M Muuza Kangala JF-Expert Member Joined Jul 21, 2021 Posts 1,242 Reaction score 4,813 Jul 15, 2023 #1 ADHA ya kukosa maji ya bomba kwa miaka 48 katika Kijiji cha Karangai, Wilaya ya Arumeru mkoani Arusha, imesababisha baadhi ya wakazi wake kuugua na kulazwa hospitalini kutokana na tishio la magonjwa kama vile amoeba, kichocho, typhoid na kuhara.
ADHA ya kukosa maji ya bomba kwa miaka 48 katika Kijiji cha Karangai, Wilaya ya Arumeru mkoani Arusha, imesababisha baadhi ya wakazi wake kuugua na kulazwa hospitalini kutokana na tishio la magonjwa kama vile amoeba, kichocho, typhoid na kuhara.
DR HAYA LAND JF-Expert Member Joined Dec 26, 2017 Posts 23,928 Reaction score 63,499 Jul 15, 2023 #2 Ukiwa Kama mwananchi mnabidi kujikusanya mkatafta njia ya kuondoa changamoto zenu ukisema unasubiri kazi za Ccm utakwama pakubwa.
Ukiwa Kama mwananchi mnabidi kujikusanya mkatafta njia ya kuondoa changamoto zenu ukisema unasubiri kazi za Ccm utakwama pakubwa.