Wananchi wa Kigoma msijishuku kubaguliwa mnapohojiwa uraia wenu

Wananchi wa Kigoma msijishuku kubaguliwa mnapohojiwa uraia wenu

Sasa matusi yanasaidia kitu gani kwenye nafasi ya hoja?
Hoja gani kwenye mtu nayebagaza wenzao. Narudia endeleeni kuwabaga Waha ipo siku moto utawaka. Kwani Waha ndo wanakaa mipakani pekee yao, mbona huko kwingine hatusikii kubagzwa huku
 
Ni Upuuzi huo bali ni ujinga na ubaguzi mkubwa. Hivi wadhifa wa kwanza wa umma kupewa huyo Dr, Mpango ni umakamu wa raisi? Mbona hakuhojiwa uraia wake kabla hajawa waziri wa fedha nk!

Mmasai yupo Tz na Kenya, Mkurya yupo Tz na Kenya , Mjaluo halikadhalika yupo Tz na Kenya, Mkisii, mdigo nk wote hao wapo kenya na Tz, Mmakonde, Myao wote wapo Tz na msumbiji, Mnyakyusa yupo Tz na Malawi mbona kote huko hakuna shida za uraia?--- likija suala la Kigoma hapo nuksi inaanza, mimi binafsi nilisumbuliwa kishenzi juu ya uraia wangu kisa tu nilikuwa pamoja na jamaa mwenye uraia wenye utata na pia natoka Kigoma, licha ya kuonyesha vielelezo vyote vinavyoonyesha kwamba mimi ni mtanzania halali na mzaliwa wa Kigoma na kiswahili changu ni bora sana (cha kitanzania) kuliko hata cha hao maafisa wa immigration waliokuwa wakinihoji lakini iligonga mwamba na mimi nakashikilia msimamo wangu kutetea Utanzania wangu!

Kumbe walikuwa wanataka rushwa ili waniachie, nikawaambia sina ela ya kuwapa lakini wasubiri mipango ikikaa vyema nitawapa, wakaniacha ila wakawa wakinifuatilia ili niwape pesa, namimi nikajiandaa kumfuata rafiki yangu mmoja wa takukuru ili niwatie kitanzi, looo wakastuka na hawakunifuata tena, kazi ikawa kwa yule jamaa mwenye uraia tata.

Nilitaka kukueleza shida tunazopata sisi Wana kigoma huko ofisi za immigration. Ni bora kigoma imegwe kutoka Tanzania iwe ni nchi inayojitegemea kama Rwanda au Burundi maana hatutakiwi.
 
Watu wanaohoji uraia wa Dr Mpango wako sahihi na mwacheni ajibu hoja na siyo ninyi wengine wenyeji wa Kigoma kuanza kumjibia. Ni hoja zake binafsi na yeye ndiye mwenye majibu na siyo ninyi.
Tatizo sio kuhoji bali ni timing. Kwanini watu wasihoji wakati ni Waziri wa Fedha?

Harafu hao walioanza kuhoji ni baada ya kumuona akicheza ngoma za wamama flani waliokuwa wakiimba wimbo wa Kiha. Hakuna hoja kabisa. Msifikiri TISS huwa hawafanyi vetting kabla ya kumclear mtu kuwa VP.

Wanaoleta hizi ngojera ni kundi la watu ambao walikuwa na maslahi na post ya VP na sasa wanapeleka hasira zao kusipohusika.
 
Kwanini ahojiwe sasa hivi? Alipotoka huko kote kutumikia nyadhifa mbalimbali hakuna wa kumhoji iweje sasa kawa makamo wa raisi ndiyo watu wahoji? Kuna mambo ya msingi ya kuhoji ya kuleta maendeleo ya nchi siyo mtu unapoteza muda, pesa ya bundle na akili kuhoji mtu ambaye ameteuliwa kuwa VP.
 
Unahoji uraia wa Dr Mpango kwa sababu tu anajua kucheza ngoma ya waha, kamuhoji basi na TID kwa kuwa anajua ku break down mmpe uraia wa USA...
Nyumbxxxxx wakubwa nyie...
Mlipohangaika hadi kumnyang'anya askofu Niwemugizi alikuwa na kosa gani? Si mambo hayahaya ya uraia? Mara ingine sijui kwanini mnakosaga aibu namna hii?
 
