WanaJF tunaomuunga mkono Lissu sasa ni muda muafaka wa kumsaidia Lissu ashinde!

dunia nzima hakuna nchi utapata uhuru usio mipaka wala haki isio mipaka, hata huyu tundu lisu anaewadanganyeni hawezi kuwapeni, kua hohe hahe ni maamuzi yako mwenyewe wala serikali haihusiki
 
Sisi Watanzania tuliowengi tutamchagua Rais Magufuli kipenzi cha Watanzania

Yule mropokaji na msaliti wa Nchi Lissu atapigiwa kura na robert tu
Mtanzania labda wewe na mama D lakini wenye kujitambua na kuipenda Tanzania yetu kura zetu kwa Lissu.


Ndukiiiii πŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈ
 
Hatashinda hata kwa robo ya kura
 
Sisi Watanzania tuliowengi tutamchagua Rais Magufuli kipenzi cha Watanzani

Yule mropokaji na msaliti wa Nchi Lissu atapigiwa kura na robert tu
Mtanzania labda wewe na mama D lakini wenye kujitambua na kuipenda Tanzania yetu kura zetu kwa Lissu.


Ndukiiiii [emoji2089][emoji2089][emoji2089]
 
Bora ufe wewe na nani? Na familia yako au na familia za wengine. Unajisemea tu hapa wakati hata kutoka barabarani hutatoka.. Nilijua magufuli kaskazini hapendwi kabisa ila nilichoona jana kwa macho yangu huku mitandaoni mnadanganyana
Huna akili wewe. Sasa kwa taarifa yako tupo tayari!
 
Sisi Watanzania tuliowengi tutamchagua Rais Magufuli kipenzi cha Watanzani

Yule mropokaji na msaliti wa Nchi Lissu atapigiwa kura na robert tu
Akili yako imekufa kama avatar yako.


Ndukiiiii πŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…