Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
This is a poor reasoning of a year! Swali kwamba kwa nini ninyi walemavu wote mnanuka halipo bali kwa nini wewe unanuka? The same applies kwamba anayeulizwa uraia wake ni Mpango na si wananchi wote wa Kigoma.Your Reasoning is very questionable. Lazima ukae ujiulize kabla hujazungumza. Imagine wewe ni mlemavu.. ufike sehemu usikie mlemavu mwingine anaulizwa (mr.x kwanini nyie walemavu huwa mnanuka?)
Despite the fact wewe kama mlemavu hygiene yako iko on point.. au hata ya anayeulizwa.. yawezekana muulizaji anauliza kutokana na experience yake huko atokako.. wewe hautahisi unaguswa kwenye hili!?
Ndugu yangu... Maneno ni hatari sana.. lazima yatoke kwa umakini na adabu sana.. yakishatoka hayarudi tena.
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Si ndiyo hapo,watu wakisema tuanze kuulizana humu hakuna akatayebakiUliza Tanzania hii 5 generations Back uone nani anabakia hapa. Wengine watoto wamezaliwa na waendesha maroli wa zambia na kongo nao utawakuta humu nyenyenyee. Hii nchi inafurahisha sana..
Mark this.. hii nchi imejengwa na wakuja. Hawa wako kwenye makundi mawili, kunawalikuja kwa kukimbia huko walikotoka..maana walikuwa na roho hizi hizi za kibaguzi.
Na waliokuja kwa kutafuta pumziko. Tunapapenda Tanzania na kupaombea mema. Hilo kundi jingine likiharibu na hapa litakimbilia kwingine.. maana ndio maisha yao.
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Kwani aliyekuwa akicheza ngoma alikuwa ni yeye DKT mpango na miti tu!?This is a poor reasoning of a year! Swali kwamba kwa nini ninyi walemavu wote mnanuka halipo bali kwa nini wewe unanuka? The same applies kwamba anayeulizwa uraia wake ni Mpango na si wananchi wote wa Kigoma.
Mara kadhaa tumeshuhudia wahamiaji haramu kutoka Burundi wanakamatwa tena na wananchi wa Kigoma wenyewe, kwa nini hao wanaopinga kuhojiwa kwa Mpango hawajawahi kujitokeza kuwa hao watu waliokamatwa ni wa Kigoma?
Na ndio ukweli. Sema ukiona mtu anaongea huu ubaguzi.. hata historia yake (ukiacha uzao wa baba yake hapa juzi) haijui.Si ndiyo hapo,watu wakisema tuanze kuulizana humu hakuna akatayebaki
Ova
Mnajifanya mnafanya reasoning mavi tu mioyoni mwenu mmejaa ubaguzi kwa waha.Hovyo.This is a poor reasoning of a year! Swali kwamba kwa nini ninyi walemavu wote mnanuka halipo bali kwa nini wewe unanuka? The same applies kwamba anayeulizwa uraia wake ni Mpango na si wananchi wote wa Kigoma.
Mara kadhaa tumeshuhudia wahamiaji haramu kutoka Burundi wanakamatwa tena na wananchi wa Kigoma wenyewe, kwa nini hao wanaopinga kuhojiwa kwa Mpango hawajawahi kujitokeza kuwa hao watu waliokamatwa ni wa Kigoma?
Aseh.. una akili mbovu na upeo mdogo sana. Jitafakari.Siyo kwamba wameshindwa bali serikali ya CCM imekuwa ikitumia mbinu hii kuwanyamazisha wapinzani wake, hivyo watu wengine wanaitumia kuwakumbusha CCM kutenda haki kwa watu wote kwa usawa.
Mmepata shauku ya kumjua zaidi saivi kwa nini? Miaka yote amehudumu katika serikali hamkuwahi kuona umuhimu wa kumfahamu zaidi??Kuna wananchi wenzetu wa asili ya mkoa wa Kigoma wametaharuki baada ya watu kuhoji uraia wa Dr. Mpango na kuona kama wanabaguliwa.
Hapana, ni jambo la kawaida kwani kuna watu wengi kutoka nchi jirani wanahamia Kigoma. Jambo linalotakiwa ni kujibu hoja mnazoulizwa kwa usahihi na siyo kuanza kuona kama mnabaguliwa na kutengwa. Uraia wa mtu ye yote nchini ni suala la usalama wa nchi na rasilimali zake.
Watu wanaohoji uraia wa Dr Mpango wako sahihi na mwacheni ajibu hoja na siyo ninyi wengine wenyeji wa Kigoma kuanza kumjibia. Ni hoja zake binafsi na yeye ndiye mwenye majibu na siyo ninyi. Kitendo cha baadhi ya wenyeji wa Kigoma kuanza kulalamika na kujenga hoja ya kubaguliwa kikabila halikubaliki. Ukabila au ukanda ni mambo ambayo hayatakiwi na ni ya kuyapiga vita kwa nguvu zetu zote.
