Wananchi wa Kigoma msijishuku kubaguliwa mnapohojiwa uraia wenu

Wananchi wa Kigoma msijishuku kubaguliwa mnapohojiwa uraia wenu

Yaani unahoji Uraia wa mtu kumbe hauna enough information to question anything.. kisha kupata uthibitisho juu ya uraia wake.. unarudi tena kwa Serikali ikusaidie na majibu ya uthibitisho.!?

Kwann kama unaongozwa na busara usimuulize moja kwa moja kamishna wa Uhamiaji? Ili usi-misslead watu na once you clear your doubt usihitaji kwenda public(kama ulivyokuwa na hizi shutuma) kusema #kumradhi nilikosea!?#

Kama tunashindwa kusema moja kwa moja tunakotakiwa kuhoji.. huo ni unafiki kama unafiki mwingine.

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Kupitia mitandao ya jamii tayari watu wametoa taarifa na kuzi-task uhamiaji na usalama wa Taifa kufanya kazi yao!
 
Kama unataka kufuata sheria basi fuata utaratibu na ukatoe ripoti uhamiaji kwamba Mpango ni mkimbizi.
Wamekwisha pata taarifa na wanafanyia kazi.
 
Kwahiyo walitambulika kupitia Mitandaoni? Au kupitia uchunguzi wa vyombo husika? Hebu ni jibu bwana mwelevu.
Vyote kwa pamoja na njia zingine zisizo rasmi
 
Kuna wananchi wenzetu wa asili ya mkoa wa Kigoma wametaharuki baada ya watu kuhoji uraia wa Dr. Mpango na kuona kama wanabaguliwa.

Hapana, ni jambo la kawaida kwani kuna watu wengi kutoka nchi jirani wanahamia Kigoma. Jambo linalotakiwa ni kujibu hoja mnazoulizwa kwa usahihi na siyo kuanza kuona kama mnabaguliwa na kutengwa. Uraia wa mtu ye yote nchini ni suala la usalama wa nchi na rasilimali zake.

Watu wanaohoji uraia wa Dr Mpango wako sahihi na mwacheni ajibu hoja na siyo ninyi wengine wenyeji wa Kigoma kuanza kumjibia. Ni hoja zake binafsi na yeye ndiye mwenye majibu na siyo ninyi. Kitendo cha baadhi ya wenyeji wa Kigoma kuanza kulalamika na kujenga hoja ya kubaguliwa kikabila halikubaliki. Ukabila au ukanda ni mambo ambayo hayatakiwi na ni ya kuyapiga vita kwa nguvu zetu zote.

Dr Mpango ameteuliwa kuwa makamu wa Rais hivyo wananchi wenzake tunatakiwa kumfahamu vizuri mwenzetu huyu na si vinginevyo. Usalama wa Tanzania kwanza!
Pathetic
 
Kwanza futa kauli yako, Dr Mpango ahojiwi ni kelele za mitandaoni, kama hizo kelele Zina tija serikali watafanyia kazi, ukiona kimya fahamu, kuwa serikali ina vitu vingi vya msingi vya kufanya
Wananchi wanamuhoji kupitia mitandao ya jamii na serikali inafuatilia sana mitandao ya jamii na ndiyo sababu huchukua hatua za kisheria dhidi ya wahalifu wa mitandaoni.
 
Kupitia mitandao ya jamii tayari watu wametoa taarifa na kuzi-task uhamiaji na usalama wa Taifa kufanya kazi yao!
Maybe...maybe not!
Shida it's hard for people to put context in a lot of things Mitandaoni. And this kind of uhuru can be toxic.

Pasaka Njema Ndugu Yangu.

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Maybe...maybe not!
Shida it's hard for people to put context in a lot of things Mitandaoni. And this kind of uhuru can be toxic.

Pasaka Njema Ndugu Yangu.

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Katika ulimwengu huu wa utandawazi mitandao ya jamii ndiyo njia muafaka ya kupashana habari, kuelimishana na kuburudishana.

