Wananchi wa Goba wakarabati barabara wenyewe, Serikali za Mtaa washawishi bango litolewe

da!! kumbe KENGE anaweza kum2isha MAMBA !!
 
Ni upumbavu kuchanga pesa wakati Serikali imekopa pesa kwa ajili hiyo hiyo.

Ujanja ni kusimama kidete na kuhoji pesa zilizotolewa na WB Kwa ajili ya kujenga miundombinu ya nini la Dar?
Ili Barabara ikae miaka na miaka ikisubiri uchambuzi yakanifu.
Hao wakimaliza hiyo Barabara ni mwanzo wa State yao.Hakuna kima atapita huko kuongea ujinga.
Na kama wameanza na hilo juu watafanya makubwa kwa huo mtaa.

Sio dalili njema hizo.
 
Unataka waisibiri serikali ya CCM?

Ambayo hela ikitolewa kufanya jambo fulani anayesifiwa ni Rais...
Wao wanakuja wanaweka bao lao la mradi+lenye onyo kuhusu ukimwi,ndy imetoka hiyoooo

Bora hao wamejiamulia wenyewe,hii ni hatua nzuri hakuna kuisubiria serikali
Na kwa hatua kama hii ni msg sent kwa serikali

Ova
 
Kuna mambo mengine ni madogo sana,sema watu huamua kuyakuza.

Mkikaa mtaa kama huo mkiwa na akili kama za hao.

Kuna kipindi viongozi hawata kuja na hoja za Kimaskini hata sekunde kidogo.

Zama za leo zilipaswa kujadili vitu vya maendeleo kwa hadithi nyiingi.
 
Na watu wakiwa wanaamua hivi
Hat serikali itajishtukia,

Ova
 
Sasa wale matapeli wanaomsifu Samia kila siku wako wapi wasimwambie wananchi hawana barabara? Hawa majitu ni wapuuzi kuliko chawa
 
Nimeishi hapo Goba kwa awadh napafahamu vizuri. Kuna washua huko. In short Goba itabaki damuni mwangu ile raha ya mazoezi kule watu wana hamasa na mazoezi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…