Dr Mpango ameteuliwa kuwa makamu wa Rais hivyo wananchi wenzake tunatakiwa kumfahamu vizuri mwenzetu huyu na si vinginevyo. Usalama wa Tanzania kwanza!
We unadhani una busara kuliko Zitto? Busara ya Zitto unaipima kwa kigezo gani. Kama ni kwa kigezo cha busara yako, umepotea aisee.......Tatizo lake Zitto hajawahi kutumia busara kwenye mambo yanayo hitaji busara.
Msitake kujenga hoja ambayo haipo, hiyo ni inferiority complex ambayo ni yako binafsi! Kumbuka ndani ya ukoo mmoja mnaweza mkawa na utaifa tofauti. Mimi ndani ya ukoo wangu kuna Wamalawi, Wazambia na mimi ni Mtanzania! Kwa hiyo watu wanaweza kuhoji uraia wangu, na kwa kufanya hivyo hawatakuwa wanahoji utaifa wa kabila zima. Nitahojiwa mimi na nitajibu mimi ndugu zangu watakuja kutoa ushahidi.Kwani aliyekuwa akicheza ngoma alikuwa ni yeye DKT mpango na miti tu!?
Is it a first time ngoma hiyo imecheza huko Kigoma!?
Aangekutwa chumbani amejifungia anacheza ngoma supposedly ya kirundi tungesema your analogy applies..
Ikiwa was a public function then this is all a mess and should be dropped.
Marekani kuna jumuiya za kila aina na wanapractice kila aina ya tamaduni ambazo sio native to america.. na wao pia wanakuwa viongozi.. so how does that sit with you!?
Ileje unamjua mtanzania!? Anapatikana upande upi wa Tanzania? Au wewe unachokijua ni tamaduni zinajitambulisha kama watanzania!? Hizi tamaduni hasa mipakani haidhuru zikifanana na majirani watu hawa ni wajamii moja.
Tusifanye kuwa utanzania ni kitu kinashuka toka mbinguni. Utanzania ni comittment ya mtu kulinda maslahi ya this land mass called Tanzania. Wako watanzania wanauraia wa uingereza na kuna.waingereza wana uraia wa Tanzania.
Huyo muingereza Mabala ni mtanzania kuliko richard ambaye kutwa ni kutukana the little we have.
Kwa kifupi kwa kumsema mpango, mnasema kila mtu aliyewahi kucheza ngoma hiyo, au kuimba na kupiga ngoma hizo.. na inapanuka itawasema wanyambo, wahaya, wajaluo, Wachagga, Wamasai, wanyasa, wangoni, wamatumbi, nk.. maana wote wanshare culture and makabila nje ya Mipaka.
Vipi kuhusu watanzania Mo.. na wengine wenye asili ya uhindi wanaopractice asian cultures nao tuwaulize juu ya uraia wao!?
Au turudi kwako, nikihoji uraia wako based on traditional practice za ukoo au kijijini kwenu ..sio sawa na kuhoji uraia wenu wote collectively!?
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Katiba ya nchi inatutaka kumfahamu vizuri zaidi. Kwa nafasi aliyonayo anaweza akawa Rais wa nchi wakati wo wote. Katiba ya nchi inataka Rais wa nchi awe raia wa kuzaliwa full stop.Mmepata shauku ya kumjua zaidi saivi kwa nini? Miaka yote amehudumu katika serikali hamkuwahi kuona umuhimu wa kumfahamu zaidi??
Mrundi kamwe hawezi kuwa mtanzaniaWe unadhani una busara kuliko Zitto? Busara ya Zitto unaipima kwa kigezo gani. Kama ni kwa kigezo cha busara yako, umepotea aisee.......
Wachana na hao warundiMsitake kujenga hoja ambayo haipo, hiyo ni inferiority complex ambayo ni yako binafsi! Kumbuka ndani ya ukoo mmoja mnaweza mkawa na utaifa tofauti. Mimi ndani ya ukoo wangu kuna Wamalawi, Wazambia na mimi ni Mtanzania! Kwa hiyo watu wanaweza kuhoji uraia wangu, na kwa kufanya hivyo hawatakuwa wanahoji utaifa wa kabila zima. Nitahojiwa mimi na nitajibu mimi ndugu zangu watakuja kutoa ushahidi.
Sasa nakushangaa wewe Kamukhm na wenzako kuchukulia Waha wote wanahojiwa. Jinasueni katika ukabila na ukanda, maisha ni rahisi sana.
