Ndivyo majeshi imara na ya kisiasa huwa yanalaumiwa na wananchi duniani kote..
Na dosari, kasoro na changamoto hizo kidogo, ambazo maranyingi hutokea ndani ya jamii yenyewe, tena kwa kuviziana. Lakini lawama wanapelekewa vyombo vya ulinzi usalama. Wakati sio shida wala tabu ya Jeshi...
Yaani unammendea mke wa mtu kwa siri, ukitimiza wizi wako bila tatizo jeshi sio baya na wala halina matatizo..
ukifumaniwa na kuparurwa na huenda ukapoteza maisha hapo sasa jeshi ni baya sana na dhaifu mno, ebooow. Hiyo ni useless bana . Wizi wako kwa wake za watu na dhuluma za kibiashara kwa wenzako ndio matokeo yake hayo. Kuna watu hawajui kuongea au kunung"unika, wao wanajua kutenda tu.. usicheze na vitu binafsi vya watu bana..
Kwenye vyama vinavyoendelea na uchaguzi wa ndani, kueni wangwana katika Uchaguzi huo, vumilianeni. Jueni kua mamlaka za Dunia zimetoka kwa Mungu na sio kuuana...
Wamalize uchaguzi wao kwa salama na amani, waTanzania wamechoka fujo.
Hata katika hali hiyo ya lawama, utendaji wa vyombo vya ulinzi na usalama nchini utaendelea kuimarika zaidi, na kujizatiti kulinda watu, kazi na makazi yao nchini...
waTanzania wamuamini Mungu k wanza, kwani huyo ndie mlinzi wa mwanzo kwa mwili na roho zao 🐒