Wananchi mkoani Arusha waandamana kupinga Ushoga

Wananchi mkoani Arusha waandamana kupinga Ushoga

Mkuu nafikiri hapo ndipo niliposema tatizo ni interpretation tu. Ushoga ni noun na kufira au kufirwa ni kitendo ambacho kimekatazwa na sheria na makosa ya jinai yana deal na vitendo zaidi. Hivyo shoga akikamatwa anafirwa na mfiraji wote wanakosa ni kama mtoa na mpokea rushwa wote wanamakosa kwa mujibu wa sheria. Hakuna kosa la ushoga bali kitendo ndicho kinakatazwa na sheria.
Mkuu una tafsiri nzuri ila kwenye penal code haipo hivyo, nakubali hilo ni kosa kibwa lililopo kwenye sheria yetu ila bila kufanyika mabadiliko ya hii sheria huu mtazamo wako ambao ni mzuri na sahihi kabisa hautawezekana kutekelezeka.

Sababu hadi sasa tu, sheria yenyewe inamkuta hatiani anayeingilia na sio anayeingiliwa. Nadhani dhumuni la bunge wakati wanaitunga hii sheria ilikuwa ni kuwalinda watoto, wanawake na makundi maalumu, sidhani kama waliwaza kuwa kuna kundi litakalotaka lenyewe kuingiliwa ili waone namna yakufanya ni kosa kwa pande zote mbili japo hapo napo kuna wanaolazimishwa ambao hawajaridhia wenyewe ambapo nadhani sheria ndio ililenga kuwalinda hao.
 
Nadhani hizi hoja zako zina mantik ila shida ni kwamba,huwezi zuia mafuriko kwa mikono,na hoja ya ushoga hakuna anayelazimishwa ila kinachotafutwa hapo ni ile uhuru na amani kwa washenzi waliioa amua kufanya ushezi wao kama vile wewe unavyofurahia uzinzi bila hofu yoyote.
Hapana hata uzinzi haufai kwenye jamii iliyostarabika.

Huwezi kumpenda jirani yako ukisikia na kuhakikisha kuwa anatembea na mume wako au mke wako.
Huwezi kumpenda jirani yako ukisikia anamrubuni mtoto wako wa kike na kumfanya mchepuko wake wakati ni mwanafunzi.
Huwezi kuendelea na rafiki yako wa kiume au wa kike endapo utasikia kuwa anatembea na mama yako au baba yako.

Hata wanyama wasio na utashi na akili na maarifa lakini wanagombana linapokuja suala la kumiliki jike lake Mwenyewe.
Kuna vitu vigumu sana kuviacha viende TU holela kwenye jamii

Usopodhibiti suala la maadili na mahusiano kwenye jamii hakika unatengeneza jamii ya watu katili na wasio na utu.
Hata makazini unaweza ukamkuta bosi Kawa mkali sana kumbe ana ugomvi na mkewe au mumewe na hakuna chombo Cha kuaminika Cha kusikiliza matatizo yake.

Jambo lolote usilopenda kutendewa wewe basi usimtendee mwenzako pia. Hiyo ni Golden Rule.
 
Pengine kuna mambo bado haujayaelewa vizuri Mkuu
Ndio mkuu yapo Mengi nisiyoyaelewa, lakini suala la mwanaume kuoa Mwanaume mwenzake au Mwanamke kuoa Mwanamke mwenzake. Au mwanaume kumfira au kufirwa na mwenzake Hilo ni chukizo kubwa kidini,kimila na hata kiafya. Hilo sitaki kueleweshwa au KUELEWA uhalali wake kabisa na yeyote anayeunga mkono hayo machukizo . Yupo upande wa pili wa vita ya kimwili na kiroho. Ni halali kukatwa Kichwa au kusomewa duwa mbaya mpaka ajinyonge Mwenyewe.
 
Maandamano hayo yaliongozwa na viongozi wa dini, na wananchi walijitokeza kwa wingi kupinga matendo ya mapenzi ya jinsia moja.

Hali hii imetokana na baada ya vikundi vya kutetea mapenzi ya jinsia moja duniani kuzidisha kasi na msukumo wa kuhalalisha matendo hayo.

Tuliona presha nchi ya Qatar iliyopigwa wakati wa kombe la dunia.

Tukashuhudia vitabu vinavyofundisha mambo hayo vikisambazwa ktk shule za watoto.

Tumeshihudia shule fulani ambayo watoto wanafundishwa kufanyana kinyume cha maumbile.

Huko Kenya mahakama ya juu ikaruhusu uanzishwaji wa NGOs za kutetea ushoga ktk nchi hiyo.

Na kuna baadhi ya madhehebu ya dini duniani yameanza kurasimisha ndoa za jinsia moja na kuna Mengine yamebaki na msimamo uleule wa toka zamani wa kukataa mambo hayo machafu.

