Wananchi wa Geita walalamikiwa kupiga simu Zimamoto mara kwa mara kuwasalimia Askari

Wananchi wa Geita walalamikiwa kupiga simu Zimamoto mara kwa mara kuwasalimia Askari

Jeshi la Zimamoto na Uokoaji mkoani Geita, limewalalamikia wananchi wa Mkoa huo wanaotumia muda mwingi kupiga simu ya bure ya Jeshi hilo kwa lengo la kuwasalimia Askari waliopo zamu pamoja na kuulizia uwepo wa maji ya kutosha na utayari wao, ambapo limebainisha kuwa hali hiyo inazuia wananchi wengine wenye matukio ya moto kushindwa kupata msaada.
.
Hayo yamesemwa na Kamanda wa Jeshi hilo, Mkoani humo, Mrakibu Hamis Dawa, ambapo amewataka wananchi wanaotaka kuwasalimia Askari wa Jeshi hilo kufika kwenye ofisi hizo, badala ya kupiga simu.
Chanzo: ITV
Muwaite muwape kazi ya kuchota maji ya akiba,wataambia na wenzao baada hapo kwamba,zimamoto sio salamu show!
 
Hata kwenye radio wanapiga Sana simu.
Mwingine anapiga simu kumpa salami mke wake ambaye yupo Naye hapo hapo nyumbani.
Wengi wanatokea Ngudu Kwimba na Katoto Geita!!
 
Jeshi la Zimamoto na Uokoaji mkoani Geita, limewalalamikia wananchi wa Mkoa huo wanaotumia muda mwingi kupiga simu ya bure ya Jeshi hilo kwa lengo la kuwasalimia Askari waliopo zamu pamoja na kuulizia uwepo wa maji ya kutosha na utayari wao, ambapo limebainisha kuwa hali hiyo inazuia wananchi wengine wenye matukio ya moto kushindwa kupata msaada.
.
Hayo yamesemwa na Kamanda wa Jeshi hilo, Mkoani humo, Mrakibu Hamis Dawa, ambapo amewataka wananchi wanaotaka kuwasalimia Askari wa Jeshi hilo kufika kwenye ofisi hizo, badala ya kupiga simu.
Chanzo: ITV
... kuna uzi humu unadai sisi wananchi wa maeneo hayo ndio binadamu wenye IQ nyingi zaidi Tanzania! Do we need more proof than this post to prove that we are the most talented creatures in this country? Absolutely no!

Huu hapa by ye34nbe : Mbona wasukuma na wahaya wana akili sana za darasani 🤔
 
... kuna uzi humu unadai sisi wananchi wa maeneo hayo ndio binadamu wenye IQ nyingi zaidi Tanzania! Do we need more proof than this post to prove that we are the most talented creatures in this country? Absolutely no!
Kwa hio kupiga simu zimamoto huku hamna Moto unaowaka ndio mnakua talented au mnakua mazuzu mixa mazwazwa ?
 
Kwa hio kupiga simu zimamoto huku hamna Moto unaowaka ndio mnakua talented au mnakua mazuzu mixa mazwazwa ?
 
Jeshi la Zimamoto na Uokoaji mkoani Geita, limewalalamikia wananchi wa Mkoa huo wanaotumia muda mwingi kupiga simu ya bure ya Jeshi hilo kwa lengo la kuwasalimia Askari waliopo zamu pamoja na kuulizia uwepo wa maji ya kutosha na utayari wao, ambapo limebainisha kuwa hali hiyo inazuia wananchi wengine wenye matukio ya moto kushindwa kupata msaada.
.
Hayo yamesemwa na Kamanda wa Jeshi hilo, Mkoani humo, Mrakibu Hamis Dawa, ambapo amewataka wananchi wanaotaka kuwasalimia Askari wa Jeshi hilo kufika kwenye ofisi hizo, badala ya kupiga simu.
Chanzo: ITV
hao ni wasukuma unashangaa nini, tena ya bure? watakoma
 
Haya kula chuma hicho


Mazuzu akili fupi
 
Hua wanawafuata mashuleni kuwapa elimu ya kuzima Moto wanafunzi pamoja na namba za Mawasiliano sasa watoto wakifika Nyumbani wanaanzisha UTOTO wa kuwapigia simu, wanaopiga ni watoto wale wale wanaofundishwa elimu ya kuzima Moto
Yap
Nakumbuka tukiwa wadogo simu za mezani tumepiga sana 999 namba za polisi
Hao wa geita nao wakikuwa wataacha 😃
 
Back
Top Bottom