Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji3] [emoji106]Ukarimu kawaida yetu
Muwaite muwape kazi ya kuchota maji ya akiba,wataambia na wenzao baada hapo kwamba,zimamoto sio salamu show!Jeshi la Zimamoto na Uokoaji mkoani Geita, limewalalamikia wananchi wa Mkoa huo wanaotumia muda mwingi kupiga simu ya bure ya Jeshi hilo kwa lengo la kuwasalimia Askari waliopo zamu pamoja na kuulizia uwepo wa maji ya kutosha na utayari wao, ambapo limebainisha kuwa hali hiyo inazuia wananchi wengine wenye matukio ya moto kushindwa kupata msaada.
.
Hayo yamesemwa na Kamanda wa Jeshi hilo, Mkoani humo, Mrakibu Hamis Dawa, ambapo amewataka wananchi wanaotaka kuwasalimia Askari wa Jeshi hilo kufika kwenye ofisi hizo, badala ya kupiga simu.
Chanzo: ITV
Hawana kazi?Hata kwenye radio wanapiga Sana simu.
Mwingine anapiga simu kumpa salami mke wake ambaye yupo Naye hapo hapo nyumbani.
Wengi wanatokea Ngudu Kwimba na Katoto Geita!!
Hao inabidi kuwapa namba za wanajeshi wa JWTZ kambi ya jirani.Muwaite muwape kazi ya kuchota maji ya akiba,wataambia na wenzao baada hapo kwamba,zimamoto sio salamu show!
Hujayajua ya Kenya, hohoho hujayajua ya Nigeria, 😝 umeyasikia ya Angola?Dah hii nchi Kwa comedy hatuna mshindani
Hua wanawafuata mashuleni kuwapa elimu ya kuzima Moto wanafunzi pamoja na namba za Mawasiliano sasa watoto wakifika Nyumbani wanaanzisha UTOTO wa kuwapigia simu, wanaopiga ni watoto wale wale wanaofundishwa elimu ya kuzima MotoWamecheleweshewa kupelekewa hio huduma ya mawasiliano matokeo yake ndio haya
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Kuna ubaya kusalimiana wakati wa amani?
Ni watoto wanaowafundisha kuzima Moto ndio wanaowapigia simu kuwazingua tu,Hao inabidi kuwapa namba za wanajeshi wa JWTZ kambi ya jirani.
Kanda ya ziwa hiyo ni shida.Wasukum bwan
... kuna uzi humu unadai sisi wananchi wa maeneo hayo ndio binadamu wenye IQ nyingi zaidi Tanzania! Do we need more proof than this post to prove that we are the most talented creatures in this country? Absolutely no!Jeshi la Zimamoto na Uokoaji mkoani Geita, limewalalamikia wananchi wa Mkoa huo wanaotumia muda mwingi kupiga simu ya bure ya Jeshi hilo kwa lengo la kuwasalimia Askari waliopo zamu pamoja na kuulizia uwepo wa maji ya kutosha na utayari wao, ambapo limebainisha kuwa hali hiyo inazuia wananchi wengine wenye matukio ya moto kushindwa kupata msaada.
.
Hayo yamesemwa na Kamanda wa Jeshi hilo, Mkoani humo, Mrakibu Hamis Dawa, ambapo amewataka wananchi wanaotaka kuwasalimia Askari wa Jeshi hilo kufika kwenye ofisi hizo, badala ya kupiga simu.
Chanzo: ITV
Kwa hio kupiga simu zimamoto huku hamna Moto unaowaka ndio mnakua talented au mnakua mazuzu mixa mazwazwa ?... kuna uzi humu unadai sisi wananchi wa maeneo hayo ndio binadamu wenye IQ nyingi zaidi Tanzania! Do we need more proof than this post to prove that we are the most talented creatures in this country? Absolutely no!
Waende ofisini wakawasalimuWaongeze lune, wananchi wanawapenda askari wao
Kwa hio kupiga simu zimamoto huku hamna Moto unaowaka ndio mnakua talented au mnakua mazuzu mixa mazwazwa ?
hao ni wasukuma unashangaa nini, tena ya bure? watakomaJeshi la Zimamoto na Uokoaji mkoani Geita, limewalalamikia wananchi wa Mkoa huo wanaotumia muda mwingi kupiga simu ya bure ya Jeshi hilo kwa lengo la kuwasalimia Askari waliopo zamu pamoja na kuulizia uwepo wa maji ya kutosha na utayari wao, ambapo limebainisha kuwa hali hiyo inazuia wananchi wengine wenye matukio ya moto kushindwa kupata msaada.
.
Hayo yamesemwa na Kamanda wa Jeshi hilo, Mkoani humo, Mrakibu Hamis Dawa, ambapo amewataka wananchi wanaotaka kuwasalimia Askari wa Jeshi hilo kufika kwenye ofisi hizo, badala ya kupiga simu.
Chanzo: ITV
Haya kula chuma hichoMbona wasukuma na wahaya wana akili sana za darasani 🤔
Wakuuu za sahizi, Kwenye safari yangu ya elimu nime bahatika kukutana na wasukuma na wahaya wengi kwanzia shule za msingi mpaka saivi chuoni Lakini jambo linalo nishangaza ni kuwa hawa jamaa wana akili mingi sana za darasani wengine hata hawasomagi ila combi ngumu ngumu kama PCM NA PCB...www.jamiiforums.com
YapHua wanawafuata mashuleni kuwapa elimu ya kuzima Moto wanafunzi pamoja na namba za Mawasiliano sasa watoto wakifika Nyumbani wanaanzisha UTOTO wa kuwapigia simu, wanaopiga ni watoto wale wale wanaofundishwa elimu ya kuzima Moto