Wananchi hawana imani na vyombo vya usalama

Wananchi hawana imani na vyombo vya usalama

😁 dah umejibu kwa uwezo wako na uelewa wako , asante.
No,
ni kawaida tu,
angalia mfululizo wa matukio ya mauaji ya kuviziana USA, mpka vitoto vidogo vya shule vinauawa, cheki black American wanauawa mpaka na polisi..

umewahi kuskia wananchi wanasema ati sijui Jeshi lao ni imara zaidi au dhaifu sana?

hakuna namna, uwe na Imani uwe huna Imani Taasisi hizi za ulinzi ndio kimbilio la kila moja..

ukidharau polisi kwa kufuata mkumbo, basi sawa, likikupata la kupata report tu huko Twitter na HQ ya chama chota hurumaaa weeee,

halafu ukiona husaidiki lolote, ndio sasa uje kurepoti polisi baada ya wiki, likikushinda zaidi, right?

si ndivyo inavyofanyika? sasa sijui kwa faida ya nani?🤣
 
No,
ni kawaida tu,
angalia mfululizo wa matukio ya mauaji ya kuviziana USA, mpka vitoto vidogo vya shule vinauawa, cheki black American wanauawa mpaka na polisi..

umewahi kuskia wananchi wanasema ati sijui Jeshi lao ni imara zaidi au dhaifu sana?

hakuna namna, uwe na Imani uwe huna Imani Taasisi hizi za ulinzi ndio kimbilio la kila moja..

ukidharau polisi kwa kufuata mkumbo, basi sawa, likikupata la kupata report tu huko Twitter na HQ ya chama chota hurumaaa weeee,

halafu ukiona husaidiki lolote, ndio sasa uje kurepoti polisi baada ya wiki, likikushinda zaidi, right?

si ndivyo inavyofanyika? sasa sijui kwa faida ya nani?🤣
Mkuu , nafikiri umetuona humu ni watoto wadogo, ila basi tu , asante sana ndugu😅😅😅
 
Mule kuna polisi wahalifu
Wawasafishe

Ova
dosari na kasoro za kiutendaji ndani ya polisi zipo, lakini pia na watendaji baadhi wasio makini na wasio na uwezo pia wapo...

nadhani ni suala la muda, baada ya jambo hilo la kamanda Ally Mohamed Kibao kuhitimishwa kina marekebisho kidogo ya kiutendaji yanafanyika, ni muhimu sana kua wastahimilivu na wenye subra kidogo 🐒
 
Mkuu , nafikiri umetuona humu ni watoto wadogo, ila basi tu , asante sana ndugu😅😅😅
fuatilia mambo vizuri kwa ukaribu kidogo utaona hili ambalo ni wazi kabisa...

hao watu wa kutegemea huruma ya wananchi, jambo likimtokea mwanachama wake kunaripotiwa Twitter na HQ ya chama tu. Polisi hapana, hatuiamimi 🐒

after one week huruma ya wananchi wakiona haimake sense, ndio hao vimbelembele ng'we ng'we ng'we polisi ng'we ng'we ng'we, nonsense kabisa alaaaa🤣
 
fuatilia mambo vizuri kwa ukaribu kidogo utaona hili ambalo ni wazi kabisa...

hao watu wa kutegemea huruma ya wananchi, jambo likimtokea mwanachama wake kunaripotiwa Twitter na HQ ya chama tu. Polisi hapana, hatuiamimi 🐒

after one week huruma ya wananchi wakiona haimake sense, ndio hao vimbelembele ng'we ng'we ng'we polisi ng'we ng'we ng'we, nonsense kabisa alaaaa🤣
😁😁 sawa mkuu , kisiasa upo sawa kusema hivyo.
 
Katika jaribio la "wasiojulikana" kutaka kumchukua raia huko Kariakoo, wananchi wamegomea watu hao kufanya hayo.

Raia wamesikika kuwa "sasa hivi watu wanatekwa, wanauawa"

Kauli hizi za wananchi ziwatafakirishe polisi na Usalama wa Taifa kuwa wananchi hawataki uhuni. Na wakijifanya kufanya kazi zao kihuni ipo siku watapambana na raia hivihivi mchana kweupee.

Tunataka majeshi professional yenye nidhamu siyo magenge ya wahuni na watekaji

View attachment 3101104
Acha wananchi wapate uzoefu kwanza, halafu tutaanza kuzungumza mengine.
 
Katika jaribio la "wasiojulikana" kutaka kumchukua raia huko Kariakoo, wananchi wamegomea watu hao kufanya hayo.

Raia wamesikika kuwa "sasa hivi watu wanatekwa, wanauawa"

Kauli hizi za wananchi ziwatafakirishe polisi na Usalama wa Taifa kuwa wananchi hawataki uhuni. Na wakijifanya kufanya kazi zao kihuni ipo siku watapambana na raia hivihivi mchana kweupee.

Tunataka majeshi professional yenye nidhamu siyo magenge ya wahuni na watekaji

View attachment 3101104
Polisi na vyombo vingine vya dola nk watekaji.
 
We mjinga unatafuta nikulambe tusi moja utulie
halafu wiki hii umevumilia mno mama Ima dah!

hujayaporomosha kabisa aise yale mazito mazito ambayo unayatoa kwa mipangilio maalumu dah..

hivi huwa unatumia drone kuporomosha matusi ee🤣
 
Back
Top Bottom