila Rais anakuja na mambo yake, hata mzee magu alipoingia alibadirisha mambo mengi ya mzee kikwete

So kama Lisu akiwa Rais na akaweka madini dhamana kimataifa ili barabara ya kutoka kwetu mtwara hadi kwa bibi newala iwe ya lami me sioni tatizo
Madini yenyewe watanzania hata hawayafaidi wanakula wale wale wajuu tu.
 
Back
Top Bottom