Pasaka iwe njema nawe pia!
 
Katika ulimwengu huu wa utandawazi mitandao ya jamii ndiyo njia muafaka ya kupashana habari, kuelimishana na kuburudishana.

Pasaka iwe njema nawe pia!
Ubarikiwe nashukuru sana mkuu.

Nikuache na neno. Unajua habari zinazokinzana na global agenda zinaendelea kupotea mitandaoni!?
Umewahi kujiuliza kwann tunafanya habari kuwa rahisi kutapakaa.. tena bila wahariri!?

Taarifa bila context is useless. Mitandao ingesaidia sana kama ingekuwa na gatekeepers.. huku tulikofika is far and beyond.. the fall of humanity.

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Nafahamu vizuri lakini sijawahi kuogopa kumkabiri mbaguzi awe mzungu, asian au mweusi mwezangu. Siku ukitembea duniani ukakutana na ubaguzi ndio utaelewa.
Hauwezi kuzidi wa jiwe
 
Kuwa mkimbizi si dhambi au kosa la jinai isipo utaratibu ufuatwe
Kuwa raia wa nchi uliyopo kama mkimbizi ni jambo jema lakini msigeuze ndio wasemaji waamuzi wa mambo ya nchi husika muwe na adabu ( hahahhh kuna mtu wa huko katukana kasema mshike adabu 🤣🤣🤣😭
Uhamiaji fullu corrupted ndio shida ilipoanzia
 
Pole mkuu umeandika kwa uchungu mkubwa, Nami natilia nyama kama wanaona Kigoma ni kero waiache, kwanini wanailazimisha kuwa Tanzania kama hawaitaki
Nashauri Kigoma ijitenge ili iundwe nchi kama Rwanda na Burundi.
 
Kiongozi gani mwingine ( raisi/makam) mlishawahi kuhoji iraia wake? Mbona mnatokwa na mapovu pale mtu wa Kigoma akifanya jambo lolote, hata kama ni zuri lazima povu liwatoke.

Mfano. Kipindi Zitto anatoka CHADEMA mlitoa povu sana mpaka kwenye vinyeo! Lakini wakati padri Slaa alipoisariti Chadema tena kipindi kibaya sana imekaribia Uchaguzi mkuu hamkutoa povu kisa ni wa Kaskazini.

Sisi ndo Wakigoma, tusioyumbishwa na yeyote, waaminifu, kubwa zaidi Wachapa kazi hatuchagui kazi, kazi kazi. Hakuna kazi inayotushinda, hata kama mkeo amekushinda, tupe kazi Waha tutaifanya kwa weredi na ufanisi wa hali ya juu.
Ebu tuacheni nyie midebwedo, wapenda vyepe eti nyie nao mnajiita wanaume!
Anyway, sijumuishi nyie wote but 80% of you. Pia sijuishi watu wa Mkoa wa Mara, wale nao ni kama sisi Kazi kazi tu. Hapa kazi tu.
 
Kwa nini Wahaya wenye asili ya Uganda hawasumbuliwa Kama waha na wamenyema WA kigoma?
Kwa nn wamasai hawasumbuliwa na muingiliano wao na watu Kenya?
Na iwe kigoma
Ukweli ni kwamba watu WA kigoma walitengenezewa hizi propaganda tangu wakati WA madai ya UHURU
ni wakati WA kumaliza hizo dhana hatutendi hali
 
Wananchi wanamuhoji kupitia mitandao ya jamii na serikali inafuatilia sana mitandao ya jamii na ndiyo sababu huchukua hatua za kisheria dhidi ya wahalifu wa mitandaoni.
Ni kweli ila suala la Dr Mpango kuthibitisha uraia mtandaoni huo sio wajibu wake, Kuna taasisi ipo kwa ajili ya kuthibitisha au kukanusha uraia wa mtu yeyote, hivyo Dr Mpango atawajibika huko
 
Back
Top Bottom