masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 18,207
- 13,839
- Thread starter
- #41
Mama mtu wa Mungu, uongo kwake mwiko...inaelekea mlinyanyapaliwa kwelikweli.
..na hilo linadhihirika kwa jinsi mlivyochanganyikiwa na kupagawa kutokana na ahadi za Raisi / Mwenyekiti wa Ccm.
..hizo ni ahadi tu, kazi kubwa zaidi iko ktk utekelezaji wa hizo ahadi.
..Msisahau kwamba nyinyi sio wa kwanza ktk nchi hii kupewa ahadi nzuri-nzuri na Raisi / Ccm.
Miradi aliyoiainisha mama, yote iliahidiwa toka miaka ya Mwinyi na Mkapa.
Funga kazi ni Magufuli, yeye alinyanyapaa hii mikoa kama ina ukoma.