Wananchi Chunya wamwambia RC Chalamila wagonjwa wanaotapika damu wako 22, RC aagiza wapelekwe hospitali ya Rufaa

Wananchi Chunya wamwambia RC Chalamila wagonjwa wanaotapika damu wako 22, RC aagiza wapelekwe hospitali ya Rufaa

Kwahiyo mapress release ya Wizara ya Afya, kutaka itv ichukuliwe hatua tunayachukuliaje??

Anguko la Gwaji-girl kipenzi cha wakili msomi!

Everyday is Saturday............................... 😎
Huyu mama viatu vya Ummy Mwalimu vikubwa kwake , yule dada kuna maagizo ya kisiasa aliyakubali kwa kichwa tu si kwa vitendo
 
Kuna staff mwenzangu wa zamani (yupo hospitali ya Mkoa) nasubiri anipe taarifa kama wameishapokea mgonjwa aliyepewa rufaa na mkuu wa Mkoa! siasa hizi bwana...
 
Na sidhani hata kama ni sawa kusema "Ugonjwa usiojulikana"....ni vizuri tu kusema "Ugonjwa ambao bado haujafahamika chanzo chake".

Matumizi ya hayo maneno ya mwanzo ni ya kutishana zaidi bila msingi wowote, na hutumiwa sanasana na Jamii vivu na tegemezi, ambao badala ya kuingia maabara kujua tatizo ni nini mnakaa kulalamika mkisubiri "Mabeberu" waje ndio watuambie tatizo ni nini.

Sanasana tutakimbilia kwenye imani za kishirikina tu wala hakuna cha zaidi hapo.
Ulitaka ITV waende maabara kwanza ndiyo watoe taarifa ?
 
Waziri kashasema ugonjwa hamna..hawa wananchi mbona kimbelembele saana
 
Acha kuwa mjinga!Na hili limezidi kuwa tatizo kwa watanzania wote. Yule Mama hafanyi vile kwa matakwa yake.Anafanya vile kumuwakilisha Magufuli. Ile siyo yule Mama ni Magufuli.Asipofanya vile hana kazi, hana tonge la kila siku! Mzizi wa tatizo ni Magufuli.
Sasa acha uzwazwa hanuwakilish rais kwa kufanya upuuzi pale anatetea tumbo lake
 
Upo sahii ,hata mkuu wa mkoa kusema wagonjwa wapelekwe hosp rufaa mbeya hayuko sahii, mlipuko wowote huwezi fanya hivyo,vinginevyo unaweza sambaza ugonjwa Kama unaambukiza,pale nikuweka karantin, kuongeza nguvu ya matibabu hapo walipo,wakati uo sampuli zinachukuliwa,mpaka kujiridhisha sio ugonjwa unaoambukiza ndo unaweza safirisha magonjwa, vinginevyo watahalam wa afya nikuendelea toa matibabu sehem husika, so viongozi wawe wanauliza kabla ya kutoa matamko, ila KWA yote nimpogeze mkuu wa mkoa CHALAMILA

Wataalamu wa afya wafike hapo haraka sana ili kuchukuwa sampuli mbali mbali za eneo husika hasa sampuli za maji za maeneo yote husika wapeleke lab ikiwa ni pamoja na sampuli za matapishi choo mpaka kufikia watu 15 wanafariki baadhi watu hapa wanatakiwa kufukuzwa kazi
 
Upo sahii ,hata mkuu wa mkoa kusema wagonjwa wapelekwe hosp rufaa mbeya hayuko sahii, mlipuko wowote huwezi fanya hivyo,vinginevyo unaweza sambaza ugonjwa Kama unaambukiza,pale nikuweka karantin, kuongeza nguvu ya matibabu hapo walipo,wakati uo sampuli zinachukuliwa,mpaka kujiridhisha sio ugonjwa unaoambukiza ndo unaweza safirisha magonjwa, vinginevyo watahalam wa afya nikuendelea toa matibabu sehem husika, so viongozi wawe wanauliza kabla ya kutoa matamko, ila KWA yote nimpogeze mkuu wa mkoa CHALAMILA
HUKU MTAANI KUNA WATU WANAAKILI SANA 💪 💪 💪
 
Upo sahii ,hata mkuu wa mkoa kusema wagonjwa wapelekwe hosp rufaa mbeya hayuko sahii, mlipuko wowote huwezi fanya hivyo,vinginevyo unaweza sambaza ugonjwa Kama unaambukiza,pale nikuweka karantin, kuongeza nguvu ya matibabu hapo walipo,wakati uo sampuli zinachukuliwa,mpaka kujiridhisha sio ugonjwa unaoambukiza ndo unaweza safirisha magonjwa, vinginevyo watahalam wa afya nikuendelea toa matibabu sehem husika, so viongozi wawe wanauliza kabla ya kutoa matamko, ila KWA yote nimpogeze mkuu wa mkoa CHALAMILA
Kwahiyo Gwajima na Chalamila wote wawili watumbuliwe?!
 
Back
Top Bottom