Hoja gani we mb.wa kwenye mtu nayebagaza wenzao. Narudia nyoe mb.wa endeleeni kuwabaga Waha ipo siku moto utawaka. Kwani Waha ndo wanakaa mipakani pekee yao, mbona huko kwingine hatusikii kubagzwa huku Ki.ma nyie
Kuwaita wenzako ni mbwa huo ni ushamba wa kiwango cha SGR.

Jenga hoja watu watakuelewa zaidi badala ya kuwatukana watu.
 
Hili suala la kuhoji uraia wa mtu pindi anapopata wadhifa mahali au akikosoa sana ni tabia iliyozoeleka sana.

Ni mambo ya kusikitisha sana kwa kweli.

Watu wanaingiliana sana na watu wanasafiri kwenda nchi zingine kutafuta maisha au hata kukimbia vita au maamuzi ya kuanza maisha mengine, Na wengine duniani wamefanikiwa mpaka kuwa maraisi au wafanyabiashara wakubwa.

Maadam mtu anapata uraia ana haki zote kama mzawa mwingine.

Ina maana kote huko hakuwahi kuhojiwa mpaka leo?

Na je tuhuma zitamuondoa?
 
Nani anamhoji wewe. Ke.n.ge. Mbona Makabila mengine ya Mipakani hayabagazwi kama Waha, what is so special na Waha ni Nini!? Au mnawaogopa siyo!? Acha upuuzi mb...wa wewe.
Inaelekea hujui nini kinaendelea nchi hii kwa sababu ya upumbavu wako. Kwani si kweli kila mara wanakamatwa wahamiaji haramu huko Kigoma? Kwa sababu wewe ni muha basi usihojiwe? Stupid!

Ileje tunahojiwa mara kwa mara lakini hujasikia tukitoa mapovu kama wewe! Nenda kakinukishe huko Burundi lakini hapa utakalishwa chini ujute kuvamia nchi za wenyewe!
 
Ni Upuuzi huo bali ni ujinga na ubaguzi mkubwa. Hivi wadhifa wa kwanza wa umma kupewa huyo Dr, Mpango ni umakamu wa raisi???!!, mbona hakuhojiwa uraia wake kabla hajawa waziri wa fedha nk,??!!

Mmasai yupo Tz na Kenya, Mkurya yupo Tz na Kenya , Mjaluo halikadhalika yupo Tz na Kenya, Mkisii, mdigo nk wote hao wapo kenya na Tz, Mmakonde, Myao wote wapo Tz na msumbiji, Mnyakyusa yupo Tz na Malawi mbona kote huko hakuna shida za uraia???--- likija suala la Kigoma hapo nuksi inaanza, mimi binafsi nilisumbuliwa kishenzi juu ya uraia wangu kisa tu nilikuwa pamoja na jamaa mwenye uraia wenye utata na pia natoka Kigoma, licha ya kuonyesha vielelezo vyote vinavyoonyesha kwamba mimi ni mtanzania halali na mzaliwa wa Kigoma na kiswahiki changu ni bora sana (cha kitanzania) kuliko hata cha hao maafisa wa immigration waliokuwa wakinihoji lakini iligonga mwamba na mimi nakashikilia msimamo wangu!!! Kumbe walikuwa wanataka rushwa ili waniachie, nikawaambia sina ela ya kuwapa lakini wasubiri mipango ikikaa vyema nitawapa, wakaniacha ila wakawa wakinifuatilia ili niwape pesa, namimi nikajiandaa kumfuata rafiki yangu mmoja wa takukuru ili niwatie kitanzi, looo wakastuka na hawakunifuata tena, kazi ikawa kwa yule jamaa mwenye uraia tata.

