makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
za saizi
Uki round up milioni 40 kwa wakazi 100 ni laki 4 kila mmoja.Kuna mambo mengine ni madogo sana,sema watu huamua kuyakuza.
Mkikaa mtaa kama huo mkiwa na akili kama za hao.
Kuna kipindi viongozi hawata kuja na hoja za Kimaskini hata sekunde kidogo.
Zama za leo zilipaswa kujadili vitu vya maendeleo kwa hadithi nyiingi.
Ni kweli ukisubiri sere kale utaishia kuserereka
fedha zipite kwao kivipi? alafu waja bwanaKuna don mmoja alitaka kujenga kiwango cha lami barabara ya mtaani kwake, ili ndinga zake zisiguse tope kuanzia anatoka kwake mpaka anafika ofisini kwake, ila mamlaka ya pale ikamletea mtima nyongo. Inataka fedha ipitie kwao kisha wao ndio wajenge. [emoji23]
Huko kusimama kidete utasimama na nani mwenye muda huo?Ni upumbavu kuchanga pesa wakati Serikali imekopa pesa kwa ajili hiyo hiyo.
Ujanja ni kusimama kidete na kuhoji pesa zilizotolewa na WB Kwa ajili ya kujenga miundombinu ya nini la Dar?
Spirit ya Moshi hiyo. Sasa hiv kuna mahali tunajenga daraja kubwa sana wenyewe.
Hii ni picha ya bango la mradi wa ujenzi na ukarabati wa kilomita mbili (2) Goba kwa Awadhi ambayo imesambaa kwa kwenye mitandao ya kijamii.
Mradi huu ni wa ukarabati na ujenzi wa mitaro ambapo unatokana na nguvu za wakazi wa eneo hilo.
Inaelezwa wakazi hao wamekubaliana kujenga mitaro kwa kutumia zege na makadirio ya bajeti ni Shilingi milioni 40 kutoka kwa wakazi 95 ambao wameahidi kuchangia. Hadi sasa, zaidi ya Shilingi milioni 16 zimekusanywa, na ujenzi umeshaanza.
Sema tofauti na mabango mengine ambayo mara nyingi yamekuwa na ujumbe uliozoeleka kwamba UKIMWI unaua, bango hili limehitimishwa na ujumbe wa “Tuchange wote kujenga barabara yetu”.
Pia inasemekana kuwa mjadala huo umewaibua viongozi wa mtaa ambao waliwashawishi wananchi kuliondoa bango hili bila mafaniko. Wananchi wanasema kuwa endapo watalitoa, basi viongozi waitishe mkutano kuelezea barabara hiyo itatengenezwa lini.
Uamuzi wa wananchi wa Goba wa kujikomboa kwa kujenga barabara yao wenyewe ni ishara ya ujasiri na kujitolea katika kuleta mabadiliko katika jamii yao. Hii ni hatua ya kipekee ambayo inaonyesha nguvu ya umoja na dhamira ya kuboresha maeneo yetu.
Je, mtaani kwenu mnachukua hatua gani kama barabara inazingua?
ccmu ishaferi ,ukisubir utaoga kwenye madimbwiNi upumbavu kuchanga pesa wakati Serikali imekopa pesa kwa ajili hiyo hiyo.
Ujanja ni kusimama kidete na kuhoji pesa zilizotolewa na WB Kwa ajili ya kujenga miundombinu ya nini la Dar?
Wakimaliza barabara watazungushia ukuta mtaa wao mara wamejijengea hospitali etcIli Barabara ikae miaka na miaka ikisubiri uchambuzi yakanifu.
Hao wakimaliza hiyo Barabara ni mwanzo wa State yao.Hakuna kima atapita huko kuongea ujinga.
Na kama wameanza na hilo juu watafanya makubwa kwa huo mtaa.
Sio dalili njema hizo.
Wao ndio watafute mkandarasi, wao ndio wafanye kila kitu na hela zikae kwao wao ndio watamaliza na kukabidhi barabara.fedha zipite kwao kivipi? alafu waja bwana
Sisi tumekuwa tukichangia na kujenga barabara za kijijini kwetu kwa mamilioni mengi japo huwa hatuweki bango. Hawa wenzetu wa Goba wametufungua sababu nahisi tunapojenga wengine wanachukua credit
Hii ni picha ya bango la mradi wa ujenzi na ukarabati wa kilomita mbili (2) Goba kwa Awadhi ambayo imesambaa kwa kwenye mitandao ya kijamii.
Mradi huu ni wa ukarabati na ujenzi wa mitaro ambapo unatokana na nguvu za wakazi wa eneo hilo.
Inaelezwa wakazi hao wamekubaliana kujenga mitaro kwa kutumia zege na makadirio ya bajeti ni Shilingi milioni 40 kutoka kwa wakazi 95 ambao wameahidi kuchangia. Hadi sasa, zaidi ya Shilingi milioni 16 zimekusanywa, na ujenzi umeshaanza.
Sema tofauti na mabango mengine ambayo mara nyingi yamekuwa na ujumbe uliozoeleka kwamba UKIMWI unaua, bango hili limehitimishwa na ujumbe wa “Tuchange wote kujenga barabara yetu”.
Pia inasemekana kuwa mjadala huo umewaibua viongozi wa mtaa ambao waliwashawishi wananchi kuliondoa bango hili bila mafaniko. Wananchi wanasema kuwa endapo watalitoa, basi viongozi waitishe mkutano kuelezea barabara hiyo itatengenezwa lini.
Uamuzi wa wananchi wa Goba wa kujikomboa kwa kujenga barabara yao wenyewe ni ishara ya ujasiri na kujitolea katika kuleta mabadiliko katika jamii yao. Hii ni hatua ya kipekee ambayo inaonyesha nguvu ya umoja na dhamira ya kuboresha maeneo yetu.
Je, mtaani kwenu mnachukua hatua gani kama barabara inazingua?
Hahaha! Umeweza kutumia akili yako vyema kubaini hili hongera kubwa sana.Hii nayo ni aina ya maandamano... Good move
Waitoe kwanza ndio mengine yaendelerUnataka waisubiri serikali ya CCM?
Ambayo hela ikitolewa kufanya jambo fulani anayesifiwa ni Rais...