Jah bless
JF-Expert Member
- Jan 24, 2013
- 276
- 463
hata 2pac kwenye hit em up aLisema dar salam maza ----
pac alisema "f*ck all y'all in swahili". ktk wimbo wake wa 'troublesome'
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hata 2pac kwenye hit em up aLisema dar salam maza ----
Kuna series inaitwa one tree hill kuna mtu alisema dada
Pia kuna movie ya Angelina jolie inaitwa Lara craft sikumbuki spelling kuna kipande wameongea kiswahilii
Na kuna movie ya alieigiza TITANIC sikumbuki inaitwaje kuna sehemu wametumia kiswahilii
Umeona eh!! Hadi 2pac tena hii kasa.
Kwenye movie ya phone booth pia kuna sehemy wameongea kiswahili
ni kweli hapo amenogesha kijiwe ila kuna track moja inaitwa Troublesome 96 kutoka kwenye albam ya greatest hits late 2pac ametamka neno swahili sijajua alikuwa anamaanisha nini lakin ndo hivo na si unajua baba ake alikuwa mchaga na amekufa miaka mitatu huko arusha. Sisi wabongo tunajiradharau tu ila tuko juu
Umeona eh!! Hadi 2pac tena hii kasa.
Nimemsikia leo DJ John Dilinga kwenye kipindi cha mtaa wa mangoma radio one akizungumzia hii kitu na kumtaja Queen Latifa kwamba amewahi kuchomeka Kiswahili kwenye nyimbo iliyoshirikisha mastaa kibao miaka ya 80s na pia DJ JD alirap hiyo verse.....long time kiswahili kimevuka boda....
Pia kuna movie ya Angelina jolie inaitwa Lara craft sikumbuki spelling kuna kipande wameongea kiswahilii
Na kuna movie ya alieigiza TITANIC sikumbuki inaitwaje kuna sehemu wametumia kiswahilii
labda dicaprio kwenye inception walipokuwa mombasa.Aliegiza Titanic yupi Kate Winslet,Billy Zane au Leonardo tafafhali nijulishe coz nimekuwa interested!
labda dicaprio kwenye inception walipokuwa mombasa.
Yule mjaruo baada ya mdori/toy lake la roboti kupigwa risasi akasema" vipi wewe mujamaa,mbona umeharibu mdori wangu?"
Jamaa akamlipa hela!!
hata 2pac kwenye hit em up aLisema dar salam maza ----