WanaJF tunaomuunga mkono Lissu sasa ni muda muafaka wa kumsaidia Lissu ashinde!

Mashabiki wa lissu wanatia huruma

Wengi wamekata tamaa ya maisha

Nilichogundua leo watu wote tuliozoea kula kwa majasho yetu bila kumuumiza mtu mwingine..... bila rushwa, ujanjaujanja na konakona hatuna shida na Magufuli

Shida wale wanaoamini ulaya ndio kuna maisha na mzungu you ndio anayeweza😁
 
Yaani tuandamane kwa ajili ya mtu anayeishi ubeligiji [emoji3][emoji3]

Tena ameshakata tiketi ya kurudi ubeligiji

Familia yake ameificha, mimi nikavunjwe mguu kwa kumpigania mtu aliyeshindwa Uchaguzi anatoa matusi

Hahahaha
Kaka si anaenda kutibiwa tu

Mbona tumeaminishwa kwenda ulaya au Marekani ni usaliti?
 
Nilichogundua leo watu wote tuliozoea kula kwa majasho yetu bila kumuumiza mtu mwingine..... bila rushwa, ujanjaujanja na konakona hatuna shida na Magufuli

Shida wale wanaoamini ulaya ndio kuna maisha na mzungu you ndio anayeweza😁
Kama huyu waziri wetu au sio
Hapo Nakuunga mkono ndugu yangu
 

Attachments

  • 2020-10-03 11.21.32.png
    1,017.4 KB · Views: 2
Hapana brother, lissu ameshavuka mstari mwekundu
Ataishi kwa shida sana kwa kuisaliti Nchi
Hahahaha
Kaka si anaenda kutibiwa tu

Mbona tumeaminishwa kwenda ulaya au Marekani ni usaliti?
 
Mimi pamoja na waislamu wenzangu, tumejipanga mapema kabisa tarehe 28/10/2020 kumpigia kura Tundu Lissu. Tunakwenda kuwatoa mashekh wetu waliopo gerezani kwa kura zetu. Tutapiga kura zetu na tutalinda kura zetu.
 
Yaani tuandamane kwa ajili ya mtu anayeishi ubeligiji [emoji3][emoji3]

Tena ameshakata tiketi ya kurudi ubeligiji

Familia yake ameificha, mimi nikavunjwe mguu kwa kumpigania mtu aliyeshindwa Uchaguzi anatoa matusi
Hata mimi namshangaa Yesu kujitolea kwa mtu kama wewe upo utopoloni maharage ya fisi Magomeni. Yeye kakubali kusulubiwa kwa pisi kali kama wewe


Ndukiiiii πŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈ
 
Nimeshaifanya hiyo kazi tayari. Kura za ndugu zangu wa karibu ni kwa Tundu Lissu. Hata huko Zenji nimeongea nao hakika Lissu amekamata nchi nzima.
 
Bro nasikia kuna wamachinga wame penyezwa huko zanzibar kuwapigia kura Mapuyanga. Nakupeni ushauri nendeni na KY sura ngeni ibebeni mukaile tigo.


Ndukiiiii πŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈ
Mimi pamoja na waislamu wenzangu, tumejipanga mapema kabisa tarehe 28/10/2020 kumpigia kura Tundu Lissu. Tunakwenda kuwatoa mashekh wetu waliopo gerezani kwa kura zetu. Tutapiga kura zetu na tutalinda kura zetu.
 
Wakizingua bora tufe tu. Tufike mahali tuchoshwe na nchi ya miyeyusho!
Bora ufe wewe na nani? Na familia yako au na familia za wengine. Unajisemea tu hapa wakati hata kutoka barabarani hutatoka.. Nilijua magufuli kaskazini hapendwi kabisa ila nilichoona jana kwa macho yangu huku mitandaoni mnadanganyana
 
Kama huyu waziri wetu au sio
Hapo Nakuunga mkono ndugu yangu

Wewe nawee.

Tunachokataa ni udhaifu wa chadema mnaodhani mzungu ni Mungu

Kama ni ushirikiano nao wa kijamii na kiuchumi sawa ila sio mambo ya kuweka nchi rehani

Eti bila aibu kwenye ilani mmeweka kabisa mtaweka dhamana madini ya nchi hii ili wazungu wawape pesa eeeheeee
 
Yaani tuandamane kwa ajili ya mtu anayeishi ubeligiji [emoji3][emoji3]

Tena ameshakata tiketi ya kurudi ubeligiji

Familia yake ameificha, mimi nikavunjwe mguu kwa kumpigania mtu aliyeshindwa Uchaguzi anatoa matusi
Huyu mleta mada, ni mpuuzi kabisa yani [emoji28] [emoji28]
 
Usinifanishe mimi na msaliti wa Nchi Lissu

Usaliti ni laana

Pia Tanzania hatutaki ushoga,
Hata mimi namshangaa Yesu kujitolea kwa mtu kama wewe upo utopoloni maharage ya fisi Magomeni. Yeye kakubali kusulubiwa kwa pisi kali kama wewe


Ndukiiiii [emoji2089][emoji2089][emoji2089]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…