Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 16,419
- 26,594
- Thread starter
-
- #81
Zsidi ya dole la kati, una maendeleo gani kuonyesha.Kazeeka moyoni huyo😂
Dr.Tulia ndo habari ya Wana Mbeya kwasasa, atakaye jaribu kukaa mbele atasagwa sagwa,Jiji lazima liendane na hadhi ya Mbunge,Tulia ni hazina ya Wana Mbeya,Jiji limetulia na Dr TuliaKwanza kama mwana CCM, kada, nampongeza sana Dkt. Tulia Ackson Mwansasu kwa kupewa wadhifa wa juu, Bunge la MabunGe, IPU.
Huo ni wadhifa umeleta sifa si kwa Tanzania tu, bali Afrika kwa ujumla.
Tukirudi bongo, hasa kule kwa wasokile, wasafwa, wanyiha, wapangwa na wakinga, kwenu huo ni mtaji mkubwa.
Tulia aombe kitu gani kwa mama Samia halafu Samia amkatalie?
Dkt. Tulia mtaji wa maendeleo.
Lakini Mbeya kuna mijitu ya ajabu.
Kikwete aliwahi sikika akilalamika, eti Halmashsuri na Mkoa hawana eti sehemu ya kujenga Chuo Kikuu cha DSM, tawi la Mbeya!
Tukumbuke Chuo Kikuu cha Mandela kilikuwa kijengwe Mbeya, mji alimoingilia mpigania uhuru Mandela.
Kwa kukosa ushirikiano wenu kikajengwa Arusha.
Mbeya msiwe low achievers!
IPU ina msaada gani wewe zezetaKagombee wewe IPU!
Kibhaka mwandamizi wewe unazungusha sketi hapa bureNa nyie wanawake wa vyama vingine si mkashone blauzi mpya tu na kukata mauno?, Tulia kashinda.
unakuwaga na hoja za kindezi sana, utakuwa mlevi wa mbege na ulanzi weweNi sahih kweli mbeya watapata San .maendeleo na barabara ya njia nne faster Ni muhimu hili wakalikumbuka
Hakujenga Kwa kuwa alikuwa hatoi ahadi,barabara tajwa (KALOBE-IITENDE 3KM) huwa anaitolea ahadi Kila siku,Sasa tumemchoka na ahadi zake hewa,barabara hii hata kifusi tu inanyimwa siku hizi😞😞Na Sugu alijenga barabara ipi?
😂😂😂😂😂🙌+255784763144 Mbunge wako Mbeya mjini
Mkorofi huyo 😂😂🤓na yakutolea kabisa au sio
Sugu aliekaa miaka kumi kwa nini hakujjenga hizo barabara?Hafanyi Chochote Mbeya,,no Umeme,, barabara za iwambi Zote chafu Mnoo,,zimebaki ahadi tuu
na Wanambeya2020 alichaguliwa na nani ?
Tulia Trust Fund imewasaidia sana kiuchumi wanambeya. Wanawawezesha mpaka vijijini huko ambako benki hazifiki.Ni vizuri ungeainisha Bi Tulia amewafanyia nini wana Mbeya katika kipindi chake cha ubunge kiasi cha kustahili kuwa Mbunge wao tena, ungetusaidia pia kipi Tulia amewafanyia Watanzania kiasi cha kuaminiwa tena kwenye nafasi ya uspika.
Nafikiri umejuta kufungua uzi wa kindezi kama huu[emoji23][emoji23]Kama ile sketi anayovaa babaako
Tatizo kubwa ninyi wana Mbeya ni washamba wakubwa, mkiambiwa mna nyumba za tope kati kati ya jiji mnafikiri mmetukanwa.Nafikiri umejuta kufungua uzi wa kindezi kama huu[emoji23][emoji23]
Nipo seriously mwenzio ujue😔+255784763144 Mbunge wako Mbeya mjini
Acha hizo basi?Nipo seriously mwenzio ujue😔
Sawa,I trust u GlennAcha hizo basi?
Nimekupa namba halisi, hebu ichunguze kama hutaona imesajiliwa kwa jina lake?
Huyo nimshikaji wangu kitambo
Ukikuta haijasajiliwa kwa jina lake niite mbwaNipo seriously mwenzio ujue😔
Ni mropokaji Tu huyoWewe pimbi Lord denning nenda kaangalie tena takwimu za uchumi za mwaka 2022. Mbeya inapitwa na Dar es Salaam, Kikimanjaro na Iringa tu.
Usifananishe Mbeya na mikoa ya hovyo kama Dodoma, Singida na Tabora. Sisi tuko another level
Mpandie hewani uone, labda kwa vile ni bunge aweza kupokea msaidizi wakeSawa,I trust u Glenn