Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtanzania labda wewe na mama D lakini wenye kujitambua na kuipenda Tanzania yetu kura zetu kwa Lissu.Sisi Watanzania tuliowengi tutamchagua Rais Magufuli kipenzi cha Watanzania
Yule mropokaji na msaliti wa Nchi Lissu atapigiwa kura na robert tu
Leo wamekuongezea 500Chadema mtajuta kusimamisha msaliti wa Nchi apeperushe bendera ya Chadema Akiwaletea Chadema hata wabunge wawili mkatambike
dunia nzima hakuna nchi utapata uhuru usio mipaka wala haki isio mipaka, hata huyu tundu lisu anaewadanganyeni hawezi kuwapeni, kua hohe hahe ni maamuzi yako mwenyewe wala serikali haihusiki
Upinzani umezoea kushindwa, wafuasi wake huwa wanaumia kila chaguzil. Tatizo ni iwapo lisilotegemewa kabisa likitokea.Wafuasi wa Lisu watapata tabu sana baada ya tarehe 28
Wakumbushe hao ndugu hapo wengi wapo huko abroad kelele sasatusikae tu humu tujidanganya,twendeni tukapige kura na tuhamasishe watu wa karibu kupiga kura
KwaniniUnalia machozi kwa nadharia ambazo hazitakaa kutokea ni upotevu wa machozi
ni punguani pekee ndo anaweza kuomba uthibitisho wa usaliti wa lissuPolee sana certified kilaza usiyeweza kuthibitisha usaliti wa Lissu
Hatashinda hata kwa robo ya kuraNdugu wana JF, kwa miaka kibao tumepiga makelele humu juu ya udhalimu, ufisadi, uonevu, na incompentency ya serikali za CCM hususan hii ya awamu ya tano
Na kama mnavyojua, Sisi wanachama wa JF huenda ni watu ambao tumo katika kundi la watu wenye elimu na tuna upeo mkubwa wa mambo katika nchi.
Sasa ni jukumu letu kuchukua hatua katika kipindi hiki cha lala salama kusaidia kuuangusha mbuyu ambayo mizizi yake imekuwa ikifyonza hatima njema ya wana wa nchi hii na kuwaacha wakiwa hohe hahe
Sasa mwana JF, ni muda muafaka sasa wa kuingia front, kuchukua hatua na kumsaidia Lissu kushinda
1. Ongea na Familia yako, washawishi walio kwenye himaya yako wamchague Lissu
Kaa chini, waelezee hali yako ya kiuchumi, waelezee hali ya mwenendo wa haki katika nchi, kama una wanafunzi waelezee mustakbali wao kielimu hasa makato ya bodi ya mikopo, waeleze kuhusu athari za kutopandisha mishahara itakavyoathiri hata pensheni yako. Waombe watu wa familia yako wampigie kura Lissu aje aboreshe maisha yao
2. Wapigie simu ndugu, jamaa na marafiki huko kijijini kwenu, mijini na popote washawishi wampatie Lissu kura
Wanachama wa JF tupo wengi sana, Iwapo kila mmoja atamtafutia Lissu kura kumi tu basi CCM itakuwa na hali mbaya sana.
Hebu tuweke commitment, kila mtu aliyechoshwa na udhalimu wa serikali hii, awashawishi watu angalau kumi anaowamudu wampigie kura Lissu
Ndugu zangu, hii ishu siyo ya Lissu peke yake, hii ngoma ni yetu sote. CCM wametupuuza kiasi cha kutosha, wametunyanyasa kiasi cha kutosha, sasa tunataka mabadiriko, Sasa ni jukumu letu kusaidia hayo mabadiriko!
Mtanzania labda wewe na mama D lakini wenye kujitambua na kuipenda Tanzania yetu kura zetu kwa Lissu.
Ndukiiiii [emoji2089][emoji2089][emoji2089]
Polee sana certified kilaza usiyeweza kuthibitisha usaliti wa Lissu
Wakati msaliti amepigwa risasi ulijisikiaje?Usaliti wa lissu umevuka mstari mwekundu hastahili tena kuitwa Mtanzania
Pia Tanzania hatutaki ushoga,
Huna akili wewe. Sasa kwa taarifa yako tupo tayari!Bora ufe wewe na nani? Na familia yako au na familia za wengine. Unajisemea tu hapa wakati hata kutoka barabarani hutatoka.. Nilijua magufuli kaskazini hapendwi kabisa ila nilichoona jana kwa macho yangu huku mitandaoni mnadanganyana
Wakati msaliti amepigwa risasi ulijisikiaje?
Unajua maana ya "hua"?Ingieni kazini ila msiingie barabarani, uzuri hua ni keyboard warrior
Ulijisikiaje alipopigwa risasi msaliti? Au upo programmed kujibu aina ya majibu? Maana majibu yako ni yaleyale.Usaliti ni laana kwa Taifa
Wewe unaishi Tanzania kweli?
Una umri gani?
Huwa unapata wapi taarifa za mambo unayochangia hapa jf?
Mtaani, vijiweni au kwenye vyombo husika?
magu2016 jpm NAWATAFUNA Next Man Da'Vinci Bia yetu kuna shida ya elimu na taarifa huku. Saidieni
Sikiliza japo hii clip utafunguka kidogo
View attachment 1610587
Ulijisikiaje alipopigwa risasi msaliti? Au upo programmed kujibu aina ya majibu? Maana majibu yako ni yaleyale.
Akili yako imekufa kama avatar yako.Sisi Watanzania tuliowengi tutamchagua Rais Magufuli kipenzi cha Watanzani
Yule mropokaji na msaliti wa Nchi Lissu atapigiwa kura na robert tu