LGE2024 Wananchi hawajajitokeza kujiandikisha ktk daftari

LGE2024 Wananchi hawajajitokeza kujiandikisha ktk daftari

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Nimekuwa mpiga kura mwaminifu tangu tukiwa katika mfumo wa chama kimoja. Never missed.

Lakini kauli za wakuu zilinivunja moyo.

Najiuliza, ntaendaje kupiga kura huku nina mashaka kuwa kura yangu inaweza badilishwa.

Hapa kuna watu watasema ushahidi upo wapi?

Nakuoa ushahidi.

Mosi, kuna mkuu alisema ninakupa ukurugenzi, gari nk, halafu jimbo liende upinzani !

PIili, mwingine alisema, mkipigia upinzani zinahesabiwa CCM.

Tatu, wasaidizi wengine wa wakuu wametamka angalau mara mbili kuwa kura zonachakachuliwa, na walio tamka hivyo walitolewa madarakani.

Bila shaka wapo watu wengi waliyasikia hayo.

Wanaoenda kujiandikisha na kwenda kupiga kura, kila la kheri na wabarikiwe tu.

Lakini mimi wacha mniite mtakavyo siwezi kuhalalisha kisicho halali.
 
Nimekuwa mpiga kura mwaminifu tangu tukiwa katika mfumo wa chama kimoja. Never missed.

Lakini kauli za wakuu zilinivunja moyo.

Najiuliza, ntaendaje kupiga kura huku nina mashaka kuwa kura yangu inaweza badilishwa.

Hapa kuna watu watasema ushahidi upo wapi?

Nakuoa ushahidi.

Mosi, kuna mkuu alisema ninakupa ukurugenzi, gari nk, halafu jimbo liende upinzani !

PIili, mwingine alisema, mkipigia upinzani zinahesabiwa CCM.

Tatu, wasaidizi wengine wa wakuu wametamka angalau mara mbili kuwa kura zonachakachuliwa, na walio tamka hivyo walitolewa madarakani.

Bila shaka wapo watu wengi waliyasikia hayo.

Wanaoenda kujiandikisha na kwenda kupiga kura, kila la kheri na wabarikiwe tu.

Lakini mimi wacha mniite mtakavyo siwezi kuhalalisha kisicho halali.
Mwingine akasema alikua porini 🤣🤣 itakua alienda kuchimba dawa....
 
Walimu wanatia huruma katika hivyo vituo.
Serikali ijitafakari.

Mwisho.
Mfano Mimo sitaenda kwa sababu kwa miaka viongozi wanachaguliwa ja ccm. Hata kama mkilazimisha kiongozi wetu apite hana la kufanya
 
Walimu wanatia huruma katika hivyo vituo.
Serikali ijitafakari.

Mwisho.
Yaani zoezi limeanza Leo ushaanza urozi? Msipojiandikisha shauri yenu. Mbona miaka mitano ya Mwamba Magufuli na viongozi wake imeisha vizuri tu. Na hii itaisha tu!
 
Kwa hizi drama za ajabu ajabu hata kupiga kura wengi hawatajitokeza.
Huyu kaenda kujiandikisha.
Screenshot_20241011-181256_Chrome.jpg
 
Yaani zoezi limeanza Leo ushaanza urozi? Msipojiandikisha shauri yenu. Mbona miaka mitano ya Mwamba Magufuli na viongozi wake imeisha vizuri tu. Na hii itaisha tu!
Ujiandikishe usijiandikie Samia ana mitano yake.

Siku wakirogwa waweke katiba mpya ama tume huru ya uvhaguzi utaona kila sehem kutajaa
 
Walimu wanatia huruma katika hivyo vituo.
Serikali ijitafakari.

Mwisho.
Mi nimejiandikisha ila hawatoi card unaandikishwa tu kwenye daftari.
Yaweza kuwa moja ya sababu watu kutojitokeza maana wengi wanataka ile card ya mpiga kula kwa matumizi mengineyo.
 
Kusema kweli inanishangaza sana kwa nini mambo yana kwenda hivi sasa hivi kama yalivyo. Nilitegemea hivi vyama vya upinzani vingekuwa kwenye kazi kubwa sana wakati huu; lakini ni kinyume kabisa,
Upinzani walitaka kuwe na katiba mpya au angalau Tume huru ya uchaguzi kabla ya huo uchaguzi ili yale madhila ya 2020 yasijirudie, ila wamepigwa pini makusudi.
Kama mambo yote ni yale yale ya 2020 kutakuwa na jipya?

Kwa mfumo wa sasa, ushindi hauna uhusiano na idadi ya kura anazopata mgombea.
Ulimsikia DC Ng'umbi?


View: https://youtube.com/watch?v=H77NTG71YW0&si=3CZY4C8eLW_FkT9J
 
Back
Top Bottom