Wananchi wa Geita walalamikiwa kupiga simu Zimamoto mara kwa mara kuwasalimia Askari

Yap
Nakumbuka tukiwa wadogo simu za mezani tumepiga sana 999 namba za polisi
Hao wa geita nao wakikuwa wataacha πŸ˜ƒ
Sasa jamaa wanalalamika wakati wamewapa watoto namba wapige bure unategemea nini hapo ? Mtoto unamwambia piga Bure si anaenda kujaribu km kweli ni bure au unamtania ndio hapo wanakuta simu zinaita,
 
Nami nakazia, je wako macho muda wote, na je Wana maji ya kuzimia moto ya kutosha, vipi magari, yana mafuta, yanaweza kubeba maji, na yanaweza kurusha maji hayo kushambulia moto, na wao Wana ujuzi wa kuyatumia? Ahsante, majukumu mema!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…