Nilitaka kukueleza shida tunazopata sisi Wana kigoma huko ofisi za immigration. Ni bora kigoma imegwe kutoka Tanzania iwe ni nchi inayojitegemea kama Rwanda au Burundi maana hatutakiwi.
Waziri wa fedha ni nani katika kuhujumu usalama wa nchi? Cheo alichonacho Mpango ni kikubwa hivyo ni lazima wananchi wamfahamu vema. Hata hao wengine uliowataja wakifikia ngazi hizo watahojiwa tu kwa hiyo vuta subira!
 
Tatizo sio kuhoji bali ni timing. Kwanini watu wasihoji wakati ni Waziri wa Fedha?

Harafu hao walioanza kuhoji ni baada ya kumuona akicheza ngoma za wamama flani waliokuwa wakiimba wimbo wa Kiha. Hakuna hoja kabisa. Msifikiri TISS huwa hawafanyi vetting kabla ya kumclear mtu kuwa VP.

Wanaoleta hizi ngojera ni kundi la watu ambao walikuwa na maslahi na post ya VP na sasa wanapeleka hasira zao kusipohusika.
Waziri wa fedha ni mtu mdogo sana sawa na mshauri wa uchumi wa Rais. Ndiyo sababu Prof Lipumba aliwahi kuwa mshauri wa Rais Kagame Uganda, lakini hawezi kuwa Rais wa Uganda!
 
Kuwaita wenzako ni mbwa huo ni ushamba wa kiwango cha SGR.

Jenga hoja watu watakuelewa zaidi badala ya kuwatukana watu.
Nyie ndio mb.wa wa kiwango cha Cha bwawa la Rufiji mnawapa Watanzania wenzenu uraia wa nchi nyingine. Huo ndo ushamba. Mb...wa nyie
 
Kwanini ahojiwe sasa hivi? Alipotoka huko kote kutumikia nyadhifa mbalimbali hakuna wa kumhoji iweje sasa kawa makamo wa raisi ndiyo watu wahoji? Kuna mambo ya msingi ya kuhoji ya kuleta maendeleo ya nchi siyo mtu unapoteza muda, pesa ya bundle na akili kuhoji mtu ambaye ameteuliwa kuwa VP.
Kama huwezi kujua kwa nini anahojiwa sasa basi ni ujinga wako ambao kwa sasa hatuwezi kukusaidia! Rudi shule utaelimika!
 
Inaelekea hujui nini kinaendelea nchi hii kwa sababu ya upumbavu wako. Kwani si kweli kila mara wanakamatwa wahamiaji haramu huko Kigoma? Kwa sababu wewe ni muha basi usihojiwe? Stupid!

Ileje tunahojiwa mara kwa mara lakini hujasikia tukitoa mapovu kama wewe! Nenda kakinukishe huko Burundi lakini hapa utakalishwa chini ujute kuvamia nchi za wenyewe!
We kweli hakuna wahamiaji wanakamatwa huko Tanga kila siku, hamna Wamalawi wamejaa Dar Kama wahamiaji haramu,huko mara tena kuna wajaruo wana wenzao Kenya, wamasai hivo hivo, mbona hawasumbuliwi Kama wanavyosumbuliwa Waha. Endeleeni hivo mnachokitafuta mtakipata
 
Waziri wa fedha ni mtu mdogo sana sawa na mshauri wa uchumi wa Rais. Ndiyo sababu Prof Lipumba aliwahi kuwa mshauri wa Rais Kagame Uganda, lakini hawezi kuwa Rais wa Uganda!
Watu wameanza kuhoji uraia wake baada ya kumuona na kusikia wimbo wa kilugha waliodhani ni Kirundi. Kile ni Kiha. Hakuna hoja zaidi.
 
Watu wameanza kuhoji uraia wake baada ya kumuona na kusikia wimbo wa kilugha waliodhani ni Kirundi. Kile ni Kiha. Hakuna hoja zaidi.
Kwani kabla ya kuwa makamu wa Rais hakuwahi kucheza nyimbo za kiha?
 
Kwani kabla ya kuwa makamu wa Rais hakuwahi kucheza nyimbo za kiha?
Whether alicheza kabla au la, whether wanaohoji waliona zile clips kabla au la is insignificant. What matters most is , Dr. Mpango ndie Vice President wa JMT. People can go to hell, come back and go to hell once more as far as we are concerned.
 
Back
Top Bottom