Mkuu chimba kisima uuze maji, kwenye tatizo ndio penye fursa.
Kwenye huduma zote tajwa, sijui ni wapi mkuuSasa wapi kwenye hadhi ya jiji?
Lindi au?
Ubungo kuna shida ya maji sio poa
Usijichanganye ukapanga Ubungo kibangu, kajima,makoka, Rivaside juu au Msewe, bonyokwa na maeneo mengi ya Mbezi
Mfano Ubungo kibangu huwa ni kawaida ya watu kukaa miezi mitatu mpaka 6 bila maji
Maji yakitoka ni mara moja kwa mwezi tena yatoke hata lisaa hayamalizi.
Hizo sehemu hazifai
Dar ni mji wa hovyo, tunaita jiji lakini haina hadhi hiyo;
1. Uhaba wa maji sehemu nyingi
2. Uchafu uliokithiri
3. Makazi holela sehemu nyingi
Dar ni mji wa hovyo, tunaita jiji lakini haina hadhi hiyo;
1. Uhaba wa maji sehemu nyingi
2. Uchafu uliokithiri
3. Makazi holela sehemu nyingi.
Uko sahihi kabisa.Dar ni mji wa hovyo, tunaita jiji lakini haina hadhi hiyo;
1. Uhaba wa maji sehemu nyingi
2. Uchafu uliokithiri
3. Makazi holela sehemu nyingi.
Bado hujasema! Likizo hii nakuja hukohuko kibangu kuenjoy lifeUbungo kuna shida ya maji sio poa
Usijichanganye ukapanga Ubungo kibangu, kajima,makoka, Rivaside juu au Msewe, bonyokwa na maeneo mengi ya Mbezi
Mfano Ubungo kibangu huwa ni kawaida ya watu kukaa miezi mitatu mpaka 6 bila maji
Maji yakitoka ni mara moja kwa mwezi tena yatoke hata lisaa hayamalizi.
Kuna mtaa unaitwa Kajima (Rivaside juu) huu mtaa ni balaa hamna siku imewahi kutokea maji yakakaa hata robo siku hali ni mbaya sana na huku hakuna visima, watu wamelalamika Dawasa na wameenda hadi dawasa lakini dawasa ni kama wamepuuza na kuwatelekeza wananchi
Tunaomba mtupazie sauti jamani, tunaomba jamiiforum mtupostie kero yetu hii kwenye page zenu za mitandao ya kijamii labda waziri atatusikiliza maana tumelalamika ngazi zote lakini hatujapata msaada wowote
Hizo sehemu hazifai
Yule profesa tamaa mbele analifahamu hilo?Ubungo kuna shida ya maji sio poa
Usijichanganye ukapanga Ubungo kibangu, kajima,makoka, Rivaside juu au Msewe, bonyokwa na maeneo mengi ya Mbezi
Mfano Ubungo kibangu huwa ni kawaida ya watu kukaa miezi mitatu mpaka 6 bila maji
Maji yakitoka ni mara moja kwa mwezi tena yatoke hata lisaa hayamalizi.
Kuna mtaa unaitwa Kajima (Rivaside juu) huu mtaa ni balaa hamna siku imewahi kutokea maji yakakaa hata robo siku hali ni mbaya sana na huku hakuna visima, watu wamelalamika Dawasa na wameenda hadi dawasa lakini dawasa ni kama wamepuuza na kuwatelekeza wananchi
Tunaomba mtupazie sauti jamani, tunaomba jamiiforum mtupostie kero yetu hii kwenye page zenu za mitandao ya kijamii labda waziri atatusikiliza maana tumelalamika ngazi zote lakini hatujapata msaada wowote
Hizo sehemu hazifai
Nimeishi NY,LA,London na Riyadh huko kote kuna shida ya maji kuliko UbungoKwenye huduma zote tajwa, sijui ni wapi mkuu
Hii inaweza kuwa fursa ya kupata hela ya kula,chimba kisima uuze maji, kwenye tatizo ndio penye fursa.
KabisaHii inaweza kuwa fursa ya kupata hela ya kula,
Ngoja tufanye tafiti wapi tunaweza kupata maji maeneo ya karibu,tuanze kuwaleteaKabisa
Sawa mkuu hii itatengeneza pesa ndefu sanaNgoja tufanye tafiti wapi tunaweza kupata maji maeneo ya karibu,tuanze kuwaletea