Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Walimu wanatia huruma katika hivyo vituo.
Serikali ijitafakari.
Mwisho.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Walimu wanatia huruma katika hivyo vituo.
Serikali ijitafakari.
Mwisho.
Msururu.Kawaida ya siku za mwanzomwanzo watu wana mazoea ya kutegea na mwishoni mwa zoezi tegemea msululu wa watu .
Vp kuhusiana na umri wao?
Siyo kweli. Jana wakati kunapita tangazo, nikawasikia watu wanasonya na kusema eti nchi hii uchaguzi hauna maana. Gari la matangazo likawa limeamsha mjadala mrefu, wakaanza kuongelea bandari, viongozi kuwekewa kinga ya kutoshtakiwa, deni la Taifa, Zanzibar inavyopendelewa, walimu walivyochangishwa hela kwa nguvu kwaajili ya kuipa CCM. Watu wenyewe kwa kuwatizama, huwezi kufikiria wanayajua hayo yote!! Kumbe kwenye kundi, mmoja ana ndugu yake ni mwalimu. Akaeleza jinsi mkurugenzi wa halmashauri ivyowalazimisha watumishi wote wa halmashauri kuwa wanatakiwa kuwa na kadi za CCM, na kuwa ni lazima waichangie CCM maana ndiyo iliyowaajiri. Huyo ndugu yake alipokosa kuchangia, aliitwa na kuonywa, na kulazimishwa kuchangia laki 1.Kawaida ya siku za mwanzomwanzo watu wana mazoea ya kutegea na mwishoni mwa zoezi tegemea msululu wa watu .
Ccm hamtegemei kura. Hakuna atakayekuja kulalamika kuibiwa kura wakati tumeshapuuza huo ujinga uitwao uchaguzi. Watakaolalamika ni wale watakaoendelea kushiriki huo ushenzi.CCM tunajiandikisha kama kawa, kwa raha zetu,
Wasiyojiandikisha ndiyo atakuja kuwa wa kwanza kulalamika kudhulumiwa kura.
Kondoo wanajulikana.
Wizi wa kijanja hufanyika bila kujulikana, wa kishamba hata wajinga wanauonaMkuu, 'Gulwa', huu siyo "wizi wa kishamba". Imepangwa maksudi iwe hivyo; na nyinyi mnao susa ndio mtaji mkubwa kwao.
Mkuu nashukuru elim uliyonipa natumai pia nawengne wataielewa ila kusudio langu lilikua kuonyesha wanaoenda kujiandikisha niwalio na uhakika wa ushindi kwan wengi tumekatishwa tamaa kujiandikisha alafu kupga kura natukashinda na tusitangazwe washindi ccm hawajawah kuwa na aibu nikwambie kabisaa kunakitua wapga kura walikua 320 upinzan wakapata kura 180 ccm kura 220 ukizijumlisha nathan kura znafka 400 hzo mia nakitu zmetoka wap na mtendaj akatangaza matokeo ni halalJibu rahisi sana ni HAPANA.
Lakini ninakuomba unisome na kunielewa ninacho zungumzia hapa.
Kupiga kura kwa wingi sana kuwakataa CCM siyo mwisho wa zoezi; pamoja na kwamba wingi wa kura zilizo wakataa ni kizingiti muhimu kinachoweza kuwazuia hata wasithubutu kutangaza mtu ambaye hakushinda
Wingi wa kura hizo zilizo wakata ndiyo ushahidi mzuri wa kuwalazimisha, hata kwa nguvu kuachia madaraka. Lakini unapo susia hata kupiga kura, moja kwa moja umekwisha kubali CCM waendelee kuwepo madarakani bila ya kutokwa jasho.
Hili ni tatizo kubwa sana litakalo endelea kutuumiza chini ya CCM.
Lakini kutokana na jinsi ulivyo andika hapa, ni dhahiri wewe ni mnufaika wa huko kususia kupiga kura. Hapa unafanya gheresha tu!
Walimu wanatia huruma katika hivyo vituo.
Serikali ijitafakari.
Mwisho.
Sijui kwanini. Ila kuna hasira kali sana mtaani. Unaweza pigwa.
Mshukuru mungu kwahiloKitambulisho changu Cha mpiga kura kimepotea nafanyaje???
Sasa kwa wananchi ambao wame elimika vizuri na hawataki HAKI zao zivurugwe; hapo kwenye kituo hicho ulicho tolea mfano uchaguzi huo na matokeo yake yasinge kubalika, kwa sababu wananchi wenyewe wasinge ruhusu. CCM inatumia mwanya huo wa wananchi kutojua HAKI zao ni zipi, na kukosa uongozi mbadala huko huko mitaani; jambo ambalo vyama vya upinzani walipaswa kuwa mstari wa mbele kujiandaa kufanya kazi hiyo, tokea miaka mitano iliyo pita.Mkuu nashukuru elim uliyonipa natumai pia nawengne wataielewa ila kusudio langu lilikua kuonyesha wanaoenda kujiandikisha niwalio na uhakika wa ushindi kwan wengi tumekatishwa tamaa kujiandikisha alafu kupga kura natukashinda na tusitangazwe washindi ccm hawajawah kuwa na aibu nikwambie kabisaa kunakitua wapga kura walikua 320 upinzan wakapata kura 180 ccm kura 220 ukizijumlisha nathan kura znafka 400 hzo mia nakitu zmetoka wap na mtendaj akatangaza matokeo ni halal
Halafu iweje baada ya hapo. Nani kati yenu," mnaosusa na hao wezi washamba" ataonekana "mshamba" baada ya uchaguzi?Watu hatuna imani na wasimamizi wa uchaguzi, tumeamua kuwaachia ccm waendelee wenyewe na wizi wao wa kishamba