Kwa mfano hapa Tanzania Kanisa la Anglican la Tanzania limekataa katakata kukubaliana na kanisa la Anglican la Uingereza kuruhusu ndoa za mashoga. Katika barua ambayo uongozi wa kanisa la Anglican la Tanzania limeliandikia kanisa mama la Anglican la uingereza, Limegoma kabisa kukubaliana na msimamo wa kanisa hilo la Uingereza kuhusu kuruhusu ubarikio wa ndoa hizo.

Kwa bahati mbaya pia, kanisa la Kikatoliki huko Ujerumani limepiga kura kuruhusu ubarikio wa ndoa za Jinsia moja kuanzia mwaka 2026. Hii inafuatia kauli ya Papa ya kuwatakia "Rehema( Grace)" watu wote hata wale wanaojihusisha na mapenzi ya jinsia moja.

Hapa chini ni video ya wananchi huko Arusha kuandamana kupinga mambo ya ushoga.

View attachment 2547164

View attachment 2547165

Nasubiri wakristo pia waandamane, mbona kimyaa!!
 
Maandamano hayo yaliongozwa na viongozi wa dini, na wananchi walijitokeza kwa wingi kupinga matendo ya mapenzi ya jinsia moja.

Hali hii imetokana na baada ya vikundi vya kutetea mapenzi ya jinsia moja duniani kuzidisha kasi na msukumo wa kuhalalisha matendo hayo.

Tuliona presha nchi ya Qatar iliyopigwa wakati wa kombe la dunia.

Tukashuhudia vitabu vinavyofundisha mambo hayo vikisambazwa ktk shule za watoto.

Tumeshihudia shule fulani ambayo watoto wanafundishwa kufanyana kinyume cha maumbile.

Huko Kenya mahakama ya juu ikaruhusu uanzishwaji wa NGOs za kutetea ushoga ktk nchi hiyo.

Na kuna baadhi ya madhehebu ya dini duniani yameanza kurasimisha ndoa za jinsia moja na kuna Mengine yamebaki na msimamo uleule wa toka zamani wa kukataa mambo hayo machafu.

Kwa mfano hapa Tanzania Kanisa la Anglican la Tanzania limekataa katakata kukubaliana na kanisa la Anglican la Uingereza kuruhusu ndoa za mashoga. Katika barua ambayo uongozi wa kanisa la Anglican la Tanzania limeliandikia kanisa mama la Anglican la uingereza, Limegoma kabisa kukubaliana na msimamo wa kanisa hilo la Uingereza kuhusu kuruhusu ubarikio wa ndoa hizo.

Kwa bahati mbaya pia, kanisa la Kikatoliki huko Ujerumani limepiga kura kuruhusu ubarikio wa ndoa za Jinsia moja kuanzia mwaka 2026. Hii inafuatia kauli ya Papa ya kuwatakia "Rehema( Grace)" watu wote hata wale wanaojihusisha na mapenzi ya jinsia moja.

Hapa chini ni video ya wananchi huko Arusha kuandamana kupinga mambo ya ushoga.

View attachment 2547164

View attachment 2547165
nawapongeza sana, ni hatua kubwa na wameiwakilisha vyema jamii ya watanzania walio wengi. tunategemea na zanzibar watafanya hivyohivyo.
 
Hayo maandamano yanaupa airtime ushoga. Jamaa n wajanja sana.
 
Hao sio wananchi bana.
Halafu hiyo nchi haina wanawake?
 
Wakati hayo yakiendelea duniani hakikisha unatubu dhambi mbele za Mungu ujikabidhi mikononi mwake! Kama aliangamiza dunia ya kwanza kwa gharika,akatetekeza Sodoma na Gomora kwa moto na kiberiti,ujue hasira ya Mungu haiko mbali,(Ufunuo6:12-17).
Siku ile wanadamu wataitafuta mauti hawataiona,watatamani kufa,nayo mauti itawakimbia,(Ufunuo9:6)
 
Hapa kuna agenda inasukwa... pia hii timing ni message kwa ujio wa Makamu Rais wa Marekani. Ila nyuma yake wapinzani kaeni mkao wa kupindua hoja dhaifu dhidi yenu ... mithili ile ile ya propaganda za ukanda, ukabila, kuleta machafuko etc ...
 
kwani uliambiwa yule afande alikuwa mkristo? si kujikosha tu hapo baada ya afande mzenji kuwawakilisha.

Uisilamu unapiga vita ushoga, je kanisani wanapiga vita ushoga? Naomba kaclip niwasikie wachungaji wako wakilipigia kelele suala la ushoga

Bhujiku ng'waka
 
Back
Top Bottom