Wananchi wa mkoa wa Kilimanjaro wamemshukuru Rais Magufuli kwa kuwarejeshea usafiri wa treni kwa nauli nafuu ya sh 16,000 tu

mi nkiwaza gari moshi nakumbukaga AJALI ya kilosaaaa....sijui njia ya Moshi ka ina ajali kumbukizi?
 
Dah ...usipokufa mwaka huu...Basi utakufa kabla June mwakani...kwa stress [emoji2960]
 
wengine ni wachaga mkuu, japo naona hiyo uliyosema pia inatokeaga pia, kuna wachaga wapumbavu kama ilivyo kwenye kila jamii, mimi ni mchaga pia na ndio maana inaniuma pia kuona hivyo
Ama wasukuma pia wapo wajinga ama kuna mtu anawachafua pia ili kujenga chuki na mgawanyiko.
 
Huu ni wivu

Usitusemee wana Moshi

Sisi tutapanda,

Hovyo sana we
 
Itakua kilimanjaro bia
 
Acha uzwazwa kwa hiyo wachaga wore wanamiliki magari au wote wanamudu gharama za kutumia usafiri binafsi?
66% wanamiliki na hao wengine hutegemea mabasi zaidi kwa sababu ni very shap na luxury tofauti na treni....,

Wakati treni iki operate haikutegemewa kwa abiri,zaidi ilitegemewa kwa mizigo.

Sijui umenielewa we bongo lala....?????
 
Huu ni wivu

Usitusemee wana Moshi

Sisi tutapanda,

Hovyo sana we

Nionee wivu kodi yangu?

Fvck ya!

Jiongelee wewe mwenyewe,wewe sio msemaji wa wana Moshi wote!

Haya madaraka unayojipa ya kuongelea wana Moshi wote umeyatoa chooni au mawe kakupa?

Jisemee wewe kua utapakia,mimi sitapakia kamwe!

Mimi as mimi!

Again,my decision is my decision,you got yours in your ass!

Run to mawe,tell him I said hi!
 
Dah ...usipokufa mwaka huu...Basi utakufa kabla June mwakani...kwa stress [emoji2960]

Mkuu

Natoa fact!

Usafiri wa Moshi sio nauli!

Hapo ndipo mnapofeli!

Usafiri wa Moshi ni speed na comfort!

Vyote hivyo treni yenu ya kisenge haitoi!

Hakuna mtu anapakia mle!

Thats the FACT!
 
Kwani wachaga wote wana private car? wanapandaga mpaka mafuso na magari ya magazeti sembuse train

Kwa hiyo watu uliopanda nao gari ya magazeti ulifikiri ni Wachagga siyo?

Yaani wewe kila ukipanda gari ya magazinga unawaza kwamba umepanda na Wachagga.

Wachagga wanakushulisha hadi unawaota umepanda nao kwenye magari ya mizigo unayopanda
 
66% wanamiliki na hao wengine hutegemea mabasi zaidi kwa sababu ni very shap na luxury tofauti na treni....,

Wakati treni iki operate haikutegemewa kwa abiri,zaidi ilitegemewa kwa mizigo.

Sijui umenielewa we bongo lala....?????

Vyasaka kichwa nazi hayaelewi haraka mpaka uyakung'ute sawasawa
 

Kwa hiyo unalazimisha tutumie huo usafiri wenu wa kimasikini?
 
Treni sio mara ya kwanza kuwepo Moshi na wkt ikiwepo ilitegemewa kwa asilimia ndogo sana na abiria,zaidi ilitumika kubeba mizigo.

Na pia watu Moshi they need luxurious and fastest safaris no matter is how much...,
 
66% wanamiliki na hao wengine hutegemea mabasi zaidi kwa sababu ni very shap na luxury tofauti na treni....,

Wakati treni iki operate haikutegemewa kwa abiri,zaidi ilitegemewa kwa mizigo.

Sijui umenielewa we bongo lala....?????
Acha uongoo eti 66% ya wachaga wanamiliki!! We ni mwehu mpenda sifa hakuna kitu kama hicho mnajiona ni watu bora kuliko wengine kumbe ni viazi tu huniambii kitu subiri uone kama hawatapanda tereni.
 
Hizi shukrani haziishi tu. Matanzania cjui ni majitu gani. Yaani yananyenyekea as if mtu anatoa ela mfukoni mwake.
 
Aisee naona unaongoza kubishana. Nenda hapo ubungo kuanzia tarehe 22 uone wanavyopata taabu kurudi moshi. Kama wote wana magari kwa nini nauli zinapanda wakati wa christmas. Wengi wao usafiri wanatmia private transport na kipindi hiki hupanda mafuso tena kwa kugombania acha kubishana na ukweli
Kwa hiyo watu uliopanda nao gari ya magazeti ulifikiri ni Wachagga siyo?

Yaani wewe kila ukipanda gari ya magazinga unawaza kwamba umepanda na Wachagga.

Wachagga wanakushulisha hadi unawaota umepanda nao kwenye magari ya mizigo unayopanda
 
Mkuu

Natoa fact!

Usafiri wa Moshi sio nauli!

Hapo ndipo mnapofeli!

Usafiri wa Moshi ni speed na comfort!



Thats the FACT!

Dah....acha ujinga..kama si nauli ila speed na comfort....nenda pale KIA angalia wangapi wanaenda Moshi na wangapi Arusha [emoji2960]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…