Watanzania sio wajinga kiasi hicho hata uchaguzi mkuu watu hawatokua wengi, na hii yote ni kuvurugwa kwa chaguzi baadhi wazi wazi , hayo ndio matokeo na hali hiyo haitobadilika karibuni , watu wameona waendelee na shughuli zao kuliko kufanywa wajinga miaka yote, hata Mimi binafsi siwezi kwenda kupoteza muda wangu wakati najua hua Kura zinaibiwa , yaani nilianza kuchagua 85 hadi Leo niendelee kua mjinga haipo hiyo