Bwana Ileje hoja hiyo ni valid sana. Kabla hujatoka hadharani na kumtuhumu mtu hakikisha unataarifa ya kutosha.Msitake kujenga hoja ambayo haipo, hiyo ni inferiority complex ambayo ni yako binafsi! Kumbuka ndani ya ukoo mmoja mnaweza mkawa na utaifa tofauti. Mimi ndani ya ukoo wangu kuna Wamalawi, Wazambia na mimi ni Mtanzania! Kwa hiyo watu wanaweza kuhoji uraia wangu, na kwa kufanya hivyo hawatakuwa wanahoji utaifa wa kabila zima. Nitahojiwa mimi na nitajibu mimi ndugu zangu watakuja kutoa ushahidi.
Sasa nakushangaa wewe Kamukhm na wenzako kuchukulia Waha wote wanahojiwa. Jinasueni katika ukabila na ukanda, maisha ni rahisi sana.
Mbona hiyo issue ni ndogo sana lkn nyinyi mnaikuuza utadhani ni sifaBwana Ileje hoja hiyo ni valid sana. Kabla hujatoka hadharani na kumtuhumu mtu hakikisha unataarifa ya kutosha.
Pili kumbe na wewe unajua ziko koo zinazospread mpaka nchi za jirani.. sasa upya wa hili unatoka wapi!? Je uwezekano wa mpango kuwa na ukoo unaenda mpaka burundi shida inakuwa wapi kama na yeye ameamua (kama ilivyo kwako) kubwa mtanzania!?
Au kwa watu wa koo zinazovuka mipaka wote lazima tushuku uraia wao!? Tukienda hivyo na wewe inakuondolea legitimacy ya kuhoji uraia wa dkt Mpango.
Nchi hizi imejengwa kwa kuwa tuliavoid sana maswali kama haya.. na tukawafanya waliosahaulika kunisikia Nyumbani. Ulishawahi kujiuliza kwanini mikoa ya pembezoni wafeel prout to be Tanzanians.. tunajaliana na kupendana.
Just a side note: Nchi ina miongozo, kubwa kiongozi serikalini kunakuweka chini ya keen eye of the national security community.. wanafuatilia kila hatua yako..maana kazi yao ni kuilinda Tanzania.
Sasa ili hoja hii iwe na mashiko lazima tukubali ikiwa mgeni atakwenda kubwa kiongozi nchi hii basi tutakuwa na very dangerous security breach na kuweka vitu wazi ikitokea hivyo basi tushaliwa na kuoza kutokea ndani.
Huyo anayetengeneza hizi alegetions ameamua kuwa mtu wa hovyo maana clearly anajua how things work, ila ameamua kuignore na kujitia uhayawani.
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Have ever been marginalized!?Mbona hiyo issue ni ndogo sana lkn nyinyi mnaikuuza utadhani ni sifa
Siyo suala la yeye kuamua awe raia wa nchi gani, ni suala la katiba ya nchi. Kwamba watu wote waliokuwa wanaishi Tanganyika wakati wa uhuru ni Watanzania pamoja na vizazi vyao. Wale waliohamia baada ya uhuru wanapaswa kuomba uraia. Sasa kuhusu kuongoza nchi kwa ngazi ya Urais katiba inataka awe raia wa kuzaliwa na si vinginevyo.Bwana Ileje hoja hiyo ni valid sana. Kabla hujatoka hadharani na kumtuhumu mtu hakikisha unataarifa ya kutosha.
Pili kumbe na wewe unajua ziko koo zinazospread mpaka nchi za jirani.. sasa upya wa hili unatoka wapi!? Je uwezekano wa mpango kuwa na ukoo unaenda mpaka burundi shida inakuwa wapi kama na yeye ameamua (kama ilivyo kwako) kuwa mtanzania!?
Au kwa watu wa koo zinazovuka mipaka wote lazima tushuku uraia wao!? Tukienda hivyo na wewe inakuondolea legitimacy ya kuhoji uraia wa dkt Mpango.
Nchi hizi imejengwa kwa kuwa tuliavoid sana maswali kama haya.. na tukawafanya waliosahaulika kunisikia Nyumbani. Ulishawahi kujiuliza kwanini mikoa ya pembezoni wafeel proud to be Tanzanians.. coz tunajaliana na kupendana.
Just a side note: Nchi ina miongozo, kuwa kiongozi serikalini kunakuweka chini ya keen eye of the national security community.. wanafuatilia kila hatua yako..maana kazi yao ni kuilinda Tanzania.
Sasa ili hoja hii iwe na mashiko lazima tukubali ikiwa mgeni atakwenda kubwa kiongozi nchi hii basi tutakuwa na very dangerous security breach na kuweka vitu wazi ikitokea hivyo basi tushaliwa na kuoza kutokea ndani.
Huyo anayetengeneza hizi alegetions ameamua kuwa mtu wa hovyo maana clearly anajua how things work, ila ameamua kuignore na kujitia uhayawani.
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app